Umetumwa na shilole umteteee au umeajiriwa kwy mamantilie ya shiloleEbwana hakuna ambae hana jasho hata wewe km kinatema unaambiwa tu hata mbele ya Camera next time utajirekebisha it doesn't matter umeambiwa wapi, sijaona kosa hapo kitu kidogo mnakikuza sana
Sio kwa kudharirisha nyinyi ndio mnakuza Mambo
Ila naona majaji walienda kumfariji huyo mdada. Shame on you Shilole
Wafrika linapokuja swala la ethical issues tupo nyumaa sana yaan sana, na kibaya weng hawajui haki zao. Huyo alikua anaenda kufungua kesi kushtak huo mchakato wote.This is proof that money can't buy you class.
David Williams, aliekuwa judge wa Britain's Got Talent alifukuzwa u judge kwa kumdhalilisha mshiriki bila hata mshiriki husika kusikia ila sauti yake tu ilivuja akiwa anaongea pembeni kuhusu huyo muhusika.
Lakini kwa Tanzania ambao wameiga tu toka nje hiki kipindi hawaoni athari yeyote kwa ma judge kudhihaki mavazi ya washiriki, muonekano na hata mapungufu yao kimaumbile.
Ritha kama una fikra kidogo tu, msimamishe Shilole haraka iwezekanavyo kwa udhalilshaji
Unamsemea INFOLENSA, wa mama kizimkazi? [emoji23]Nahisi ni kuwa maarufu tu.
Ni swala la muda doto magari nae ataitwa akawe judge kama hajaitwa bado.
Nakulipwa angelipwa.Wafrika linapokuja swala la ethical issues tupo nyumaa sana yaan sana, na kibaya weng hawajui haki zao. Huyo alikua anaenda kufungua kesi kushtak huo mchakato wote.
Kila Siku wanasema kuhusu, watu wenye elimu ndogo kuwepo kwy vyombo vya habari au mahamuzi hawatakiwi, watu wanawatetea sijui vipaji madhara take ndio haya. Wanatakiwa wasiwe mubashala kwa mtu mwenye elimu ndogoDuh! Huyu Shilole kumbe hamnazo tu kichwani hazimo kbsa🤔
Mpumbavu sana