Bongo huduma kwa wateja ni sufuri

Mi kuna siku nilienda kwa wakala wa CRDB kutoa hela, nitakutumia ile njia ya kutoa kwa wakala bila kadi, aisee kwa mshangao yule mwanamama wa makamo aliona eti mi tapeli, yaani akaanza kunisukumizia maneno mengi, dah nikamuelewesha ila hakuelewa ila nikaja kuona hicho kisehemu ni cha muhindi na anafanya kazi kwa muhindi hivyo kazoea kutukanwa na muhindi hivyo akipata upenyo anamalizia hasira zake kwa yeyote
 
Hili zezeta halijalala tu
tena una bahati ungekuja kwangu nakutia vitasa kabisa si vya Dunia hii!! ukome kuingia ingia maduka ya watu! eti unasingiziza unafanya window shopping hujakutana na wamiliki waliopinda weye!!

ufalme wako peleka huko sirari kwenu
 
Wewe ni chizi.

Unapenda majibizano yasiyo na staha, hupendi amani.
Kaa na ujinga wako.
 
Wewe ni chizi.
weee!! ndo chizi kabisa kwisha kazi ....hoja na refferences !refferences za Biblia hujui km kilaza flani hivi....jibu hoja kwani Mungu kutamka ni uchizi?? Mikurya bana sijui ikoje! inafikiri kila kitu ni ng'ombe!
 

Ujejibu kijinga sana ila ongera
 

Sasa umepanic nn na kiingereza chako cha ST john bosco
 
weee!! ndo chizi kabisa kwisha kazi ....hoja na refferences !refferences za Biblia hujui km kilaza flani hivi....jibu hoja kwani Mungu kutamka ni uchizi?? Mikurya bana sijui ikoje! inafikiri kila kitu ni ng'ombe!
Reference za biblia ziko wapi hapo!?
Kwa jinsi navokujibu vizuri mpaka unahisi nimequote maneno toka kwenyd biblia!! Hahahahaha

Jifunze ustaarabu, hayo ni maneno ya kawaida tu toka kichwani kwa mstaarabu wala sio biblia.

Mdada kua na hulka kama hiyo haipendezi.

Na mimi sio mkurya acha kuwananga wakurya mkuu, si jambo zuri.
Ni moja ya ubaguzi na ukabila kumsema mtu kwa nia ya kumghadhabisha huku ukilitaja kabila ambalo huna uhakika kama ni lake ama lah.
 
Na mimi sio mkurya acha kuwananga wakurya mkuu, si jambo zuri.
Typically U'r just like kurya gang! ulizia mzazi wako ulitokwa wapi?? en' so u know dat am sneering kurya Right! de same like de way u'r! Ok!
Reference za biblia ziko wapi hapo!?
Oooh! well!! Biblical references just review of what u've responded to!
 
Typically U'r just like kurya gang! ulizia mzazi wako ulitokwa wapi?? en' so u know dat am sneering kurya Right! de same like de way u'r! Ok!

Oooh! well!! Biblical references just review of what u've responded to!
Hakuna maneno toka kwenye kitabu chochote ndgu, ni vile hujazoea maneno yenye staha zaidi ya kuyaona kwenye biblia tu.

Hii inadhihirisha watu wako wa karibu wapo kama wewe. Uchizi uchizi na mcharuko.

Tulia hapo usubiri wafalme wakupe hela, hii yote ni kwa sababu wateja hawalikaribii duka lako hata kwa kuuliza tu, ndio maana uko busy humu jf.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…