Bongo Movies kumshitaki DJ Mark (Anayetafsiri movies za nje)

Bongo Movies kumshitaki DJ Mark (Anayetafsiri movies za nje)

3435301278d3558e7c70f5f2766229be.jpg
Huyu naye analipwa kuandika subtitles, safari yetu ndefu sana.
 
Biashara haigombi na Chema chajiuza kibaya chajitembeza bila kusahau biashara matangazo.
 
Ikishapanda ndio itapandisha mauzo yenu!? Mnaona mnavyojichanganya, hamtaki kuamini kuwa kazi zenu zimechokwa kwa kutokuwa na jipya badala yake mnaamini kuwa kazi za nje zimeua soko lenu. Lakini hapo hapo mnajisahaulisha kuwa ninyi mlizikuta kazi hizo sokoni kabla ya hata hiyo mnayoita Bongo Movie.

Bado mna safari ndefu kwa kuwa hamuelewi tatizo lenu.

Hawana mandate ya kufanya hivyo wanataka walipe kodi ili bei ya CD za nje ipande kama yao
 
Na yule wa kenya nae anaetafsiri nae watamshtaki? R.I.P BongoMovie
 
Kawadanganye wajinga. Kazi ya MTU hata kama ina miaka 100 kama hujaruhusiwa na mwenyewe huna mamlaka ya kuitumia. Na unaweza kuitumia hata kama INA siku moja ila vigezo na masharti lazima vizingatiwe
Hawajapata kibali halali wanachakachua kupitia vibali vya kuuza accessories/ stationeries halafu wanatumia kuBurn movies kitu ambacho TRA hawakubali ndio maana kila mara wanakimbizwa na tra. Kupata kibali cha kuuza movie ya mtu ni mpaka movie ifikishe miaka 50.
 
Sasa movie za kurekodi na tecno zinagharama kweli?
Dah...ila ni maajabu sana, wakati movie za nje, kutafuta tu na kutengeneza locations ni mpaka Mwaka mzima, kutafuta watu wanaofit nafasi mbalimbali ni issue nyingine.

Budget nayo ni ya kutosha...usimamizi nao ni wa ki interllectual na unachukua muda
Sasa movie za kurekodi na tecno zinagharama kweli?
 
Akiongea kwenye E-News ya East Africa Yusuph Mlela amesema Bongo Movies wameanza taratibu za kumshitaki jamaa maarufu anaetafsiri movies za nje maarufu kama Dj Mark na wengine wote wanaotafsiri movies za nje na kuwaharibia soko la Bongo Movies.

Mlela, "Tumeanza taratibu za kumshtaki jamaa sisi tunataka movies za nje zifuate taratibu kama sisi tunavyofuata ili kuwe sawa".

Bongo movies wameamua.
upuuzi huu wafanye kazi waache blabla
 
Watu wanapenda kujifunza historia na sio mapenzi movie za kibongo zimejaa mapenz na mtu hawez kuchukua na kutazama na familia yake watu wanashikana ovyo kitandan sebulen yuko baba mama na watoto wanaobalehe then unawaambia waendelee kukodelea macho uchaf.muvi zetu huwez shindanisha na season za kikorea hawa watu wajitizame upya na kaz yao
 
Hicho ndio cha kufanya na sio KUIBA.

Na usidhani kupata hizo haki ni kazi rahisi....we imagine kazi inayoandaliwa kwa milioni mia tano uende kuomba haki ya kutafsiri hiyo tozo yake itakuwaje? na hawatakubali bila kuhakiki kiwango cha ubora wa kinachotaka kufanyika.....hiyo ni pamoja na kuridhika na studio inayofanyia kazi hiyo pamoja na utaalamu wa 'sound', weledi wa watendaji n.k.

WATU WANAFANYA KAZI KWA BIDII KUPATA WANACHOTAKA...wenzetu Wazungu huwa wanahimiza sana huu ujumbe kwa Watoto ili wasije kufikiria kwamba waendako kuna njia za mkato za kupata mafanikio....sasa sisi Wabongo ni kuendekeza ushabiki tu hata kwenye mambo yanayohitaji kuelimishana.

Sasa mkuu unataka kuniambia hii kazi ya Ma_Djs wanaotafsiri ndio itakwisha moja kwa moja??
 
Dah...ila ni maajabu sana, wakati movie za nje, kutafuta tu na kutengeneza locations ni mpaka Mwaka mzima, kutafuta watu wanaofit nafasi mbalimbali ni issue nyingine.

Budget nayo ni ya kutosha...usimamizi nao ni wa ki interllectual na unachukua muda
Eti hapo napo wanalalamika movie zao hatuzipendi,tutapendaje vitu ambavyo havina kichwa wala miguu?
 
Unapiganiaje haki ya soko wakati hakuna aliekukataza kufanya biashara?
Haki ya soko maana yake usawa sio kuuza peke yake kwanini wengine walipe wengine wasilipe kodi wakati soko ni moja?
 
Back
Top Bottom