Tukaoge kwani tunanuka/wachafu?? uliambiwa sisi tunanuka mpaka tuoge siyo??...Nani alikwambia maji mpaka Dawasco?? tatizo hukusoma ukaelewa na st kayumba yako hiyo!kwanza hamjaoga mnategemea dawasco hadi Leo
Hayo maji yanatokea wapi wapi nahauna maji wote mnategemea dawasco wachace ndio wanavisima vyao wewe na kuunga kwako maisha hapa mjini ujidai unajua hiyo steam body sijui minini kama hamna maji mvuke unatokea wapi??Tukaoge kwani tunanuka/wachafu?? uliambiwa sisi tunanuka mpaka tuoge siyo??...Nani alikwambia maji mpaka Dawasco?? tatizo hukusoma ukaelewa na st kayumba yako hiyo!
siku hizi wenzako tuna internal jaccuz steam body bath! najua huijui!...uliza uelekezwe unasikia?? siyo unandandia Meli kwa mbere tyuuu
Nikikwambia weye mchawi unapinga!! sasa unamuharibia mwenzio kazi, eti asemwe kwa Boss!! halafu???....afukuzwe kazi akahangaike siyo?? kwani yeye alijye mujibu ni malaika?Huyo Ni kumsema kwa boss wake
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Dah nimecheka kisukuma kabisa hukuWakuu! Hamuwezi amini ila viongozi wetu wana tabia na akili ndogo kama ya smaki
Siyo hunijibu!! ila ni kwa sababu hujui kitu umedandia tu traeni kwa mbele, sasa km hujui kuwa hujui utanijibu nini?? hayo unayo tumia weye haya, ya design hiyo ni ya kizamani sana!! poleee sana! hujui kuwa hujui!Hayo maji yanatokea wapi wapi nahauna maji wote mnategemea dawasco wachace ndio wanavisima vyao wewe na kuunga kwako maisha hapa mjini ujidai unajua hiyo steam body sijui minini kama hamna maji mvuke unatokea wapi??
Acha kuzuga wenzako mie sio wa st Kayumba .
Hili linatumia maji umeelewa so Kaa kwakutulia sio ujishaue eti wewe ni wakimataifa mwone .
Wenzako tunaexperience na hizi usitufanye wajinga na ushamba wako kwendraa kwanza sikujibu Tena .
Upo sahihi sana Smaki, WaTZ na Waafrika wengi wamegeuza ile kauli ya mteja mfalme kama ni fimbo kwa muuzaji, huu ni unyanyasaji na si haki. Binafsi nikija dukani kwako nahitaji huduma nzuri tu, dharau sitaki kwa sababu nami sitokuletea dharau. Hata nikikuta unaongea na simu nitaacha umalize then unihudumie kistaarabu. Salamu siyo muhimu sana kwangu. Nataka tu heshima kwa sababu mimi nami huheshimu mno wauzaji.Yaani sisi Matajiri/ wasomi/wabobevu ktk jamii husika kuitwa majina ya kila aina ndo zetu! make ukiulizwa kwanini unamuita ivo ''mchonga''au Mzee Rhuksa, huna jibu!
sababu ni umaarufu tu na kujua vingi kunawakereketa watu! make sisi tunajua kuwa tunajua! na mengi tunafanya hatutanii! km watu wengine!
si mbaya, mkituita wajuaji mwake tu bin shega! halafu tunafurahiiiii! mara nyingi tunajibiwaga vijibu rahisi vifupi vya hovyoo hivo utasikia ... chizi, umelewa, mjinga, maskini, yaani ili mradi tu mtu asiyejua maana ajibu kitu!
Ila kusema ukweli usijipendekeze Dukani kwangu kisa Mteja mfalme wkt weye ni chuma ulete aseee!! utaona mbivu na mbichi Live!....sijui eti uni kashfu kwenye biashara yangu na ukurya wako huo weeee!!!
Mfalme njoo! Dukani kwangu kwa adabu zote na heshima utapewa Huduma stahili ili uondoke salama na mie nibaki salama!...lkn ukija kibange bange nakupeleka kibange bange! tena sikutaki na hela zako hizo!
ili wengine wajinga km weye wajifunze!....weye kwangu ni mfalme ni sawa!!..... hata mie ni Mfalme hukoooo nako chukua Bidhaa kukuletea hapo ili uzitumie! kikubwa nidhamu!
Tatizo la wakurya wao wakisikia Mteja ni mfalme eti wanalichukulia ivo vio! ili kupanda watu vichwani!! Banae kaa huko huko na uchizi wako huo!
Pitia comments zake walau nyuzi 3..utaelewa..anaaandika gazeti na presha zote🤷♂️Umeandika gazet nimesoma Hadi ulipoanza andika weye nikaacha naona Ni utumbo tu
Kuandika gazeti lenye ukweli! ni kipaji adimu sana dogo! tunaweza wachache mnoo! wewe kamwe huwezi!!gazeti na presha zote🤷♂️
weweeee jamaaa umefunga mjadala safi sana! loooooo! likoje hilo jamaaaaBora wewe kuna jamaa kwetu huko linauza viatu vya mtumba .Lenyewe linakuangalia likikuona huna muonekano wa hela hata halijisumbui kuinuka na ukiliuliza uliza linajitajia tu mabei ya kuropoka .Kiatu cha elf hamsini linakwambia laki tatu hicho ,mara laki sita hicho.Utaondoka mwenyewe.Sijaenda siku nyingi sijui bado lipo hilo jamaa lijivuni.December hii ngoja nipite nione kama bado lipo hilo lifanya biashara jeuri na jivuni kweli.
