Bondia Mwakinyo ni Mfano halisi wa Watanzania walio wengi katika nyanja mbalimbali!

Too myopic
 
Boxing ukiwa nnje ya uwanja unaweza hisi zile ngumi ni nyepesi

ingia ulingoni usikilizie uzito wa hayo makonde,yani kuna michezo

ya kutegea au kugawa ushindi ila sio boxing unaweza ukahisi sio ngumi ni mtwangio.
 
Ukiangalia hata body lauguage yake wakati anaingia ulingoni utaona kabisa huyu jamaa alipanda ulingoni kwa maelekezo...ilikua kama sinema tu.watu wanalipa hela zao kuja kukuangalia wewe....lakni kwa tamaa ya fedha unakubali kununuliwa..ni wizi uliopitiliza
 
Wewe mwenyewe hapa unafanya haya "Sisi ni mabingwa wa umbea, udaku na mambo mengine ya hovyo hovyo basi!".
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…