Wakusoma 12
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 4,035
- 11,462
Polehuo nao ni umaskin
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Polehuo nao ni umaskin
Sema hujui reffernces ya hayo maneno ndg! najibu kulingana na mtu alivyo huo siyo ukosefu wa staha, labda hujui maana yake umeamuamua kuongea tu km kawaida yako!Hakuna maneno toka kwenye kitabu chochote ndgu, ni vile hujazoea maneno yenye staha zaidi ya kuyaona kwenye biblia tu.
Kwa sababu weye ni mtu huru unaweza tamka lolote! na likaruka hewani mkuu! ndo mlivyo!Hii inadhihirisha watu wako wa karibu wapo kama wewe. Uchizi uchizi na mcharuko.
Labda km hujanielewa! si kila ajiitaye Mfalme ni Mfalme wa kweli, huko Tarime mnadanganywa sana. najua hamchui ghiswahili ndo tatizo lenu kubwaTulia hapo usubiri wafalme wakupe hela,
Mie ni Boss mkuu! nina watu km weye nawalipa kunifanyia kazi zangu! ! na Book la Maombi limejaaa siku Guest house yako ikibuma njoo nikupe kazi! usione aibu najuahii yote ni kwa sababu wateja hawalikaribii duka lako hata kwa kuuliza tu, ndio maana uko busy humu jf.
Mkikaa kushoto tunaongeza majini mengine! ya Biashara hamana pa kuchomokea!! acha kuja dukani kwangu ufe maskini!.......na km uki njoo unapata upako wa fedha funguka!Kwani duka ni moja tu mtaani hapo. Hayo maduka yanayotegemea nguvu ya ndumba badala ya nguvu ya wateja huwa tunakalia kushoto.
Tunanua online siku hizi madukani hatupajui siku hiziMkikaa kushoto tunaongeza majini mengine! ya Biashara hamana pa kuchomokea!! acha kuja dukani kwangu ufe maskini!.......na km uki njoo unapata upako wa fedha funguka!
Safi sana, popote ulipo tupo, tumedhamiria kuifanya hii bishara, sasa tunauza hata mkaa online! tena mkaa mzuriiii! mtanunua kwangu bila kujua!!Tunanua online siku hizi madukani hatupajui siku hizi
Yaani sisi Matajiri/ wasomi/wabobevu ktk jamii husika kuitwa majina ya kila aina ndo zetu! make ukiulizwa kwanini unamuita ivo ''mchonga''au Mzee Rhuksa, huna jibu!Wewe ni chizi.
Jamani Million 10, 5 kidogo hizo? kweli?.......Bana wee! wengine nyie chuma ulete tuu! asa nikukaribishe chuma ulete ili iweje??...yaani wewe ukija kiivo ni ndita/ ngumi tu! mmezoea!Daah watu wa namna hyo ni wengi sana, ukifika dukani kwake hata hakuangalii wala hakwambia karibu wala
hata kama uko bize na mengne, karibisha wateja, kuwa mkarimu sio unakunja ndita kama unauza uchawi mbafu zenu! Kaduka kwa mil 5,10 unajiona wa viwango kweli
Kwanza akili hawanaNimeenda duka la simu kuulizia kitu fulani, mwenye duka alishakuwa maarufu ndiyo maana niliagiziwa pale, nimeshangaa sana yuko makini na Instagram, hanisikilizi. Mara ana 'screenshot' Instagram anamtumia mfanyakazi wake namuongelesha hanisikilizi.
Hivi tutafika kweli kwa mtindo huu? Kwamba duka kujaa vitu anadharau elfu 30 yangu. Hivi Wabongo kuwa na ka duka ka spea za simu, simu mpya/zilizotumika, chaja n.k unaona kama Dunia yote yako? Dah! Imeniuma sana.
Hivi matajiri wenzetu huko mambele na wenyewe wanadharau? Ile kukudharau sababu unanunua labda 'earphone' za elfu 5, hajui pesa ndogo na kubwa ndiyo zimemfanya afikie hapo kwa sasa.
Jamani Million 10, 5 kidogo hizo? kweli?.......Bana wee! wengine nyie chuma ulete tuu! asa nikukaribishe chuma ulete ili iweje??...yaani wewe ukija kiivo ni ndita/ ngumi tu! mmezoea!Daah watu wa namna hyo ni wengi sana, ukifika dukani kwake hata hakuangalii wala hakwambia karibu wala
hata kama uko bize na mengne, karibisha wateja, kuwa mkarimu sio unakunja ndita kama unauza uchawi mbafu zenu! Kaduka kwa mil 5,10 unajiona wa viwango kweli
Si mali zao heee! jamani wewe unanuna ajili mtu ana duka?? wakifilisika ni wao km hawana akili ni wao weye kinakuuma nini acha uchawi!!Kwanza akili hawana
wewe sio mfanyabiashara, unafata mkumbo tuJamani Million 10, 5 kidogo hizo? kweli?.......Bana wee! wengine nyie chuma ulete tuu! asa nikukaribishe chuma ulete ili iweje??...yaani wewe ukija kiivo ni ndita/ ngumi tu! mmezoea!
nikuangalie wkt niko kazini??? hutaki si uende kwingine bana?? niache na mali zangu kwani lazima ununue hapa?? ukitaka kuonwa nenda Miss world huko!