Gazeti lote hilo la nini ndgu, mbona una makasiriko sana!??Yaani sisi Matajiri/ wasomi/wabobevu ktk jamii husika kuitwa majina ya kila aina ndo zetu! make ukiulizwa kwanini unamuita ivo ''mchonga''au Mzee Rhuksa, huna jibu!
sababu ni umaarufu tu na kujua vingi kunawakereketa watu! make sisi tunajua kuwa tunajua! na mengi tunafanya hatutanii! km watu wengine!
si mbaya, mkituita wajuaji mwake tu bin shega! halafu tunafurahiiiii! mara nyingi tunajibiwaga vijibu rahisi vifupi vya hovyoo hivo utasikia ... chizi, umelewa, mjinga, maskini, yaani ili mradi tu mtu asiyejua maana ajibu kitu!
Ila kusema ukweli usijipendekeze Dukani kwangu kisa Mteja mfalme wkt weye ni chuma ulete aseee!! utaona mbivu na mbichi Live!....sijui eti uni kashfu kwenye biashara yangu na ukurya wako huo weeee!!!
Mfalme njoo! Dukani kwangu kwa adabu zote na heshima utapewa Huduma stahili ili uondoke salama na mie nibaki salama!...lkn ukija kibange bange nakupeleka kibange bange! tena sikutaki na hela zako hizo!
ili wengine wajinga km weye wajifunze!....weye kwangu ni mfalme ni sawa!!..... hata mie ni Mfalme hukoooo nako chukua Bidhaa kukuletea hapo ili uzitumie! kikubwa nidhamu!
Tatizo la wakurya wao wakisikia Mteja ni mfalme eti wanalichukulia ivo vio! ili kupanda watu vichwani!! Banae kaa huko huko na uchizi wako huo!
Huna hoja bali vioja.Sema hujui reffernces ya hayo maneno ndg! najibu kulingana na mtu alivyo huo siyo ukosefu wa staha, labda hujui maana yake umeamuamua kuongea tu km kawaida yako!
Kwa sababu weye ni mtu huru unaweza tamka lolote! na likaruka hewani mkuu! ndo mlivyo!
Labda km hujanielewa! si kila ajiitaye Mfalme ni Mfalme wa kweli, huko Tarime mnadanganywa sana. najua hamchui ghiswahili ndo tatizo lenu kubwa
Mie ni Boss mkuu! nina watu km weye nawalipa kunifanyia kazi zangu! ! na Book la Maombi limejaaa siku Guest house yako ikibuma njoo nikupe kazi! usione aibu najua
Hata kama ni ivo! sawa! lkn nina stahili kuchangia JF !... sasa naomba nikushauri Mkuu! mambo ya kwenda kufanya wIndow shopping na kusaka Ufalme?? acha Umekua ntu mzima sasa!!Huna hoja bali vioja.
Hauko sawa kichwani mkuu, sikulaumu kwa hilo.
Usijari mazuri yako nimeyachukua na nitayafanyia kazi. Ondoa hofu juu ya hilo.Hata kama ni ivo! sawa! lkn nina stahili kuchangia JF !... sasa naomba nikushauri Mkuu! mambo ya kwenda kufanya wIndow shopping na kusaka Ufalme?? acha Umekua ntu mzima sasa!!
unachafua tu, maduka ya watu! huna hela! ukae tulia! kwani hata mkeo asipokuheshimu kwa sababu ya matusi km haya mvumilie tu! utakula mbivu one day!
Lkn hata hao wauza Duka ni wavumilivu, nawapongeza kwa hilo! make wanakutana na mengi sana km vile , vichaa! wanuka midomo, visrani, walevi km mleta mada! chuma ulete! Doooo!
Mwisho chukua mazuri yangu!! lkn ya ukichaa wangu yaache, naamini itakusaidia maishani na utanikumbuka one day!...mie nakushauri free of charges! hutapata ushauri km huu milele!
wanafanya biashara wasiyokuwa na elimu nayo.Bongo bana bado tu tatizo la customer care yan IPO poor Sio madukani tu hata kwenye mitandao ya simu haswa halotel kiukweli bado tuna safari ndefu ya kujifunza namna ya kumhudumia mteja ili hata kama leo hakuweza kufikia bei uliyoweka basi kesho aweze kurudi tena.
Credit kwa mtoa uzi kwa kuuleta wakati sahihi.
Hahaaaaaaaaaaaaaa hana mazuri huyuUsijari mazuri yako nimeyachukua na nitayafanyia kazi. Ondoa hofu juu ya hilo.
Na asante kwa ushauri ndgu.
ahahah hilo jamaa kama uliliona miaka 2 iliyopita, kwa mienendo hyo sasahvi haliwezi kuwepo! ukilikuta unitagBora wewe kuna jamaa kwetu huko linauza viatu vya mtumba .Lenyewe linakuangalia likikuona huna muonekano wa hela hata halijisumbui kuinuka na ukiliuliza uliza linajitajia tu mabei ya kuropoka .Kiatu cha elf hamsini linakwambia laki tatu hicho ,mara laki sita hicho.Utaondoka mwenyewe.Sijaenda siku nyingi sijui bado lipo hilo jamaa lijivuni.December hii ngoja nipite nione kama bado lipo hilo lifanya biashara jeuri na jivuni kweli.
Aisee!Hatuwataki bana! sawa walitoka huko kunako umaskini lkn sasa hawapo! huko umaskinini njooo nunua fuata sheria za pale siyo uje eti wewe mteja ni mfalme ulete huo ufalme kwangu nyoooo utakoma nakwambia!