Dabil
JF-Expert Member
- Sep 30, 2021
- 6,823
- 15,293
Yeah mkuuMwakinyo alikalishwa na Kaoneka?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah mkuuMwakinyo alikalishwa na Kaoneka?
Sasa hivi imegongwa bado sekunde zaidi ya 15 [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hata mi nashangaa
Na wao kugundua ni ngumu ni watu wanaoangalia tu tvSasa hivi imegongwa bado sekunde zaidi ya 15 [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mpango kazi umekamilika hahaha
KafaMkali wa hiz kaz kanali mandonga vp Bado hajapand?
Yes na hii ndio part wengi hawajaishtukia. Mandonga yupo pale strategically. Na wameweza kwa hili.Mandonga sawa na wcb zile kick zo zinaleta mvuto kweny game watu hawajui kabisa leo hapa kitaa mpaka mademu wamejazana kweny bar wengine vibanda umiza hata game ya man city na Liverpool Haina mashabiki watu wanamngoja mandonga nimemkubali
Ngumu sana.. hii ya Muda nimeelewa sana.. hata hivyo Kidunda amestahili japo round ya 7 na 8 ilikuwa ngumu sana.Na wao kugundua ni ngumu ni watu wanaoangalia tu tv
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mandonga kapigwa lakini anaachwa kutangazwa aliyeshinda(hata sijui jina la mshindi ni nani)baada ya pambano anatajwa Kareem Mandonga[emoji23][emoji28].
huyu mandonga anakipaji na nyota flani hivi kwenye kupromote.
mimi binafsi bado nasimama na Kareem Mandonga kwenye boksing ya leo[emoji123][emoji123]
naam 2016Mwakinyo alikalishwa na Kaoneka?
Pambano la Chokolaa pambano lake walimaliza zikiwa zimebaki 50s sikuelewa ilikuwajeSasa hivi imegongwa bado sekunde zaidi ya 15 [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mpango kazi umekamilika hahaha
Kanali MandongaMandonga kapigwa knockout,huyu ni muhuni tu siyo bondia
AiseeeeMandonga hata miti anaweza kupigwa tu.
Nyagi imeingia kichwani kwa njia ya ngumi.
Angekataa pambano kabla,mtu ana nguvu round zote 10 halafu aseme kawekewa dawa?Katompa kamwaga ya ndani kwamba walipuliza vitu chumbani kwakwe ndio maana kawa mzito [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sasa kama aligundua haya kwanini kakubali kushindwa?
Mandonga kawa maarufu sana kuwazidi hata wakina dulla mbabe[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Mandonga akipigwa ndiyo anazidi kupanda chati [emoji23]
Watu wamekuingiza kanyaboya huyo ni mlevi tu wa yombo buza[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Huyu mandonga muhuni tu.hajui kupigana .nimekaa macho kumsubiria yeye kumbe hamna kitu.
Hapo ndipo sehemu atakapopatia pesa,kwenye ngumi hamna kituMandonga game changer namfuatilia kanivutia kwa bongo hii namuona mbali sana akipiga dili za matangazo