Bondia Mwakinyo ni Mfano halisi wa Watanzania walio wengi katika nyanja mbalimbali!

Bondia Mwakinyo ni Mfano halisi wa Watanzania walio wengi katika nyanja mbalimbali!

Fumadilu Kalimanzila

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2016
Posts
1,770
Reaction score
5,423
Muda mfupi uliopita nimetoka kuangalia pambano la ngumi kati ya Bondia Mwakinyo na Smith,pambano ambalo limeniudhi na hata kunitoa machozi!

Kama kawaida Mwakinyo ameonyesha tabia halisi ya Watanzania walio wengi!

Watu wasiokuwa na confidence,malengo wala ndoto kubwa (big dreams)!

Watu wanaoridhika na vitu vya viwango vya chini kabisa au hali ya kawaida sana.

Mtu aliyeangalia pambano round 2 kwa makini ange-conclude tu kwamba hii game ilikuwa ya Mwakinyo.
Alipata Bondia "Mzee" na mchovu, fursa ambayo angetumia kuionyesha Dunia who is Mwakinyo na Tanzania ni wapi!,lakini kwa ujinga, lack of confidence na kuridhika mapema akaanza kufanya pretence kwamba mara kaumia mguu mara kateleza! UJINGA MTUPU!

Watanzania wengi tuna tatizo kubwa sana kwenye international arena,iwe ni kwenye uongozi wa kisiasa, Uchumi au michezo, watu wetu hawana Confidence kabisa!

Sisi ni mabingwa wa umbea, udaku na mambo mengine ya hovyo hovyo basi!
 
Muda mfupi uliopita nimetoka kuangalia pambano la ngumi kati ya Bondia Mwakinyo na Smith,pambano ambalo limeniudhi na hata kunitoa machozi!

Kama kawaida Mwakinyo ameonyesha tabia halisi ya Watanzania walio wengi!

Watu wasiokuwa na confidence,malengo wala ndoto kubwa (big dreams)!

Watu wanaoridhika na vitu vya viwango vya chini kabisa au hali ya kawaida sana.

Mtu aliyeangalia pambano round 2 kwa makini ange-conclude tu kwamba hii game ilikuwa ya Mwakinyo.
Alipata Bondia "Mzee" na mchovu, fursa ambayo angetumia kuionyesha Dunia who is Mwakinyo na Tanzania ni wapi!,lakini kwa ujinga, lack of confidence na kuridhika mapema akaanza kufanya pretence kwamba mara kaumia mguu mara kateleza! UJINGA MTUPU!

Watanzania wengi tuna tatizo kubwa sana kwenye international arena,iwe ni kwenye uongozi wa kisiasa, Uchumi au michezo, watu wetu hawana Confidence kabisa!

Sisi ni mabingwa wa umbea, udaku na mambo mengine ya hovyo hovyo basi!
Sisi ni mabingwa wa kusifia viongozi wabovu, anaupiga mwingi,......
 
Boxing kama michezo mingine ikiwemo football haiko predictable, kutumia kigezo cha hizo round mbili za mwanzo alizofanya vizuri ndio amshinde mpinzani wake mwisho wa pambano unakosea.

Boxing iko kama inaendana na upepo, inawezekana round ya kwanza ukapata points nyingi, round ya pili mpinzani wako nae akapata points nyingi kutegemeana na vile alivyorekebisha makosa yake.

Mwakinyo amesema viatu vilikuwa vinamuumiza enka, pia namlaumu kwanini hakuvijaribisha hivyo viatu mapema ili aone kama vingemfaa mchezoni, hapa alifanya uzembe, but in life lazima wakati mwingine upitie njia ngumu ili zikufunze uendako.

Muhimu amesema kuna uwezekano wa kuwepo pambano la marudiano, tusubiri tuone, lakini unaposema watanzania wanapenda kubweteka nakataa; hakuna mtanzania asiyetaka ushindi popote duniani, kwani kushindwa sio sifa.
 
Tena ni heri amekutana na Liam Smith angekutana na Callum Smith angemmaliza kabisa,

Hatuendelei kimichezo kwasababu tunafake,

Ushindi wa kupendelea Nyumbani, Mapambano ya kununua,

Sasa hivi Mandonga ananunuliwa Mapambano ili aonekane ana rekodi nzuri watu waje wapige hela,

Ila akija kutoka nje ya nchi tutapata aibu na Mabondia wetu hawatasainiwa na kupata mapambano nje kwasababu tutaonekana hatuna viwango!

Chanzo kufoji matokeo kwa kisingizio cha kizalendo kumbe tunaua michezo

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Muda mfupi uliopita nimetoka kuangalia pambano la ngumi kati ya Bondia Mwakinyo na Smith,pambano ambalo limeniudhi na hata kunitoa machozi!

Kama kawaida Mwakinyo ameonyesha tabia halisi ya Watanzania walio wengi!

Watu wasiokuwa na confidence,malengo wala ndoto kubwa (big dreams)!

Watu wanaoridhika na vitu vya viwango vya chini kabisa au hali ya kawaida sana.

Mtu aliyeangalia pambano round 2 kwa makini ange-conclude tu kwamba hii game ilikuwa ya Mwakinyo.
Alipata Bondia "Mzee" na mchovu, fursa ambayo angetumia kuionyesha Dunia who is Mwakinyo na Tanzania ni wapi!,lakini kwa ujinga, lack of confidence na kuridhika mapema akaanza kufanya pretence kwamba mara kaumia mguu mara kateleza! UJINGA MTUPU!

Watanzania wengi tuna tatizo kubwa sana kwenye international arena,iwe ni kwenye uongozi wa kisiasa, Uchumi au michezo, watu wetu hawana Confidence kabisa!

