Bongo kwasasa hakuna Mwanamke maarufu mwenye shepu kama Munalove

Bongo kwasasa hakuna Mwanamke maarufu mwenye shepu kama Munalove

Sasa huko uturuki wanamwekea makalio ya mifuko ya Rambo wanashindwa kunjoosha miguu inayoonekana kama yote ni ya kushoto?
 
kipindi kile anauza sembe alijua kuwalea mpaka kuna siku sholomwamba msanii wa singeli aliulizwa kwanini umevunja mkataba wako na muna kuwa meneja wako akasema ''siwezi kuwa na boss kila siku anatoka na vitoto vidogo nashindwa kumuheshimu''.
Ndo ugonjwa wake uyo bimkubwa ,
Mishangazi yote ya mjini inayoenda hua haipendi watu wazima wenye maamuz kitandani ya what to do and don't.
 
Back
Top Bottom