Bongo Flava ya sasa ni uozo mtupu

Bongo Flava ya sasa ni uozo mtupu

Wewe unajulikana ni team moja na kina Pete Butigieg.

Feel free. Naona unajiogopa ogopa.
Kwani hii mada inahusu nini na hilo unalo zungumzia? Yaan nijiogope kwa kipi hasa tena hapa nyuma ya [emoji3491]?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], punguza stress kwanza na unywe maji mengi, then relaaaaaaaaaax. Poleeeeeeh
 
"Gusanisha Hasi na Chanya, Gusanisha Paka na Panya, Gusanisha mama weeeeeee, Viuno vimefungwa Mota hivyo, si kuchafuana boxer huko...."

Mwanangu G Nako na bibie Maua Sama walitisha sana kwenye hii ngoma,

Sema nini kaka mkubwa, me nakuelewa sana, mziki wa bongo sasa hivi daah hauna ladha ile wakongwe tuliizoea, pia utunzi wa mashairi wameishiwa ndio maana kutwa kuigana tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Woooooooooooow ma babeeeeh, kumbe unashka hadi mistari.
[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]
 
Woooooooooooow ma babeeeeh, kumbe unashka hadi mistari.
[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]
Lol, hilo song nalikubali sanaa baby, yaan wanaimba kama hawataki vile lakini full vibe,

Na kiuno chako kilivyokua hakina mfupa sasa, hapo ni kugusa halafu nanata,
[emoji7][emoji7][emoji7]
(Tutakuja kufukuzwa kwenye uzi wa watu, wenyewe wanapinga matusi, [emoji2960][emoji1][emoji23])
 
I Concur...
Strongly Agree.
Kuna vitu vikifika level fulani ni ngumu kuvizuia bali kuvitengenezea mazingira na utaratibu mzuri.
Kuna kipindi niliwahi andika uzi humu wa kufanya censorship ya nyimbo kwa utaratibu huu.

1. Mamlaka zinazohusika na kusimamia sanaa ziandae mgawanyo wa kimaudhui. Mfano nyimbo zote zinazotaja mambo ya ngono, vilevi, madawa ya kulevya, matumizi ya silaha ziwekwe kwenye kundi tuliite labda E'rated. Halafu nyingine zenye maudhui ya kawaida ziwe rated kama tuseme labda A'rated. Na mwongozo huu unatakiwa ufuatwe na kila msanii.

2. Msanii anapotaka kutoa wimbo lazima aufanyie tathmini ili ajue unadondokea wapi kati ya E'rated au A'rated na atatakiwa au'lebel kulingana na kundi unapodondokea.

3. Nyimbo zote ambazo ni E'rated hazitatakiwa kuchezwa redioni, kwenye tv, kwenye saluni au eneo lolote la umma. Na yeyote ambaye atabainika itabidi aadhibiwe kulingana na sheria ambayo itakuwa imetungwa (inatakiwa iwe kali sana). Nyimbo ambazo ni E'rated zitapatikana mitandaoni tu sehemu ambapo mtu anainngia kwa ridhaa yake.

4. Kama msanii ana wimbo ambao ni E'rated na anataka uchezwe redioni au kwenye tv, basi anapaswa kutengeneza clean version ambayo itakuwa rated kama A'rated.

Huu ni utaratibu mzuri unaohitajika kwa sasa ila unahitaji usimamizi wa karibu sana ili ufanye kazi. Bora huku kuliko kupiga kelele nyimbo zifungiwe kitu ambacho hakiwezekani.
Kwa upande wa filamu wanafanya hii kitu, tofauti ni kuwa kwa wao ni lazima upeleke filamu yako wanaikagua then wanaipa daraja.
 
Upumbavu mtupu[emoji23][emoji23][emoji23] mziki ulikuwa enzi zetu zile wakati bado mnatengewa miguu mjisaidie
Basi mkae kwa kutulia sasa, kelele za nn? Si muwage buzzy na hiyo miziki yenu, aaah msituchoshe Bhanaa lol
 
Short and clear ukiona unaanza kuchagua mziki wa kusikiliza na kukosoa ujue umri wako umesogea kwa hiyo hizi n Zama za vijana tuwaache nao wafurahie wakat wao

Wakat niga j na 2 proud wanaanza kuimba baba yangu alikuwa mkali sana kwetu akituasa kuwa eti ule n mzki wa wahuni kumbe haukuwa wakat wake wakati wake ulikuwa wa marijan rajabu maquise du zaire na wengineo
 
Lol, hilo song nalikubali sanaa baby, yaan wanaimba kama hawataki vile lakini full vibe,

Na kiuno chako kilivyokua hakina mfupa sasa, hapo ni kugusa halafu nanata,
[emoji7][emoji7][emoji7]
(Tutakuja kufukuzwa kwenye uzi wa watu, wenyewe wanapinga matusi, [emoji2960][emoji1][emoji23])
Wewe ndo unayemla matacle huyu uliyemquote?
 
Leo hii ndo nimesikiliza nyimbo ya harmonize na angella
Kuna sehemu nimesikia
"....anataka twende serengeti zanzibar kilimanjaroooo,
anahamisha pale nilipozoea anataka kuweka kwenye mtaroooo..."😆😆😆
But hii nyimbo ni tamu sanaaaaaa 🤭
 
Marekani ni toka zamani..kwahiyo kisa marekani wanafanya hivyo na hapo Bongo waachwe tu,ambapo miziki inapigwa pigwa hovyo kwenye bodaboda na watoto wanasikia mitaani?.
Inasikitisha Sana .. na Kuna watu Wana tetetea kabisa ..hawajali Wala hawashtuki kuona kizazi kinavyo haribika kwa kuwa na maadili mabovu
 
Mziki wa sasa ni matusi tu na nahisi wanaongoza na WCB nyimbo zao karibia zote lzm kuwe na matusi
 
Hawa jamaa wanazingua..mitaani bodaboda na vibanda vya kubani miziki vinapiga hizo nyimbo hovyo na watoto wanazikariri na kuziimba
Yaani imefikia hatua hauwezi kusikiliza mziki na watu unao waheshimu hata kwa bahati mbaya
 
Back
Top Bottom