Sisi ni mabingwa wa umbea, udaku na mambo mengine ya hovyo hovyo basi!

Umeandika utopolo.

Kama alionyesha kumudu pambano kwanini a-pretend kuumia? Mwakinyo hataki ushinidi?

Wewe ambae umejua waTZ wana lack of confidence umefika wapi? Umefanya nini kama hata mtaani kwako hujulikani? Una hata robo ya mafanikio ya Mwakinyo?

Huwa mnakuwa wa kwanza pindi watu kama Mwakinyo na Dayamondi wanapoteleza wakati wamepambana kwa juhudi zao binafsi bila mbeleko yeyote si serikali wala nani. They don't owe anybody nothing. Kila jambo lao ni juhudi zao binafsi. Kama unadhani ni rahidi fanya na wewe tukujue but until then hata kwenye ukoo wenu hujulikani. STFU.
 
Tena ni heri amekutana na Liam Smith angekutana na Callum Smith angemmaliza kabisa,

Hatuendelei kimichezo kwasababu tunafake,

Ushindi wa kupendelea Nyumbani, Mapambano ya kununua,

Sasa hivi Mandonga ananunuliwa Mapambano ili aonekane ana rekodi nzuri watu waje wapige hela,

Ila akija kutoka nje ya nchi tutapata aibu na Mabondia wetu hawatasainiwa na kupata mapambano nje kwasababu tutaonekana hatuna viwango!

Chanzo kufoji matokeo kwa kisingizio cha kizalendo kumbe tunaua michezo

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app

Unaonaje wewe ukapigana bila kununua hayo mapambano? Au wewe umefanya nini kwenye nyanja yako?
 
Umeandika utopolo.

Kama alionyesha kumudu pambano kwanini a-pretend kuumia? Mwakinyo hataki ushinidi?

Wewe ambae umejua waTZ wana lack of confidence umefika wapi? Umefanya nini kama hata mtaani kwako hujulikani? Una hata robo ya mafanikio ya Mwakinyo?

Huwa mnakuwa wa kwanza pindi watu kama Mwakinyo na Dayamondi wanapoteleza wakati wamepambana kwa juhudi zao binafsi bila mbeleko yeyote si serikali wala nani. They don't owe anybody nothing. Kila jambo lao ni juhudi zao binafsi. Kama unadhani ni rahidi fanya na wewe tukujue but until then hata kwenye ukoo wenu hujulikani. STFU.
kauza gemu mkuu hela ya kupigana ni usd 100,000 watu wa betting unajua wanatoaga ngapi haswa wale wa asia? tena unaambiw around ya 4 anguka, hata mshhindi alibaki kaduwaa,wachambuzi wa sky wamesema jamaa alifanya makusudui, comments za mashabiki ni kwamba hawataki tena jamaa apewe pambano huko
 
Boxing kama michezo mingine ikiwemo football haiko predictable, kutumia kigezo cha hizo round mbili za mwanzo alizofanya vizuri ndio amshinde mpinzani wake mwisho wa pambano unakosea.

Boxing iko kama inaendana na upepo, inawezekana round ya kwanza ukapata points nyingi, round ya pili mpinzani wako nae akapata points nyingi kutegemeana na vile alivyorekebisha makosa yake.

Mwakinyo amesema viatu vilikuwa vinamuumiza enka, pia namlaumu kwanini hakuvijaribisha hivyo viatu mapema ili aone kama vingemfaa mchezoni, hapa alifanya uzembe, but in life lazima wakati mwingine upitie njia ngumu ili zikufunze uendako.

Muhimu amesema kuna uwezekano wa kuwepo pambano la marudiano, tusubiri tuone, lakini unaposema watanzania wanapenda kubweteka nakataa; hakuna mtanzania asiyetaka ushindi popote duniani, kwani kushindwa sio sifa.
Mwambie pia kuna mchezo km Tennis

Akamuulize na Selena Williams juzi kafungwa na Katoto tu hadi akawa anasema uzee unamuendesha

No ni mchezo tu kwenye mchezo wowote kuna kupata na kupoteza huo ndio mchezo
 
Boxing kama michezo mingine ikiwemo football haiko predictable, kutumia kigezo cha hizo round mbili za mwanzo alizofanya vizuri ndio amshinde mpinzani wake mwisho wa pambano unakosea.

Boxing iko kama inaendana na upepo, inawezekana round ya kwanza ukapata points nyingi, round ya pili mpinzani wako nae akapata points nyingi kutegemeana na vile alivyorekebisha makosa yake.

Mwakinyo amesema viatu vilikuwa vinamuumiza enka, pia namlaumu kwanini hakuvijaribisha hivyo viatu mapema ili aone kama vingemfaa mchezoni, hapa alifanya uzembe, but in life lazima wakati mwingine upitie njia ngumu ili zikufunze uendako.

Muhimu amesema kuna uwezekano wa kuwepo pambano la marudiano, tusubiri tuone, lakini unaposema watanzania wanapenda kubweteka nakataa; hakuna mtanzania asiyetaka ushindi popote duniani, kwani kushindwa sio sifa.
viatu hadi interview ya kufeki kulia alikuwa kavivaa, intervuiew ya kwanza alikuwa anacheka kabisa baada ya kujua reaction hadi ya mshindi ni mbaya na mashabiki wamekasirika ikabidi ahojiwe huku anajiliza
sasa begi lilipotea siku 4 nyuma walishindwa kununua vingine? kwamba waliambiwa wasubiri masaa 5 airport ikahsindikana kurudia hata kesho yake, mazoezi hizo siku alifanyaje?
BETTINGS ZA ASIA Ni noma sana unaweza ukapewa hata billion ya kibongo unaambiwa anguka round ya 4
 
Back
Top Bottom