Fumadilu Kalimanzila
JF-Expert Member
- Dec 10, 2016
- 1,770
- 5,423
Muda mfupi uliopita nimetoka kuangalia pambano la ngumi kati ya Bondia Mwakinyo na Smith,pambano ambalo limeniudhi na hata kunitoa machozi!
Kama kawaida Mwakinyo ameonyesha tabia halisi ya Watanzania walio wengi!
Watu wasiokuwa na confidence,malengo wala ndoto kubwa (big dreams)!
Watu wanaoridhika na vitu vya viwango vya chini kabisa au hali ya kawaida sana.
Mtu aliyeangalia pambano round 2 kwa makini ange-conclude tu kwamba hii game ilikuwa ya Mwakinyo.
Alipata Bondia "Mzee" na mchovu, fursa ambayo angetumia kuionyesha Dunia who is Mwakinyo na Tanzania ni wapi!,lakini kwa ujinga, lack of confidence na kuridhika mapema akaanza kufanya pretence kwamba mara kaumia mguu mara kateleza! UJINGA MTUPU!
Watanzania wengi tuna tatizo kubwa sana kwenye international arena,iwe ni kwenye uongozi wa kisiasa, Uchumi au michezo, watu wetu hawana Confidence kabisa!
Sisi ni mabingwa wa umbea, udaku na mambo mengine ya hovyo hovyo basi!
Kama kawaida Mwakinyo ameonyesha tabia halisi ya Watanzania walio wengi!
Watu wasiokuwa na confidence,malengo wala ndoto kubwa (big dreams)!
Watu wanaoridhika na vitu vya viwango vya chini kabisa au hali ya kawaida sana.
Mtu aliyeangalia pambano round 2 kwa makini ange-conclude tu kwamba hii game ilikuwa ya Mwakinyo.
Alipata Bondia "Mzee" na mchovu, fursa ambayo angetumia kuionyesha Dunia who is Mwakinyo na Tanzania ni wapi!,lakini kwa ujinga, lack of confidence na kuridhika mapema akaanza kufanya pretence kwamba mara kaumia mguu mara kateleza! UJINGA MTUPU!
Watanzania wengi tuna tatizo kubwa sana kwenye international arena,iwe ni kwenye uongozi wa kisiasa, Uchumi au michezo, watu wetu hawana Confidence kabisa!
Sisi ni mabingwa wa umbea, udaku na mambo mengine ya hovyo hovyo basi!