Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alisema Yesu ni mzungu nani, ama kweli nilikosea kufananisha akili zako na mkia wa mbuzi. Samahani mkuuMchawi ni yule aliye kudanganya yesu ni mzungu ukampigia makofi
Kwahiyo pale ukatafsiri kua naumia kwa wewe kumnufaisha mganga.Unaandka halafu unasahau we mzee? kuumbe najibizana na kilaz flani ivi rudi kwenye mada then kalee wajikuu huko?
Hao ndo wachawi wako!Alisema Yesu ni mzungu nani, ama kweli nilikosea kufananisha akili zako na mkia wa mbuzi. Samahani mkuu
Kichwa maji akili zinaelea, wacha kuokoteza vineno kijana.
Uki mind vaa manyanga na weye! upate hela! make unawaone wivu!Kwahiyo pale ukatafsiri kua naumia kwa wewe kumnufaisha mganga.
Umeharibu uzi we kiumbe, Nyamboto.
Acha kutype wenye akili timamu tutoe hoja makini mkuu, nakuomba.Uki mind vaa manyanga na weye! upate hela! make unawaone wivu!
Sijaharibu kitu hapo ila weye ndo umekuja na mi-avatar kibao! na kulazimisha hoja za kishamba za kumsema hovyo tajiri! ambaye anakuzidi kipato! unamuombea mabaya eti ashuke!Umeharibu uzi we kiumbe, Nyamboto.
We sio mzima.Sijaharibu kitu hapo ila weye ndo umekuja na mi-avatar kibao! na kulazimisha hoja za kishamba za kumsema hovyo tajiri! ambaye anakuzidi kipato! unamuombea mabaya eti ashuke!
Hapa ndo unapokosea hapa!! ungekuwa na akili timamu usinge ni kashfu kwa neno hili la ''Nyamboto'' hiyo moja!Acha kutype wenye akili timamu tutoe hoja makini mkuu, nakuomba.
weye mwenye wivu ndo mzima?We sio mzima.
Najiona pia sio mzima kwa kujibizana na wewe.weye mwenye wivu ndo mzima?
Ndio maana nikasema wewe sio mzima.Hapa ndo unapokosea hapa!! ungekuwa na akili timamu usinge ni kashfu kwa neno hili la ''Nyamboto'' hiyo moja!
pili Km Unaona halali mfanya biashara kusimangwa Kweny JF! ulitegemea nini wakae kimya au!
Jf Siyo mali ya kikundi fulani!...ni kwa Dunia yooote siyo watanzania pekee! ukiingia humu ukubali yote sheria zao ziko wazi, natetea na kuelimisha Uuungu wa wafanya biashara, wao ndo wamekufanya weye wende pale!!
kwa nini uwasimange kwa huduma zao nzuri/mbaya wanazo tupatia? kuna sanduku la maoni pale uliogopa nini?? na kuja na avatar tofauti! tofauti! km mchawi wkt sisi wenye uchungu tupo?? ukitaka niache ondoka weye!
huwezi kamwe!! kuni judge mie km unavo dhania ni kujidanganya mchana kweupeee!! najitambua suala ni mteja mfalme na mtoa huduma,,, mengine umeyaleta wewe ili nikutukane nionekane mbaya!!
nakujibu kwa hoja kwa kile ulichokileta humu! twende kazi.....
Mie siyo mzima'' je? unacheti cha Daktari kuthibitisha hilo Mkuu? au umekusudia kuropoka tu! Mambo Yepi? nimeyaibua!! kkujibu unayo yaibua weye km haya ni kosa la nani? unajipinga??!Ndio maana nikasema wewe sio mzima.
Unaibua mambo ambayo wala sikuyaandika.
Unapenda ubishani usio na maana ndio maana unaibua hoja za ajabu na nyingine unajitungia tu.
Mfanyabiashara gani kasimangwa?? Ni wa duka lipi? Unamjua jina au hata sura yake.??
Hii ni kero kama kero kibao zinazoletwa humu, kama kuna mhusika anafanya hicho kitu ajirekebishe, sasa ajabu wewe unaropoka kama vile umetajwa/kunyooshewa kidole.
Yaani mtu atoe pesa apate huduma mbovu halafu asifie. Asifie upuuzi.
Kama unatoa huduma mbovu ama lah wewe ndie ulimletea nyodo mleta uzi mtasimangwa tuu mpaka muache hiyo tabia.
Mteja ni mfalme na itabaki kua hivyo milele. Pinga upingavyo lakini lazima mteja anyenyekewe.
Mfanya Biashara wa simu wa Bongo ndo kasimangwa!Mfanyabiashara gani kasimangwa??
Kma umeona ni kero kwa muktadha huo na mie nimetoa kero wanazo ziona wafanya biashara kutoka kwa wateja wao! weye umetoa kero kama mteja na mie nimejibu km Mfanya biashara na mtoa huduma husika tatizo liko wapi?sasa ajabu wewe unaropoka kama vile umetajwa/kunyooshewa kidole.
Kama huduma umeifuata kubalina na yale utakayo yakuta pale km huwezi si uende unako amini ni salama?? tatizo liko wapi?? km siyo uchawi hapo ni nini?Yaani mtu atoe pesa apate huduma mbovu halafu asifie. Asifie upuuzi.
Hata sisi hatuwataki, kaeni huko huko! tutauzia wanao jitambua siyo kulazimisha ufalme kwenye biashara ya mtu! tuna watu wetu maalumu wanao jitambua kutoka nchi jirani, na maduka hatufungi ng'oo!! hapa ni mtakuja! tu!ama unatoa huduma mbovu ama lah wewe ndie ulimletea nyodo mleta uzi mtasimangwa tuu mpaka muache hiyo tabia.
