Hahahaha [emoji1787][emoji23] kumbe kuingiza si talent tena. Bongo sihami wallah
sana
Tamthilia nyingi waigizaji ni watu maarufu wasio na vipaji
factKitu cha kwanza bongo movie wanacho chemka ni Casting. Siku hizi wanachagua mabinti warembo, wenye makalio makubwa na upande wa wanaume shombe shombe,maybe na mabody builder,wanao trend social networks.Talent hawa tizami kabisa, kuna wasanii wenye talent tena za wapo vizuri hawapewi nafasi,sababu hawana makalio makubwa,so mahb nk.
Tasnia ya bongo movie imeanza kutrend walivyo anza kuingia hawa mamiss na malaya wanao tafuta soko waka ingia humo humo matokeo yake industry yao imekuwa ni industry iliyo jaa malaya walio jificha kwenye kichaka cha uigizaji na sikia kuna mabinti wengine wapo tayari kuigiza hata bure anajua kwenye biashara yake ya udangaji au umalaya rahisi kuonekana.
bongo tunakurupuka kila eneo sio watayarishaji waandishi cameraman kote tunafanya comedy tu. Tena bora uangalie movies za wasanii chipukizi hawa wakina ray ramata na wengine wakubwa hamna kitu kabsa. kwenye kuchagua pis kali hapo mko vizuri ila jicho la vipaj kwasasa hamn kitu jaribuni kushirikisha kichwa kwenye kaz zenu itawalipa mnoonaangalia PAZIA dude ni msanii mkubwa ktk tasnia ameigiza kama mkuu wa kituo.
ajabu begani kavaa cheo cha nyota 3 na anajiita inspector🤣🤣🤣,hivi unajiuliza hawa watu hata huwa hawakamatwi waone jamaa huwa wanabehave vipi???
yaani mko serios ila watizamaji tunaona mnatufanyia mzaha.hakuna umakini katika kazi.detail ndogo ndogo hizo ni muhimu sana,ila mnachukulia poa.