Bongo usanii mwingi

Bongo usanii mwingi

Sizani mkuu, fikiria alikuwa tayari kuliwa geto, nikaamua akapate raha kwanza yeye akaleta njaa.

Alikuja niomba msamaha kesho yake kuwa alinitania akijua nitamlazimisha, ila akashangaa nikawa mwepesi wa kumuamini na kumuacha aondoke. (sitaki nataka)

Alibanwa ukutani mpaka leo hataki kuniona maana Hasira zote nilimalizia hiyo siku ya pili tu. Eti anasema lilipania kumuua😂
Lakini si kulikuwa na njia mbadala ? Au nayo ilikuwa inavuja?
 
  • Thanks
Reactions: 511
Tatizo lenu wanawake ni kuwa wakati wewe unanipa masharti ya kuwa nikutoe out dinner mara elf 20 ili nikupate kwa gia ya tufahamiane, kumbe kuna mwanaume mwenzangu hajawahi kuKutoa out, hajawahi kukupa hata senti, unampelekea papuchi ya bure ghetto kwake kirahisi.. tecknologia23
Hujapendwa umekomolewa ujue hivyoo mwanamke lazima ufanye kila kitu ila sio Kwa kupitiliza
 
Back
Top Bottom