FourTwoNet
JF-Expert Member
- Aug 4, 2022
- 1,236
- 2,512
Selena Gomez??? Mkuu, iyo bangi ni ya wapi mkuu na mimi nichizi...inaelekea upo mahali pazuri.Mwambie pia kuna mchezo km Tennis
Akamuulize na Selena Gomez juzi kafungwa na Katoto tu hadi akawa anasema uzee unamuendesha
No ni mchezo tu kwenye mchezo wowote kuna kupata na kupoteza huo ndio mchezo
🤣🤣🤣🤣Kala kichapo ya maana hadi watz wanafiki wamefuta post walizotuma kabla ya pambano.
Nilikuwa ubalozini kuhakikisha jamaa anarudi ubeberuniNa muda huo wewe ukaishia kulala sebuleni kwa mume wa dada yako(mzee mgaya)
Haya kumekucha amka hapo sebuleni kwa mume wa dada yako ukanunue vitumbua vya watoto, wewe utakunywa chai na makande yalibaki jana then fagia uani na uchambue matembere kwa ajili ya mchana.Nilikuwa ubalozini kuhakikisha jamaa anarudi ubeberuni
Leo napeleka Lita 20 za mbege pale Ufipa st, kuna kikao cha sekretarietiHaya kumekucha amka hapo sebuleni kwa mume wa dada yako ukanunue vitumbua vya watoto, wewe utakunywa chai na makande yalibaki jana then fagia uani na uchambue matembere kwa ajili ya mchana.
Umenena vema, kilichotokea kwa mwakinyo ni ajali kazini na inaweza tokea kwa mtu yeyote tu.asibezwe bali apewe muda zaidi,kiujumla naona kama mwamuzi kamhujumu mwakinyo japo sijui kama unyoshaji ule mkono ndio sheria iko vile au kuna namna nyingine ya kunyosha.binafsi naamini mwakinyo angeshinda.Umeandika utopolo.
Kama alionyesha kumudu pambano kwanini a-pretend kuumia? Mwakinyo hataki ushinidi?
Wewe ambae umejua waTZ wana lack of confidence umefika wapi? Umefanya nini kama hata mtaani kwako hujulikani? Una hata robo ya mafanikio ya Mwakinyo?
Huwa mnakuwa wa kwanza pindi watu kama Mwakinyo na Dayamondi wanapoteleza wakati wamepambana kwa juhudi zao binafsi bila mbeleko yeyote si serikali wala nani. They don't owe anybody nothing. Kila jambo lao ni juhudi zao binafsi. Kama unadhani ni rahidi fanya na wewe tukujue but until then hata kwenye ukoo wenu hujulikani. STFU.
So hao mashabiki wanaelewa nn kilikuwa kinaendelea wakati wa pambano? mashabiki wa uingereza ni kama wabongo 2 porojo nyingi sana, mwakinyo alienda uingereza mara ya kwanza wakat hakuna anayemjua ila hakuweza kuuza mechi ije nw? kwangu mie kweny mchezo wwt unapokuwa ndani ya mchezo kun mambo mengi ambayo mtu wa kawaida kuyaona ni nadra tumuache muhusika anajua nn kimetokeakauza gemu mkuu hela ya kupigana ni usd 100,000 watu wa betting unajua wanatoaga ngapi haswa wale wa asia? tena unaambiw around ya 4 anguka, hata mshhindi alibaki kaduwaa,wachambuzi wa sky wamesema jamaa alifanya makusudui, comments za mashabiki ni kwamba hawataki tena jamaa apewe pambano huko
Arudishwe apambane na kina Mandonga mjinga sana huyo kijanakauza gemu mkuu hela ya kupigana ni usd 100,000 watu wa betting unajua wanatoaga ngapi haswa wale wa asia? tena unaambiw around ya 4 anguka, hata mshhindi alibaki kaduwaa,wachambuzi wa sky wamesema jamaa alifanya makusudui, comments za mashabiki ni kwamba hawataki tena jamaa apewe pambano huko
Toka lini ukasikia Bondia anatokea Tanga!!???Ukweli utabaki kuwa ukweli, jamaa kazingua saaana, ameleta aibu, viatu hadi kafika round ya nne? Alikuwa yupo vizuri tu, sasa ghafla ana chutama na kunyosha mikono kwenye Angle ya ulingo,, akiwa kachutama anatema Mouth teeth guard, halafu alifanya hivyo mara tatu?
