Ella Fitzgerald
Member
- Mar 30, 2023
- 78
- 191
Shilole alikuwa bingwa wa kuvaa nguo zilizokuwa zimechanika amesahau haraka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa amekusikia,Shilole alikuwa bingwa wa kuvaa nguo zilizokuwa zimechanika amesahau haraka
😂😂😂😂😂😂Kuna Shishi humu.. Nimeona anavojitetea
Daah jamaa kawa shishi fud tena 😂😂😂😂😂Vipi tena shishi fudi
Mkuu inashangaza maana hata kuimba hajui nyimbo alikuwa anaandikiwa na yule NuhuSwali la Msingi, Je Shilole anastahili kuwa judge?
Ana vigezo gani vya kuwa judge?
Majudge wengi wa Tanzania katika music ni wa hovyo tu...sijui hata wanakuaje majaji
Kuna Shishi humu.. Nimeona anavojitetea
Rita anatafuta mashoga zake ambao atawapa hela kidogo basi.Huyo msimbe anawapotezea muda bure vijanaHiki kipindi kadri siku zinavyozidi kwenda kinazidi kuwa cha kidhalilishaji.
Ma judge wamekuwa na tabia za kuattack utu wa watu kuliko hata kuangalia vipaji wanavyopaswa kuangalia.
Shilole alikuwa mchafu mpaka miaka ya hivi karibuni tu baada ya kushika vijipesa sasa ghafla kawa msafi mno kiasi cha kumdhalilisha mwanamke mwenzie kuwa ananuka kwapa kwenye national tv?
Dada wa watu mpaka kakosa pozi na kumuomba Shilole aache kumdhalilisha lakini bado linaendelea kubwatuka tu. Shilole ana kipaji gani kwanza mpaka afanywe kuwa judge?
Kwanini wasikae chini wakaangalia kina Simon Cowell kama huwa wanadhalilisha washiriki kwa umaskini wao?
Salama na Master J wanaamini kudhalilisha washiriki ndio kuwa judge bora.
Acheni huu udhalilishaji
Wamezingatia vigezo vipi? Hebu weka Vigezo na Masharti ya Shilole kuwa JudgeJibu Ndio anastahiri kwa sababu vigezo na masharti yamezingatiwa ndio maana wakampa ujaji
Uliza swali jingine
Kamuulize Madam Ritha,Wamezingatia vigezo vipi? Hebu weka Vigezo na Masharti ya Shilole kuwa Judge
Na kweli kabisa haujipendi sio uongoSijawahi kujipenda
Jamaa alikua anasema nikupunguzie uzito wewe dada yake,Vipi tena shishi fudi
Kuna point za msingi umezungumzaRita kitendo tu cha kumleta salama mkoboaji wanawake wenzie, huwa anachafua cv yake sana. shishi mwenyewe ana tuhuma hizo za kukoboana.
Wanaume pia wanaoenda hapo hao kina master j wanalambalamba midomo tu. hicho kikampuni na vimashindano vimejaa ujinga mtupu na ukimsikiliza vizuri pachal kasian unaweza kuwajua connections zao.
Matinginya hamnaga akili mjueJamaa alikua anasema nikupunguzie uzito wewe dada yake,
Nani kakwambia?Matinginya hamnaga akili mjue