Bongo movie wapi mnakwama?

Bongo movie wapi mnakwama?

Hahahaha [emoji1787][emoji23] kumbe kuingiza si talent tena. Bongo sihami wallah

talent ndio inayomtofautisha kati ya muigizaji hodari na wakawaida, lakini unaweza ukawa wa kawaida na ukufanya vizuri kwa nafasi yako. Moyo wa filamu ni Directors, pamoja na wasaidizi wake wote kuanzia writers na wengineo.
 
kitendo cha wabongo kuanza kurukia na kuamini ma actors ndio tatizo kuu kwenye filamu zetu ni uthhibitisho wakuwa sisi wenyewe ueleo wetu kwenye haya mambo ya filamu ni mdogo sana.
 
Kitu cha kwanza bongo movie wanacho chemka ni Casting. Siku hizi wanachagua mabinti warembo, wenye makalio makubwa na upande wa wanaume shombe shombe,maybe na mabody builder,wanao trend social networks.Talent hawa tizami kabisa, kuna wasanii wenye talent tena za wapo vizuri hawapewi nafasi,sababu hawana makalio makubwa,so mahb nk.

Tasnia ya bongo movie imeanza kutrend walivyo anza kuingia hawa mamiss na malaya wanao tafuta soko waka ingia humo humo matokeo yake industry yao imekuwa ni industry iliyo jaa malaya walio jificha kwenye kichaka cha uigizaji na sikia kuna mabinti wengine wapo tayari kuigiza hata bure anajua kwenye biashara yake ya udangaji au umalaya rahisi kuonekana.
fact
 
MTAJI MKUBWA WA MOVIE UKO KWENYE STORY/SIMULIZI/HADITH
HAPA NDIPO WABONGO TUNAPO FELI.
UNATUNGA NA KUTENGENEZA MOVIE KWA KUANGALIA ZA WENGINE, NA KU UNGANISHA UNGANISHA HADITHI.

KUNA MOVIE INAITWA GOLD (2022),
WAIGIZAJI WAKO 3 TU,
MAZINGIRA NI YA JANGWANI. NA NI ENEO MOJA

SIO MOVIE YA BAJETI KUBWA,
LAKINI TANGU KUTOLEWA 2022, MPAKA SASA IMEONWA NA WATU MILION 500+
NA MAPATO YANAKADILIWA KUWA 2 TRILION!
 
naangalia PAZIA dude ni msanii mkubwa ktk tasnia ameigiza kama mkuu wa kituo.

ajabu begani kavaa cheo cha nyota 3 na anajiita inspector🤣🤣🤣,hivi unajiuliza hawa watu hata huwa hawakamatwi waone jamaa huwa wanabehave vipi???

yaani mko serios ila watizamaji tunaona mnatufanyia mzaha.hakuna umakini katika kazi.detail ndogo ndogo hizo ni muhimu sana,ila mnachukulia poa.
bongo tunakurupuka kila eneo sio watayarishaji waandishi cameraman kote tunafanya comedy tu. Tena bora uangalie movies za wasanii chipukizi hawa wakina ray ramata na wengine wakubwa hamna kitu kabsa. kwenye kuchagua pis kali hapo mko vizuri ila jicho la vipaj kwasasa hamn kitu jaribuni kushirikisha kichwa kwenye kaz zenu itawalipa mnoo
 
Back
Top Bottom