Na mfumoWaliodhurumiwa na nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na mfumoWaliodhurumiwa na nani?
Haki ya soko maana yake wote mlipe kodi sawaUnapiganiaje haki ya soko wakati hakuna aliekukataza kufanya biashara?
Tra kupitia wizara ya Sanaa wamekubaliana hivyo na wakapewa muda wa mwisho wauza CD za nje wawe wamekamilisha bongo movie wanalalamika implemation tu lkn ni maagizo kutoka serikaliniKwa hiyo bongo movie nyie mnavyowakomalia walipe kodi nyie mmekua TRA? acheni kuingilia kazi ya TRA, miaka yote hiyo kwani TRA walikua hawawaoni?
Azam TV wametafsiri bentehaaWawashitaki Azam Tv
Legendary n DJ mark kakaDj Murphy sio dj mark
Kwani Mr ikifanywa kama unavyodai unadhani bongo movie ndio itapendwa? kumbuka hiyo shughuli ipo hata kabla ya bongomovie lakini filamu zenu mbona zilianza kuteka soko na kufanya watz kupunguza kuangalia filamu za wanigeria? Hili swala la "kodi" ni kama kiini macho nyie mnaona kama filamu za nje ndio mchawi wa soko lenu na mnatamani zipigwe ban jumla.Haki ya soko maana yake wote mlipe kodi sawa
So ndo hapo tutatafsiri wenyewe na tutadownload wasipoziingiza bongokwan isipo tafsiriwa movie tutashindwa kuangalia labda ikiwa movie ya audio ila kam ni vdeo naangalia hata pcha
Soko la haki kwa kazi feki,mtasubiri sanaKujipanga ni pamoja na kupambana na soko la haki
ahaa...murphy lakini namkubali kinyama... huyo mark ndio namsikia mwezi huuMtoni mtongani,huyo mafi alicopy kwa jamaa,
Wawafungulie mashitaka na wenye ma-bus hasa ya safari ndefu kwa kuonyesha bongo movie bila ridhaa yao,watusaidie maana kuangalia ushuzi wa Bongo movie kutoka Dar–Mwanza ni zaidi ya kero nishagombana sana na makondakta.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu mbona na wewe professional yako hauizungumzii?Mkuu badala ya kudiscuss masuala ya engineering umehamua kuingia kwenye umbea rasmi??![emoji53][emoji53][emoji53]
Wacha tusubiriSoko la haki kwa kazi feki,mtasubiri sana
Sio muda mrefu mtakaa kabisa!!take from me.Wacha tusubiri
VyovyoteSio muda mrefu mtakaa kabisa!!take from me.