Bongo usanii mwingi

Bongo usanii mwingi

nimecheka sana , umenikumbusha back kuna pisi ilinila hivo mwisho akadai yuko mwezini, mind you tulikuwa ofisi moja , nkajifanya haina noma , ofisini akawa bado analeta mzaha najidai ile story haikuniumiza kumbe chini chini inauma balaa. ikapita wiki kama tatu nampotezea , day moja akaja kwangu on a sunday bila tangazo , ile baada ya mahanjam akanipa mechi , bro nlichomfanya mpaka leo tukipatana hata kortini hataki story zangu , siku yaja akikupa piga kuni kupiga ...sasa ije akupe na ww ni mla wali , upige moja chali utakuwa umeangusha chama balaa
Oi bablai, haikatai mwamba😅
Huyo dada atakukumbuka daima na milele😂
 
Pole Hii ndo Daslam sasa, kuna mmoja nimemit nae jana tukaingia juice point iliokuepo jirani mi nikaagiza juice glass mbili yangu na yake muda huo tumekaa juice zikaja nikasikia anaongea kichinichini "bora tu ungeniagizia chakula"

Kwa kuwa kulikua na restaurant nje nikaona isiwe hiyana nikamwambia aagize na ashukuriwe Mungu Jana simba walikua hawachezi.

Hopefully utakua umejifunza jinsi ya kudeal na hao wasaidizi wetu
 
  • Kicheko
Reactions: 511
Ni kweli nimekuelewa, ukanipa namba. Tumekubaliana weekend tupate dinner pamoja na uzinduzi wa mpenzi letu.

Siku husika ikafika, nikakucheki ukasema uko fresh, nimekupeleka dinner umekula sana vipaja vya kuku na chips yai, halafu nimekupeleka bar ukanywa sana tu, tukatoka hapo nikakupeleka club, Masaa yote hayo hukumbuki kuniambia upo period hadi mda wa kwenda kulala ndio beiby nipo kwenye siku zangu!! jamani jamani…

Hapo ndio unaanza kupiga hesabu pesa iliyopotea bure.

Ndio maana baadhi ya mabinti wa kibongo hampati maendeleo sababu ya dhuruma. 😓


Kwa hiyo umezulumiwa nini sasa ambacho ulikuwa unanunua?
 
  • Mshangao
Reactions: 511
Pole Hii ndo Daslam sasa, kuna mmoja nimemit nae jana tukaingia juice point iliokuepo jirani mi nikaagiza juice glass mbili yangu na yake muda huo tumekaa juice zikaja nikasikia anaongea kichinichini "bora tu ungeniagizia chakula"

Kwa kuwa kulikua na restaurant nje nikaona isiwe hiyana nikamwambia aagize na ashukuriwe Mungu Jana simba walikua hawachezi.

Hopefully utakua umejifunza jinsi ya kudeal na hao wasaidizi wetu
Du kumbe ndio wako hivyo. Ila sio kesi, nimejifunza😎
 
🤣🤣🤣🤣🤣”Siku ya usinduzi” watu wana mahesabu yao makali sana
 
  • Nzuri
Reactions: 511
Maana mi sioni ambacho umenunua, umemkarimu, ungetaka kununua mngekubaliana ukampa pesa.

Wewe umezurura kula mitura kutwa nzima, unasema umezulumiwa, aio sawa kabisa.
Kwani danganya akijua kabisa yuko p
Kumbuka hakuna mwanamke anauza, na hakuna mwanamke wanatoa bure😎
 
huyo hatanisahau , nlimsukumia ukutani akawa napiga , akirudi nyuma ile kutaka kutoka anapatana na chuma , mwendo mpaka akalia kama mtoto
Ndio dawa yao hao😅😅 akitoka hapo heshima kibao
 
Kwani danganya akijua kabisa yuko p
Kumbuka hakuna mwanamke anauza, na hakuna mwanamke wanatoa bure😎

Hujui umeepushiwa nini, kama umeweza kugharamia furaha inatosha, hata ungelala naye kwa sasa ingekuwa imepita unataka tena, hakuna jipya kwenye haya mambo, wanawake ni wale wale
 
Hujui umeepushiwa nini, kama umeweza kugharamia furaha inatosha, hata ungelala naye kwa sasa ingekuwa imepita unataka tena, hakuna jipya kwenye haya mambo, wanawake ni wale wale
Kabisa mkuu ndio maana sikutaka ligi, nikamruhusu ki roho safi
 
Back
Top Bottom