Usiwe mwepesi kiasi hicho kutafsiri watu vibaya.Kwamba anaongea na instagram kwa hivyo kakupuuza wewe.Yawezekana kwenye instagram anajibizana na mteja mwenzako.Au wewe ni mshamba hujaanza kutumia vitu hivyo vya kimtandao.Unaishia hapa JF tu.Nimeenda duka la simu kuulizia kitu fulani, mwenye duka alishakuwa maarufu ndiyo maana niliagiziwa pale, nimeshangaa sana yuko makini na Instagram, hanisikilizi. Mara ana 'screenshot' Instagram anamtumia mfanyakazi wake namuongelesha hanisikilizi.
Hivi tutafika kweli kwa mtindo huu? Kwamba duka kujaa vitu anadharau elfu 30 yangu. Hivi Wabongo kuwa na ka duka ka spea za simu, simu mpya/zilizotumika, chaja n.k unaona kama Dunia yote yako? Dah! Imeniuma sana.
Hivi matajiri wenzetu huko mambele na wenyewe wanadharau? Ile kukudharau sababu unanunua labda 'earphone' za elfu 5, hajui pesa ndogo na kubwa ndiyo zimemfanya afikie hapo kwa sasa.
Sasa bongoo umloge nani Kwa hela gani ???Jamani Million 10, 5 kidogo hizo? kweli?.......Bana wee! wengine nyie chuma ulete tuu! asa nikukaribishe chuma ulete ili iweje??...yaani wewe ukija kiivo ni ndita/ ngumi tu! mmezoea!
nikuangalie wkt niko kazini??? hutaki si uende kwingine bana?? niache na mali zangu kwani lazima ununue hapa?? ukitaka kuonwa nenda Miss world huko!
Si mali zao heee! jamani wewe unanuna ajili mtu ana duka?? wakifilisika ni wao km hawana akili ni wao weye kinakuuma nini acha uchawi!!
Unaliwa weweUsiwe mwepesi kiasi hicho kutafsiri watu vibaya.Kwamba anaongea na instagram kwa hivyo kakupuuza wewe.Yawezekana kwenye instagram anajibizana na mteja mwenzako.Au wewe ni mshamba hujaanza kutumia vitu hivyo vya kimtandao.Unaishia hapa JF tu.
Zaidi ya hivyo hata huku majuu wako watu wenye tabia tofauti tofauti .Sio wote ni wachangamfu kwa kila mteja.Hizo dharau ziplo kwa baadhi ya watu tu.
Kama ungesema huduma kwa wateja kwa njia ya mtandao ningekuwa pamoja nawe.Na nimewahi kuzungumzia hilo hapa hapa JF.Ukihitaji huduma kwenye shirika lolote iwe la serikali au binafsi bora nenda huko huko ukazungumze nao.Utamalizia shida yako hata ikiwa kwa vishoka.
Jamani Million 10, 5 kidogo hizo? kweli?.......Bana wee! wengine nyie chuma ulete tuu! asa nikukaribishe chuma ulete ili iweje??...yaani wewe ukija kiivo ni ndita/ ngumi tu! mmezoea!Daah watu wa namna hyo ni wengi sana, ukifika dukani kwake hata hakuangalii wala hakwambia karibu wala
hata kama uko bize na mengne, karibisha wateja, kuwa mkarimu sio unakunja ndita kama unauza uchawi mbafu zenu! Kaduka kwa mil 5,10 unajiona wa viwango kweli
Jamani nakuroga weye chuma ulete! mbona jambo dogo sana tu!bongoo umloge nani Kwa hela gani ???
Hakuna cha online busness wote tunajua kuwa online b. Ipo isiwe kigezo cha kupuuza wateja. Kama vipi funga duka ufanye online unakoona kuna faida pekee.Usiwe mwepesi kiasi hicho kutafsiri watu vibaya.Kwamba anaongea na instagram kwa hivyo kakupuuza wewe.Yawezekana kwenye instagram anajibizana na mteja mwenzako.Au wewe ni mshamba hujaanza kutumia vitu hivyo vya kimtandao.Unaishia hapa JF tu.
Zaidi ya hivyo hata huku majuu wako watu wenye tabia tofauti tofauti .Sio wote ni wachangamfu kwa kila mteja.Hizo dharau ziplo kwa baadhi ya watu tu.
Kama ungesema huduma kwa wateja kwa njia ya mtandao ningekuwa pamoja nawe.Na nimewahi kuzungumzia hilo hapa hapa JF.Ukihitaji huduma kwenye shirika lolote iwe la serikali au binafsi bora nenda huko huko ukazungumze nao.Utamalizia shida yako hata ikiwa kwa vishoka.
Huna duka we kapuku ,, wewe Ni mnuka mnduku mmoja hauna kazi za kufanyaJamani Million 10, 5 kidogo hizo? kweli?.......Bana wee! wengine nyie chuma ulete tuu! asa nikukaribishe chuma ulete ili iweje??...yaani wewe ukija kiivo ni ndita/ ngumi tu! mmezoea!
nikuangalie wkt niko kazini??? hutaki si uende kwingine bana?? niache na mali zangu kwani lazima ununue hapa?? ukitaka kuonwa nenda Miss world huko!