Kisheria yeye mwenyewe alisema alitaka mwamuzi asimamishe pambano - maana awe dissqualified, smith apewe ushindi, kilichotokea ni TKO, na smith kapata ushindi.
Yoote kwa yoote , Smith angepata ushindi tu.
Swali ? Kwa nini alikataa kuendelea kupigana ?
Tena ghafla wakati alikuwa vizuri?
Kusingizia viatu sijui nini huo ni ujinga , amefanya jambo la aibu mno.
Promoter wa maana hawezi kumpa pambano tena, kwangu mimi amefanya jambo la AIBU kwa nchi yake.
nadhani watanzania unawaelewa vizuri kwa kuona makosa ya wenzao na kujifanya wao ni perfect kumbe wanaishi kwa shemeji zaoUmeandika utopolo.
Kama alionyesha kumudu pambano kwanini a-pretend kuumia? Mwakinyo hataki ushinidi?
Wewe ambae umejua waTZ wana lack of confidence umefika wapi? Umefanya nini kama hata mtaani kwako hujulikani? Una hata robo ya mafanikio ya Mwakinyo?
Huwa mnakuwa wa kwanza pindi watu kama Mwakinyo na Dayamondi wanapoteleza wakati wamepambana kwa juhudi zao binafsi bila mbeleko yeyote si serikali wala nani. They don't owe anybody nothing. Kila jambo lao ni juhudi zao binafsi. Kama unadhani ni rahidi fanya na wewe tukujue but until then hata kwenye ukoo wenu hujulikani. STFU.
acheni nadharia yaani gemu iuzwe afu iishe kizembe namna hiyo emu wazeni vizuri,Michezo esp. boxing ina mambo mengi. Kuna ndugu mmoja humu ameandika kama utani, ... "Mdhamini alipanga asishide"!
Hassan alikuwa fit kuliko Liam. Na Liam alijua hilo. Liam anaonekana alikwishachoka, bila shaka umri unaonekana kumtupa mkono.
Wazungu (waingereza) siyo kama sisi wabongo. Wako serious na mambo yao. Wana strategies na Liam atimize tena ndoto yake ya kutwaa mkanda. Ni heshima kwa Queen Elizabeth. Hassan alitumiwa kumwaandaa Liam, hivyo, alicheza kwa maelekezo. Hata body language yake ilionesha wazi.
Watanzania wazalendo na wapenda michezo msihuzunike kupita kiasi. Haya ndiyo moja ya madhara ya umaskini:
-unafiki, uongo, wizi, dhuluma, n.k. Mtu yuko tayari kusaliti. Hata hivyo, namsifu, anayepigana ni yeye. Umepewa 100m/= uachie pambano (mfano)! Ndiyo uzuri wa kucheza na matajiri bwana. Tanzanians, still have a very long way to go.
Selena Williams mkuuSelena Gomez??? Mkuu, iyo bangi ni ya wapi mkuu na mimi nichizi...inaelekea upo mahali pazuri.
Boxing kama kuingia ghetto la popobawa kinyumenyumeBoxing kama michezo mingine ikiwemo football haiko predictable, kutumia kigezo cha hizo round mbili za mwanzo alizofanya vizuri ndio amshinde mpinzani wake mwisho wa pambano unakosea.
Boxing iko kama inaendana na upepo, inawezekana round ya kwanza ukapata points nyingi, round ya pili mpinzani wako nae akapata points nyingi kutegemeana na vile alivyorekebisha makosa yake.
Mwakinyo amesema viatu vilikuwa vinamuumiza enka, pia namlaumu kwanini hakuvijaribisha hivyo viatu mapema ili aone kama vingemfaa mchezoni, hapa alifanya uzembe, but in life lazima wakati mwingine upitie njia ngumu ili zikufunze uendako.
Muhimu amesema kuna uwezekano wa kuwepo pambano la marudiano, tusubiri tuone, lakini unaposema watanzania wanapenda kubweteka nakataa; hakuna mtanzania asiyetaka ushindi popote duniani, kwani kushindwa sio sifa.
Umeua mkuuBoxing kama kuingia ghetto la popobawa kinyumenyume