Bongo huduma kwa wateja ni sufuri

Nawapa msaada tuta! km ivi ' kuwa Mfalme/Rais kiongozi maanake uwapende kwa dhati na uwaongoze kwa hekima pia uwaheshimu uwatendee haki watu wako hao waliokuchagua ,

watu waliokuchagua kwa hiari zao hao unao waongoza!! usithubutu kuwanyima watu hao haki zao za msingi kwa kufanya ivo Umma huo utakugeuka tu! hata ufanyeje! mifano ipo hata hapo Bongo ipo??

kuna rijamaa moja renyewe liliua tu watu kwa kujifurahisha hapo Bongo kisa ufalme halikudumu hata sekunde! kwenye ufalme huo!

tuje kwa Wewe Mteja mfalme uliye dharauliwa kifupi hukuwa na heshima/nidhamu kwa yule aliyekufanya uwe mfalme pale kwa nini usifanywe km huyo Mfalme wa Bongo land!

Make jua kuwa huyo anaye kuona Mfalme ndo amekufanya wewe uwe mfalme kwake leo! eti unamdharau sababu amekudharau anaongea na simu, Pale hata weye ume mdharau sababu yuko instagram simuni!

Mfalme ukileta dharau kwa waongozwa, wanakupindua maksudi au unauawa ili udharaulike zaidi! kuna cha kusema hapo??Misemo mingine msirukie tu eti Mteja ni Mfalme ni Mteja basi unaruka nao km zuzu!

kumbuka Mfalme anawekwa awe hapo alipo na watu, so Mfalme anatakiwa kuwa heshimu hao watu! walio mweka pale!! tukija kwa hilo rigujamaa limekwenda dukani kwa mtu,

tena linamdharau huyo mwenye Duka kuwa ameridharau wakt huyo mtu ndo amelifanya liko hapo Dukani kwake! hiyo ni akili au Matope ya Mtaro! kuna watu humu eti wanasikiliza na kumpongeza mjinga km huyu mweee!

Mfalme anawekwa na watu!!....watu gani hao?? ..... wale anaowaongoza na watakao muhesimu mbeleni huko!!......je asipofanya vyema mfalme wamafanyeje.......apinduliwe tu.........baadaye ....... wamweke mwingine wanao mtaka baaaasi!

ivo mleta Mada ni sawa na Mfalme aliye pinduliwa wala sidanaganyiki!
 
Una bwajabwaja pointless
 
Shule zimefungwa sasa
 
Ego is in its work. Yaani wewe ama mimie mwenyewe ndio adui ya maisha yangu mwenyewe. Ni ngumuno mtu kushinda Vita ya yeye mwenyewe Mana Kuna a lot of demons waiting to attack me at every angles baadaye lawama nahamishia kwingine kabisa Mana Ni ngumu mno kurudisha jicho ukajitazama wewe ndani yako
 
Una bwajabwaja pointless
Jibu rahisi sana kwa hoja nzito!! nakushauri Mkuu Baba! mtu mzima uache tabia ya kuzungukia Biashara za watu! siyo tabia nzuri...iko siku utajajutia ! na utakumbuka maneno yangu endelea!
 
Tumia akili wewe hakuna chuma ulete, unamnufaisha tu huyo mganga wako anaekupa dawa na kukufanyia makitu ya ajabu.
 
Mbona povu limekutoka sana , itakuwa ndio tabia zako sio bure ,mteja ni mfalme ,bila wateja huwezi kuishi mjini km unafanya biashara tulia dawa ikuingie
 
Tumia akili wewe hakuna chuma ulete, unamnufaisha tu huyo mganga wako anaekupa dawa na kukufanyia makitu ya ajabu.
Chuma ulete ni uchawi! ...Mungu anaujua uchawi, mitume wa Mungu Musa , Paulnk, walirogwa, wewe nani useme uchawi wa chuma ulete haupo??,,,kama unasema uchawi wa chuma ulete haupo! basi weye si wa mfano wa Mungu!

kifupi unatumia akili za kuzimu hujui tu! na wale woote wa kuzimu hawakuumbwa kwa mfano wa Mungu aliye hai! wanasubiri ziwa la moto! sasa mtu wa kuchomwa moto unadania atasema nini??
 
Embu acha ujinga unajiabisha bure
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…