Bongo Nyoso: Lori la mradi wa SGR lamakatwa likitafutiwa mteja ili liizwe

Bongo Nyoso: Lori la mradi wa SGR lamakatwa likitafutiwa mteja ili liizwe

Kama ccm inatuibia kura miaka nenda! Achilia mbali ufisadi na upigaji wao wa mamilioni ya kodi zetu! Hilo Howo ni kitu gani bhana!

Ni bahati mbaya tu hilo dili limebuma dakika za mwisho. Kwanza hao Wachina wenyewe nao wamekaa kiwizi wizi tu.
 
Tell me this is not true! Yaan hoho imeibwa? Na wale ma bruce lee wanaozunguka na hoho walishukia wap mpaka likaenda kuuzwa tbr?
 
Jeshi la Polisi Mkoa wa Simiyu limekamata gari aina ya HOWO tani 12 lenye thamani ya Sh180 milioni likiwa katika harakati za kutafutiwa mteja ili liuzwe mkoani Tabora.

Taarifa ya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Simiyu, Blasius Chatanda aliyoitoa kwa waandishi wa habari leo Februari 6, 2023, inaeleza kuwa gari hiyo mali ya Kampuni ya ujenzi ya CCECC ilikamatwa Mabama wilaya ya Urambo.
"Ilipotea Januari 27, 2023 katika Kambi ya Malampaka ikapatikana Januari 29, 2023 ikiwa inapelekwa kwa mnunuzi, katika hali ya kawaida gari haliwezi kutoka ndani ya fensi ikapotea maana yake kuna watu wa ndani wameshirikiana na walinzi kuhakikisha kwamba gari linatoka," amesema Chatanda
Njaa inaleta ubunifu
 
Jeshi la Polisi Mkoa wa Simiyu limekamata gari aina ya HOWO tani 12 lenye thamani ya Sh180 milioni likiwa katika harakati za kutafutiwa mteja ili liuzwe mkoani Tabora.

Taarifa ya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Simiyu, Blasius Chatanda aliyoitoa kwa waandishi wa habari leo Februari 6, 2023, inaeleza kuwa gari hiyo mali ya Kampuni ya ujenzi ya CCECC ilikamatwa Mabama wilaya ya Urambo.

"Ilipotea Januari 27, 2023 katika Kambi ya Malampaka ikapatikana Januari 29, 2023 ikiwa inapelekwa kwa mnunuzi, katika hali ya kawaida gari haliwezi kutoka ndani ya fensi ikapotea maana yake kuna watu wa ndani wameshirikiana na walinzi kuhakikisha kwamba gari linatoka," amesema Chatanda.

Amesema katika operesheni iliyokuwa inafanyika katika mradi wa ujenzi wa reli ya ya SGR, jumla ya watuhumiwa saba walikamatwa wakiwa na vifaa mbalimbali vya ujenzi vilivyoibiwa katika mradi huo.

Amevitaja vitu vilivyokamatwa kuwa ni mafuta lita 560, pikipiki 8 zilizokuwa zinatumika kubebea mafuta, mifuko ya saruji 79, mirija ya kunyonyea mafuta 21, baiskeli 8, na mabomba ya chuma 19.

Vingine ni mapipa tupu mawili, madumu tupu 20, wavu 10 aina mbalimbali, nondo vipande 4 pamoja na vipande 5 vya red copper.

"Ninatoka wito kwa wakazi wa Simiyu kuendelea kushirikiana na Jeshi la Polisi sambamba na kutoa taarifa sahihi za uhalifu na waharifu ikiwemo ikiwemo taarifa zitakazowezesha kupatikana Kwa watu hao na kujua mahala walipo," amesema Chatanda.

MWANANCHI
WaTz kwa wizi! Tangu urais hadi unyapara! Ccm hoyee!
 
Jeshi la Polisi Mkoa wa Simiyu limekamata gari aina ya HOWO tani 12 lenye thamani ya Sh180 milioni likiwa katika harakati za kutafutiwa mteja ili liuzwe mkoani Tabora.

Taarifa ya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Simiyu, Blasius Chatanda aliyoitoa kwa waandishi wa habari leo Februari 6, 2023, inaeleza kuwa gari hiyo mali ya Kampuni ya ujenzi ya CCECC ilikamatwa Mabama wilaya ya Urambo.

"Ilipotea Januari 27, 2023 katika Kambi ya Malampaka ikapatikana Januari 29, 2023 ikiwa inapelekwa kwa mnunuzi, katika hali ya kawaida gari haliwezi kutoka ndani ya fensi ikapotea maana yake kuna watu wa ndani wameshirikiana na walinzi kuhakikisha kwamba gari linatoka," amesema Chatanda.

Amesema katika operesheni iliyokuwa inafanyika katika mradi wa ujenzi wa reli ya ya SGR, jumla ya watuhumiwa saba walikamatwa wakiwa na vifaa mbalimbali vya ujenzi vilivyoibiwa katika mradi huo.

Amevitaja vitu vilivyokamatwa kuwa ni mafuta lita 560, pikipiki 8 zilizokuwa zinatumika kubebea mafuta, mifuko ya saruji 79, mirija ya kunyonyea mafuta 21, baiskeli 8, na mabomba ya chuma 19.

Vingine ni mapipa tupu mawili, madumu tupu 20, wavu 10 aina mbalimbali, nondo vipande 4 pamoja na vipande 5 vya red copper.

"Ninatoka wito kwa wakazi wa Simiyu kuendelea kushirikiana na Jeshi la Polisi sambamba na kutoa taarifa sahihi za uhalifu na waharifu ikiwemo ikiwemo taarifa zitakazowezesha kupatikana Kwa watu hao na kujua mahala walipo," amesema Chatanda.

MWANANCHI
Mabama iko wilaya ya Uyui haiko Urambo.

Huo ni uongo wa kwanza
 
MAJITU YA KANDA HIYO NI MAIZI SANA KWA KWELI, YANAIBA HOVYOHOVYO, NI UKANDA WENYE LAANA.
 
Tuseme,nani mratibu wa mambo haya,nani mdhibiti wa haya,nani mzuiaji wa mambo haya,nani kashindwa kufanya jukumu lake, 🤔 Mimi nitasema yote ni mambo ya mwana/wanachukua chako mapema 🤔
Watu wanajifunza tabia hizo kutoka kwa wazazi wao (serikali)
 
Bora wangeshirikiana kutafuta mteja tu
 
Back
Top Bottom