Bongo Flava ya sasa ni uozo mtupu

Bongo Flava ya sasa ni uozo mtupu

Usioonee Bongo fleva tu, muziki wa kisasa hata huko Marekani ndio wanavyoimba hivyo. Unamsikiliza tu Chris Brown lakini maneno ya kwenye nyimbo zake huyaelewi. Au umeshawahi kusikiliza WAP ya Cardi B?
Nicki Minaj aliwahi kuulizwa anajisikiaje nyimbo zake zikisikilizwa na watoto? Akajibu kwa ufupi tu, akasema, mimi sio mama yao.
Kwa kifupi endelea kumsikiliza Rose Muhando tu, haya mambo mengine waachie wengine. Period.
Weka hiyo clip Minaj akijib hivyo
 
Usioonee Bongo fleva tu, muziki wa kisasa hata huko Marekani ndio wanavyoimba hivyo. Unamsikiliza tu Chris Brown lakini maneno ya kwenye nyimbo zake huyaelewi. Au umeshawahi kusikiliza WAP ya Cardi B?
Nicki Minaj aliwahi kuulizwa anajisikiaje nyimbo zake zikisikilizwa na watoto? Akajibu kwa ufupi tu, akasema, mimi sio mama yao.
Kwa kifupi endelea kumsikiliza Rose Muhando tu, haya mambo mengine waachie wengine. Period.
Marekani ni toka zamani..kwahiyo kisa marekani wanafanya hivyo na hapo Bongo waachwe tu,ambapo miziki inapigwa pigwa hovyo kwenye bodaboda na watoto wanasikia mitaani?.
 
Usioonee Bongo fleva tu, muziki wa kisasa hata huko Marekani ndio wanavyoimba hivyo. Unamsikiliza tu Chris Brown lakini maneno ya kwenye nyimbo zake huyaelewi. Au umeshawahi kusikiliza WAP ya Cardi B?
Nicki Minaj aliwahi kuulizwa anajisikiaje nyimbo zake zikisikilizwa na watoto? Akajibu kwa ufupi tu, akasema, mimi sio mama yao.
Kwa kifupi endelea kumsikiliza Rose Muhando tu, haya mambo mengine waachie wengine. Period.
Tunaongelea maadili ya bongo,kuhusu USA wanafanya nyimbo za aina hiyo kutokana na ugumu wanao pitia pia parental guidance inazingitiwa kwa kiwango cha juu, tokea enzi za NWA wanaimba matusi tu, ila apa bongo mziki wa matusi umeibuka ghafla bila usimamizi wa kiwango cha juu.Hapo kwa mtogolee unataka mambo yawe kama lasvegas kweli?.
 
Tunaongelea maadili ya bongo,kuhusu USA wanafanya nyimbo za aina hiyo kutokana na ugumu wanao pitia pia parental guidance inazingitiwa kwa kiwango cha juu, tokea enzi za NWA wanaimba matusi tu, ila apa bongo mziki wa matusi umeibuka ghafla bila usimamizi wa kiwango cha juu.Hapo kwa mtogolee unataka mambo yawe kama lasvegas kweli?.
Hawa jamaa wanazingua..mitaani bodaboda na vibanda vya kubani miziki vinapiga hizo nyimbo hovyo na watoto wanazikariri na kuziimba
 
Wamarekani wakiimba matusi na sisi tuimbe, wajitembea uchi na sisi tutembee uchi,
Haiwezekani lazima tuwe na mipaka, uhuru ukizidi sana ni fujo.
Inasikitisha sana, mbaya zaidi hizo nyimbo zinapigwa kwa public kwenye daladala, mitaani, radio stations na TV 24 hrs.
 
Tunaongelea maadili ya bongo,kuhusu USA wanafanya nyimbo za aina hiyo kutokana na ugumu wanao pitia pia parental guidance inazingitiwa kwa kiwango cha juu, tokea enzi za NWA wanaimba matusi tu, ila apa bongo mziki wa matusi umeibuka ghafla bila usimamizi wa kiwango cha juu.Hapo kwa mtogolee unataka mambo yawe kama lasvegas kweli?.


Nilikuwa na maana kwamba, waache watu wafanye kazi zao usiwapangie cha kuimba kisa wewe una watoto. Ndio maana nikakutolea mfano wa Nicki Minaj, kasema mimi sio mama yao. Lea watoto watoto wako kwa hayo maadili unayotaka wewe. Huu ni Ulimwengu wa utandawazi, usitake Young Lunya aimbe unavyotaka wewe kisa unalea watoto. Watoto wako hao.
 
Inasikitisha sana, mbaya zaidi hizo nyimbo zinapigwa kwa public kwenye daladala, mitaani, radio stations na TV 24 hrs.
Basata ni jipu, wasanii wameiweka mfukoni wanafanya wanavyotaka.
 
Hizi ni zama na wakati wa miziki aina ya matusi, nyie wazee muda wenu umepita, mtupishe bhanaaah lol.
Wewe unajulikana ni team moja na kina Pete Butigieg.

Feel free. Naona unajiogopa ogopa.
 
"Gusanisha Hasi na Chanya, Gusanisha Paka na Panya, Gusanisha mama weeeeeee, Viuno vimefungwa Mota hivyo, si kuchafuana boxer huko...."

Mwanangu G Nako na bibie Maua Sama walitisha sana kwenye hii ngoma,

Sema nini kaka mkubwa, me nakuelewa sana, mziki wa bongo sasa hivi daah hauna ladha ile wakongwe tuliizoea, pia utunzi wa mashairi wameishiwa ndio maana kutwa kuigana tu.
 
Back
Top Bottom