Kitu cha kwanza bongo movie wanacho chemka ni Casting. Siku hizi wanachagua mabinti warembo, wenye makalio makubwa na upande wa wanaume shombe shombe,maybe na mabody builder,wanao trend social networks.Talent hawa tizami kabisa, kuna wasanii wenye talent tena za wapo vizuri hawapewi nafasi,sababu hawana makalio makubwa,so mahb nk.
Tasnia ya bongo movie imeanza kutrend walivyo anza kuingia hawa mamiss na malaya wanao tafuta soko waka ingia humo humo matokeo yake industry yao imekuwa ni industry iliyo jaa malaya walio jificha kwenye kichaka cha uigizaji na sikia kuna mabinti wengine wapo tayari kuigiza hata bure anajua kwenye biashara yake ya udangaji au umalaya rahisi kuonekana.