Bongo huduma kwa wateja ni sufuri

Bongo huduma kwa wateja ni sufuri

Nawapa msaada tuta! km ivi ' kuwa Mfalme/Rais kiongozi maanake uwapende kwa dhati na uwaongoze kwa hekima pia uwaheshimu uwatendee haki watu wako hao waliokuchagua ,

watu waliokuchagua kwa hiari zao hao unao waongoza!! usithubutu kuwanyima watu hao haki zao za msingi kwa kufanya ivo Umma huo utakugeuka tu! hata ufanyeje! mifano ipo hata hapo Bongo ipo??

kuna rijamaa moja renyewe liliua tu watu kwa kujifurahisha hapo Bongo kisa ufalme halikudumu hata sekunde! kwenye ufalme huo!

tuje kwa Wewe Mteja mfalme uliye dharauliwa kifupi hukuwa na heshima/nidhamu kwa yule aliyekufanya uwe mfalme pale kwa nini usifanywe km huyo Mfalme wa Bongo land!

Make jua kuwa huyo anaye kuona Mfalme ndo amekufanya wewe uwe mfalme kwake leo! eti unamdharau sababu amekudharau anaongea na simu, Pale hata weye ume mdharau sababu yuko instagram simuni!

Mfalme ukileta dharau kwa waongozwa, wanakupindua maksudi au unauawa ili udharaulike zaidi! kuna cha kusema hapo??Misemo mingine msirukie tu eti Mteja ni Mfalme ni Mteja basi unaruka nao km zuzu!

kumbuka Mfalme anawekwa awe hapo alipo na watu, so Mfalme anatakiwa kuwa heshimu hao watu! walio mweka pale!! tukija kwa hilo rigujamaa limekwenda dukani kwa mtu,

tena linamdharau huyo mwenye Duka kuwa ameridharau wakt huyo mtu ndo amelifanya liko hapo Dukani kwake! hiyo ni akili au Matope ya Mtaro! kuna watu humu eti wanasikiliza na kumpongeza mjinga km huyu mweee!

Mfalme anawekwa na watu!!....watu gani hao?? ..... wale anaowaongoza na watakao muhesimu mbeleni huko!!......je asipofanya vyema mfalme wamafanyeje.......apinduliwe tu.........baadaye ....... wamweke mwingine wanao mtaka baaaasi!

ivo mleta Mada ni sawa na Mfalme aliye pinduliwa wala sidanaganyiki!
 
Hivi!!! kuumbe una kwako na wewe? looool!!....... Nakushauri ivi!! kuzurula kwenye Maduka ya watu, ni matumizi mabaya ya Muda, kwanza unawachafulia maduka yao baada ya wao kufanya usafi!!

Jamaa alikuwa sahihi kabisa kukudharau kwa style ile!! utake usitake utadharauliwa tuu na ndivo ulivo hata humu mie nakudharau sana tu kwa kina! hufai hata kuigwa! weye Mzembe sana!

Baba wa mji kabisa unadiriki kuzurura Madukani kwa watu eti unasaka bei rahisi! tena unajisifu!! Mfalme ni mteja sasa jiulize mfalme gani huyo mzururaji, ananuna hovyo, mpenda vya rahisi ivo, Majungu? tena mzururaji! kwa nini una zurula wkt wa kazi eti natafuta vya Rahisi? mweee!
Una bwajabwaja pointless
 
Shule zimefungwa sasa
Sidhani km umesoma drsani japo kiduchu! una kila dalili za utoro.....sasa Daktari wa ubongo anaitwaje na Hospitali gani acha dsm Duniani??

auko sawa au hauko sawa? majibu haya yana akisi akili yako!......mjadala hapa ni ''customer care za kibongo ni sifuri'' kitu ambacho napinga mpaka kesho! weye unakuja na suala la Ubongo! ambao hata huujui!

hata kichaa wa majalalani, anaona wazima ni vichaa zaidi, tena kuliko yeye!! ndo mlivyo nyie watu wa hivi! msiokuwa na hoja tunduizi!! nasepa ivi ''mkomeee kuzurula kwenye Maduka ya wenye nazo eti kusaka uteja ni Mfalme''

kuna wengine Mteja ni kidampa tu km weye! hata ukimuombea kushuka hashuki ng'oo, jipendekeze upandie hapo. Mungu alisha sema Mwenye nacho ataongzewa tuuuu!! Nuna pasuka mtasubiri sana!

na maneno yenu ya hovyo!! sisi smaki team tunaamini ''si kila mteja ni Mfalme'' lia pasuka ndo tueamua ivo no body shall take it away! hatubadiriki! tena ukija vibaya na ufalme wako huo tunakutia Loch up!
 
Nimeenda duka la simu ulizia kitu flani ..mwenye duka ashakua maarufu ndo Mana niliagiziwa pale, nimeshangaa Sana yuko busy na insta hanisikilizi Mara ana screenshot insta anamtumia mfanyakazi wake namuongelesha hanisikilizi

Hivi tutafika kweli kwa style hii? Kwamba duka kujaa vitu ana dharau elf30 yangu hivi wabongo kuwa na ka duka Cha spea za simu, simu mpya /used charger nk unaona Kama dunia yote yako daa...Imeniuma Sana.

Hivi matajiri wenzetu huko mambele na wenyewe wanadharau? Ile kukudharau sababu unanunua labda earphone za elf 5 hajui pesa ndogo na kubwa ndo zimemfanya afikie hapo kwa sasa
Ego is in its work. Yaani wewe ama mimie mwenyewe ndio adui ya maisha yangu mwenyewe. Ni ngumuno mtu kushinda Vita ya yeye mwenyewe Mana Kuna a lot of demons waiting to attack me at every angles baadaye lawama nahamishia kwingine kabisa Mana Ni ngumu mno kurudisha jicho ukajitazama wewe ndani yako
 
Una bwajabwaja pointless
Jibu rahisi sana kwa hoja nzito!! nakushauri Mkuu Baba! mtu mzima uache tabia ya kuzungukia Biashara za watu! siyo tabia nzuri...iko siku utajajutia ! na utakumbuka maneno yangu endelea!
 
