Bongo Star Search hiki mnachofanya ni udhalilishaji

Bongo Star Search hiki mnachofanya ni udhalilishaji

Swali la Msingi, Je Shilole anastahili kuwa judge?

Ana vigezo gani vya kuwa judge?

Majudge wengi wa Tanzania katika music ni wa hovyo tu...sijui hata wanakuaje majaji
Mkuu inashangaza maana hata kuimba hajui nyimbo alikuwa anaandikiwa na yule Nuhu
 
mara nyingi watu kama hawa huwa ni kuwapuuza tu sababu akili yake imefikili na kaona sahihi kutamka neno hilo eti anampoza kwa kielfu kumi mpsiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii


Political is just liKe a war always, BOOST YOUR CONFIDENCE
 
Japokuuwa kipindi ni Cha kipigaji, basi inabidi wawe na staha.

Shishi anatumia drugs, SEMA watu hawajui Tu
 
Hiki kipindi kadri siku zinavyozidi kwenda kinazidi kuwa cha kidhalilishaji.

Ma judge wamekuwa na tabia za kuattack utu wa watu kuliko hata kuangalia vipaji wanavyopaswa kuangalia.

Shilole alikuwa mchafu mpaka miaka ya hivi karibuni tu baada ya kushika vijipesa sasa ghafla kawa msafi mno kiasi cha kumdhalilisha mwanamke mwenzie kuwa ananuka kwapa kwenye national tv?

Dada wa watu mpaka kakosa pozi na kumuomba Shilole aache kumdhalilisha lakini bado linaendelea kubwatuka tu. Shilole ana kipaji gani kwanza mpaka afanywe kuwa judge?

Kwanini wasikae chini wakaangalia kina Simon Cowell kama huwa wanadhalilisha washiriki kwa umaskini wao?


Salama na Master J wanaamini kudhalilisha washiriki ndio kuwa judge bora.

Acheni huu udhalilishaji
Rita anatafuta mashoga zake ambao atawapa hela kidogo basi.Huyo msimbe anawapotezea muda bure vijana
 
Rita kitendo tu cha kumleta salama mkoboaji wanawake wenzie, huwa anachafua cv yake sana. shishi mwenyewe ana tuhuma hizo za kukoboana.

Wanaume pia wanaoenda hapo hao kina master j wanalambalamba midomo tu. hicho kikampuni na vimashindano vimejaa ujinga mtupu na ukimsikiliza vizuri pachal kasian unaweza kuwajua connections zao.
Kuna point za msingi umezungumza

Hawa sio Judges, hawana sifa hizo

Waliacha kusikiliza tones za muziki, kupanda na kushuka kwa sauti pamoja na pumzi ya Muimbaji, sasa Wamehamia kwenye kumjudge Muimbaji kwa jinsi alivyo

Huu ni Ujinga wala sio Ujaji

Kuna Bwana mmoja anaitwa Innocent Nganyangwa...yule ana sifa za kuwa Judge haswa
 
Back
Top Bottom