Bongo Star Search hiki mnachofanya ni udhalilishaji

Bongo Star Search hiki mnachofanya ni udhalilishaji

This is proof that money can't buy you class.

David Williams, aliekuwa judge wa Britain's Got Talent alifukuzwa u judge kwa kumdhalilisha mshiriki bila hata mshiriki husika kusikia ila sauti yake tu ilivuja akiwa anaongea pembeni kuhusu huyo muhusika.

Lakini kwa Tanzania ambao wameiga tu toka nje hiki kipindi hawaoni athari yeyote kwa ma judge kudhihaki mavazi ya washiriki, muonekano na hata mapungufu yao kimaumbile.

Ritha kama una fikra kidogo tu, msimamishe Shilole haraka iwezekanavyo kwa udhalilshaji
Wafrika linapokuja swala la ethical issues tupo nyumaa sana yaan sana, na kibaya weng hawajui haki zao. Huyo alikua anaenda kufungua kesi kushtak huo mchakato wote.
 
Hao majaji wenyewe wote wanamapungufu Yao tukianza kumpekua salama Jabir hapa mtakimbia,kuanzia tabia zake Hadi matendo,hao ndio marole model wakizazi Cha kitanzania.😎😎
 
Duh! Huyu Shilole kumbe hamnazo tu kichwani hazimo kbsa🤔
Mpumbavu sana
Kila Siku wanasema kuhusu, watu wenye elimu ndogo kuwepo kwy vyombo vya habari au mahamuzi hawatakiwi, watu wanawatetea sijui vipaji madhara take ndio haya. Wanatakiwa wasiwe mubashala kwa mtu mwenye elimu ndogo
 
Back
Top Bottom