Hatudanganyiki kirahisi hata siku moja Chuma ulete mpo live!! km sisi ni visingizio kwa nini weye chuma ulete usije na sababu km hizo hizo za kusingiziwa?....kwani chuma ulete ukimkamata atasemaje?

ivoivo km ulivo jibu ndo majibu yao! atasemaje sasa?? make ukikubali ipo wengine watakupiga Bao kali! si mnaoneana wivu nyie??...

Usijidanganye hata sisi wafanya Biashara ni wachawi vilevile! tunawaoneni kichawi msijaribu kututisha hata kidogo!! usifikiri ukija na kachuma ulete kako hako katanifanyia kitu jaribu uone moto!

kwa wakinga, wahindi, mnaumbukaga sana!
Tumia akili wewe hakuna chuma ulete, unamnufaisha tu huyo mganga wako anaekupa dawa na kukufanyia makitu ya ajabu.
 
Maskini sijui mna matatizo gani!! mlipo ambiwa mteja Mfalme Baaaasi mnakuwa na bichwa sana!! sasa weye umemkuta akiongea kitu simuni, unataka amkatize mteja mwingine wa simuni akusikilize weye dats ''rubbish thinking!

Mana mizizi ya wivu sana wabingo nyie hasa mtu akiwa na kishavu dodo mnamuonea wivu wa kichawi chawi sana ....niamaini mimi mwana JF ukikua weye/zeeka utakuwa mchawi lazima!

haya haya!! ukifika Hospital unataka wanaotibiwa waachwe ila usikilizwe weye tu! wakikuacha kwanza, unakimbilia kwa diwani kushtaki! eti dr amenidharau! miafrica sijui mkoje hamana common sense!

ukikuta watu kwa foleni huyo unawavuka unataka kuwa wa kwanza weye!! daladala ndo kabisaaa!! lkn wengine tena nchi ndogo tu km Lesotho wateja wanapanga mstari!!

wa kwanza ndo wa kupewa kipaumbele hata iweje! wateja wenyewe wanajitaja wa kwanza yuleee braza , karibu upate huduma!! maujinga jinga haya yako Bongo/ kwa wabongo msiosoma!

Kitu kidoogo hiko!! unashindwa kuvumilia, by the way si una hela yako mkononi nenda kwingine kwani umelazimishwa kwenda kununua pale??? au ulitaka kumsiliba tu jamaa ajili ya wivu wako wa kukosa??

weye jamaa sidhani km unaweza oa, au kuishi na wasomi waliokuzidi, hela/maarifa.uzuri/urembo/usasa huwezi amini ivo! mnajulikana kirahisi tu! weye mtu humjui unam- cralify kijinga jinga tu! mwee! ndo bongo mlivo!

alikulazimisha kuwa ununue pale tuu??? Neno mteja Mfalme wabongo msiokuwa na akili lina walevya sana mmeshatamani afilisike!!! na kumombea mabaya,

Hafilisiki n'gooo! ndo atazidi kupanda ngazi ya utajiri na hamtakaa mumuone hapo Mazogoroni akisaga Lami kamwe saaana mtamuona akiwa juu na juu zaidi!! Nyau weye!.......ukimshika mkeo ugoni si utakufa kabla!!

Bila kujua kuwa ile ni mali yake! aweza tumia atakavyo!!......hutaki bwaga Manyanga kwani umelazimishwa??? JF ninzuri kwa sababu bila hii tusinge jua wajinga km weye!!......

si umeze sumu tu! km unaona hajakuchekea! mfyuuuuxcxvxnxxmxmxzoo! mjifunzege kuzipunguzia saver za Jf MIZIGO!
Mbona povu limekutoka sana , itakuwa ndio tabia zako sio bure ,mteja ni mfalme ,bila wateja huwezi kuishi mjini km unafanya biashara tulia dawa ikuingie
 
Tumia akili wewe hakuna chuma ulete, unamnufaisha tu huyo mganga wako anaekupa dawa na kukufanyia makitu ya ajabu.
Chuma ulete ni uchawi! ...Mungu anaujua uchawi, mitume wa Mungu Musa , Paulnk, walirogwa, wewe nani useme uchawi wa chuma ulete haupo??,,,kama unasema uchawi wa chuma ulete haupo! basi weye si wa mfano wa Mungu!

kifupi unatumia akili za kuzimu hujui tu! na wale woote wa kuzimu hawakuumbwa kwa mfano wa Mungu aliye hai! wanasubiri ziwa la moto! sasa mtu wa kuchomwa moto unadania atasema nini??
 
Mbona misemo ya kizamani sana hii wewe bado unaitumia sasa ngoja nikusaidie kwa walio iona haifai wakaachana nayo sikia....hata weye mwenyewe ukifikiria tu km ivi.....

A flying bird at hand, worthy Infinitesimal than unseen giant Buffaloes dat can feed ma entire villagers!....to value and enjoy a single bird at hand is untold selfishness!

Somethin which is absolutely un measure able, insanitariest! to value un seen poverties! en you're comfortable of it , en use it as your day todays jargon to guide your life!

Above all U're enjoyin' it insignificantly! just b'se it won't satisfy you personal hunger as well as whole family dwellers en friends! hence u' need assistance to move forward!
Embu acha ujinga unajiabisha bure
 
Back
Top Bottom