Mwananchi hewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2016
- 226
- 274
Kwani anatafsiri zao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Da hapo umenena kakaWawafungulie mashitaka na wenye ma-bus hasa ya safari ndefu kwa kuonyesha bongo movie bila ridhaa yao,watusaidie maana kuangalia ushuzi wa Bongo movie kutoka Dar–Mwanza ni zaidi ya kero nishagombana sana na makondakta.
A hahahah watu mnachunguzaAta wakimshitaki hatutaangalia movie zao kwa upumbavu kama huu![]()
Mwambie asiwe mbishi Dj Mark ni noma. Muulize kama anamfaham na Dj Afro au ni mgeni kwenye movie??Kujua wa wapi wala haitakusaidia maana ww ni mchanga kwenywe hii tasnia ya..........
Jamaa anafanya vizur kinoma ila nimuongo sana aisee sema kinacho mbeba ni kwavile anafurahisha. Mi pia namkubali sana aiseeNchini Kenya yupo DJ flani hivi jamaa anajiita 'DJ Afro'.Ukitazama movies zilizotafsiriwa na huyu DJ hautakuja kuangalia bongo movies milele,jamaa ametafsir movie nyingi sana kama vle Brothers Grimsby, Viral factor,fast and furious zote,movies zote za Dolph Lundgren,Movies za Michael Dudikoff,Prisoners of war the escape (P.O.W),Escape from Surbibor, Many ways to die in the west, movies za Keny Koshugi (mtoto wa Shokoshugi),Yankee the Zulu.Pia ukifuatilia kpind cha Churchill show huwa wanapenda kumualika,huyu DJ yuko very talented na huwa napenda movies zake kwa kuwa huwa anatafsiri tukio na cyo maneno.Kwa fikra hizi wanazokujanazo ndugu zetu wa bongo movies wanapaswa kujipanga.
Ukifika mkoa wa Mara hasa wilaya ya Tarime huko ndio kapata umarufu kinoma yaani kule huwaambii kitu kwa Dj AfroNchini Kenya yupo DJ flani hivi jamaa anajiita 'DJ Afro'.Ukitazama movies zilizotafsiriwa na huyu DJ hautakuja kuangalia bongo movies milele,jamaa ametafsir movie nyingi sana kama vle Brothers Grimsby, Viral factor,fast and furious zote,movies zote za Dolph Lundgren,Movies za Michael Dudikoff,Prisoners of war the escape (P.O.W),Escape from Surbibor, Many ways to die in the west, movies za Keny Koshugi (mtoto wa Shokoshugi),Yankee the Zulu.Pia ukifuatilia kpind cha Churchill show huwa wanapenda kumualika,huyu DJ yuko very talented na huwa napenda movies zake kwa kuwa huwa anatafsiri tukio na cyo maneno.Kwa fikra hizi wanazokujanazo ndugu zetu wa bongo movies wanapaswa kujipanga.
Hujui kitu ww kaa kimya Dj Afro ni waya wa stimaHamfikii DJ mark na Marphuy
Mkuu hawa Bongo movie wanazingua hawana loloteInabidi waense mahakamani internet zizimwe tuaiweze kudownload movie zingine
ACHA WEWE WOTE NI MA DJ ,MM0JA ZA SEAS0N MWINGNE ZA SINGLEDj Murphy sio dj mark
Oshoraraaaaa bampa....to...bampaHujui kitu ww kaa kimya Dj Afro ni waya wa stima