Bondia Mwakinyo ni Mfano halisi wa Watanzania walio wengi katika nyanja mbalimbali!

Mwambie pia kuna mchezo km Tennis

Akamuulize na Selena Gomez juzi kafungwa na Katoto tu hadi akawa anasema uzee unamuendesha

No ni mchezo tu kwenye mchezo wowote kuna kupata na kupoteza huo ndio mchezo
Selena Gomez??? Mkuu, iyo bangi ni ya wapi mkuu na mimi nichizi...inaelekea upo mahali pazuri.
 
Kala kichapo ya maana hadi watz wanafiki wamefuta post walizotuma kabla ya pambano.
 
Nilikuwa ubalozini kuhakikisha jamaa anarudi ubeberuni
Haya kumekucha amka hapo sebuleni kwa mume wa dada yako ukanunue vitumbua vya watoto, wewe utakunywa chai na makande yalibaki jana then fagia uani na uchambue matembere kwa ajili ya mchana.
 
Haya kumekucha amka hapo sebuleni kwa mume wa dada yako ukanunue vitumbua vya watoto, wewe utakunywa chai na makande yalibaki jana then fagia uani na uchambue matembere kwa ajili ya mchana.
Leo napeleka Lita 20 za mbege pale Ufipa st, kuna kikao cha sekretarieti
 
Umenena vema, kilichotokea kwa mwakinyo ni ajali kazini na inaweza tokea kwa mtu yeyote tu.asibezwe bali apewe muda zaidi,kiujumla naona kama mwamuzi kamhujumu mwakinyo japo sijui kama unyoshaji ule mkono ndio sheria iko vile au kuna namna nyingine ya kunyosha.binafsi naamini mwakinyo angeshinda.
 
Ukweli utabaki kuwa ukweli, jamaa kazingua saaana, ameleta aibu, viatu hadi kafika round ya nne? Alikuwa yupo vizuri tu, sasa ghafla ana chutama na kunyosha mikono kwenye Angle ya ulingo,, akiwa kachutama anatema Mouth teeth guard, halafu alifanya hivyo mara tatu?
Kisheria yeye mwenyewe alisema alitaka mwamuzi asimamishe pambano - maana awe dissqualified, smith apewe ushindi, kilichotokea ni TKO, na smith kapata ushindi.
Yoote kwa yoote , Smith angepata ushindi tu.
Swali ? Kwa nini alikataa kuendelea kupigana ?
Tena ghafla wakati alikuwa vizuri?
Kusingizia viatu sijui nini huo ni ujinga , amefanya jambo la aibu mno.
Promoter wa maana hawezi kumpa pambano tena, kwangu mimi amefanya jambo la AIBU kwa nchi yake.
 
So hao mashabiki wanaelewa nn kilikuwa kinaendelea wakati wa pambano? mashabiki wa uingereza ni kama wabongo 2 porojo nyingi sana, mwakinyo alienda uingereza mara ya kwanza wakat hakuna anayemjua ila hakuweza kuuza mechi ije nw? kwangu mie kweny mchezo wwt unapokuwa ndani ya mchezo kun mambo mengi ambayo mtu wa kawaida kuyaona ni nadra tumuache muhusika anajua nn kimetokea
 
Arudishwe apambane na kina Mandonga mjinga sana huyo kijana
 
[emoji23] faisali akiwa yanga kiwango akicheza taifa star mashudu.
mpaka waganda wanatufunga
 
Toka lini ukasikia Bondia anatokea Tanga!!???
 
we umeifanyia nini nchi yako,mbona unaongea kirahisirahisi tu?nadhani kama aliweza kufika huko basi amepambana
 
nadhani watanzania unawaelewa vizuri kwa kuona makosa ya wenzao na kujifanya wao ni perfect kumbe wanaishi kwa shemeji zao
 
acheni nadharia yaani gemu iuzwe afu iishe kizembe namna hiyo emu wazeni vizuri,
 
Mambo yake muachieni mwenyewe...

Kila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake...
 
Selena Gomez??? Mkuu, iyo bangi ni ya wapi mkuu na mimi nichizi...inaelekea upo mahali pazuri.
Selena Williams mkuu

Mwakinyo kanitoa kwenye line nimejikuta nmemwaga mafaili yakachanganyika
 
Boxing kama kuingia ghetto la popobawa kinyumenyume
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…