Mteja ni mfalme lkn ajue mie ndo namuweka kuwa Mfalme! hatabakia hivo nikimuamulia ata shuka tu! na ufalme wake utakuwa historia!Mteja ni mfalme na itabaki kua hivyo milele. Pinga upingavyo lakini lazima mteja anyenyekewe.
Nakuunga mkono dharau inatuponza Sana sikumoja nikawekasalio naona siku kama sina data kabsa si nikapiga na akapokea Yani nilijuta kupoteza muda wanguNimeenda duka la simu ulizia kitu flani ..mwenye duka ashakua maarufu ndo Mana niliagiziwa pale, nimeshangaa Sana yuko busy na insta hanisikilizi Mara ana screenshot insta anamtumia mfanyakazi wake namuongelesha hanisikilizi
Hivi tutafika kweli kwa style hii? Kwamba duka kujaa vitu ana dharau elf30 yangu hivi wabongo kuwa na ka duka Cha spea za simu, simu mpya /used charger nk unaona Kama dunia yote yako daa...Imeniuma Sana.
Hivi matajiri wenzetu huko mambele na wenyewe wanadharau? Ile kukudharau sababu unanunua labda earphone za elf 5 hajui pesa ndogo na kubwa ndo zimemfanya afikie hapo kwa sasa
Sawa anzisha hizo harakati ndgu ila kamwe hutoenda tofauti na nature, mteja ni mfalme na itabaki hivyo.Mie siyo mzima'' je? unacheti cha Daktari kuthibitisha hilo Mkuu? au umekusudia kuropoka tu! Mambo Yepi? nimeyaibua!! kkujibu unayo yaibua weye km haya ni kosa la nani? unajipinga??!
Narudia tena!! Binafsi sibishani .......naelimisha mbona huelewi rudia kusoma tena!
Mfanya Biashara wa simu wa Bongo ndo kasimangwa!
Kma umeona ni kero kwa muktadha huo na mie nimetoa kero wanazo ziona wafanya biashara kutoka kwa wateja wao! weye umetoa kero kama mteja na mie nimejibu km Mfanya biashara na mtoa huduma husika tatizo liko wapi?
Kama huduma umeifuata kubalina na yale utakayo yakuta pale km huwezi si uende unako amini ni salama?? tatizo liko wapi?? km siyo uchawi hapo ni nini?
Hata sisi hatuwataki, kaeni huko huko! tutauzia wanao jitambua siyo kulazimisha ufalme kwenye biashara ya mtu! tuna watu wetu maalumu wanao jitambua kutoka nchi jirani, na maduka hatufungi ng'oo!! hapa ni mtakuja! tu!
Mteja ni mfalme lkn ajue mie ndo namuweka kuwa Mfalme! hatabakia hivo nikimuamulia ata shuka tu! na ufalme wake utakuwa historia!
Ohooo vichaa tena, wewe vyeti vyao toka hospitali unavyo mkuu au umekusudia kuropoka tu??kichaa katulia sasa! .......avatar zote kwishne!
Mfalme ni mteja lkn siyo kila mteja ni mfalme! hilo uliweke akilini!mteja ni mfalme na itabaki hivyo.
Hao ni wafanya biashara wa nchi zilizo endelea tena wana super profit! siyo wapigaji wa bongo lkn hata hivo jaribu kumzengua kibongo bongo uone moto wake!!!Kuna kipindi sim za samsung (sikumbuki ni aina gani) zilikua na tatizo la kulipuka. Wateja walilalamika, kampuni ikawalipa vyema kabisa.
Ili kampuni yako ikue ni lazima umridhishe mteja wako, Elon mask na ujeuri wake wote na pesa zake zote lakini anawasikiliza wateja wanataka nini na anatii. Wameomba Trump arudishwe twitter kakubali, anawachezea wafanyakazi wake lakini katu hawachezei wateja wake wala hana lugha mbofu kwa wateja wake.
Mifano ni mingi mno mkuu kuthibitisha jinsi mteja anavoonekana mfalme mbele ya wafanyabiashara.
Wapigie tigo/voda huduma kwa wateja(100) uone wanavonyenyekea hata kama laini yako hujaweka vocha mwezi mzima.
Na hao niliowataja sio kina kajamba nani kama mimi na wewe lah ni makampuni tajiri kwelikweli hayauzi infinix stendi ya makumbusho.
Allaaah! nilikuwa nataka nijue je limekuingia au ume skip!!....... kumbe umeliona hilo safi sana! ungepiga kimya hapa ningejua naongea mwenyewe km kichaa!! ...safi sana sasa twende kazi!Ohooo vichaa tena, wewe vyeti vyao toka hospitali unavyo mkuu au umekusudia kuropoka tu??
Somo limeingia safi sana. Ulikua hukubali ufalme wa mteja sasa umekubali walau kwa kiasi kidogo. Ni vyema.Mfalme ni mteja lkn siyo kila mteja ni mfalme! hilo uliweke akilini!
Okay hao wana super profit, siku umsimamishe yule mama anaeuza mihongo, karanga nk utake kununua bidhaa yake uone kama atakuonesha dharau ya aina yoyote haijalishi umeenda na hali gani(maskini/tajiri).Hao ni wafanya biashara wa nchi zilizo endelea tena wana super profit! siyo wapigaji wa bongo lkn hata hivo jaribu kumzengua