Bongo Zozo ni nani na amefuata nini Tanzania?

Kuna mwingine nae ni muingereza kama bongo zozo na yupo hivyo hivyo, Ana kichapa kiswahili ipasavyo kuliko ata bongo zozo

Kwa Sasa namuona mitandaoni akiwa mapumzikoni zenji

Anajiita Jesse.
Anakitwanga kiswahili vizuri sana.
Anadai ana muda mrefu TZ, aliishi sana mkoa wa Mara akifanya research juu ya ukeketaji.
 
Nisicho kipenda toka kwake ni maudhui yake tu!
View attachment 2795079
Ubaya wa hii Video ni nini?

"Any doctor will tell you the great mental & physical damage that results when a person has bitterness or hatred in his heart. It is a poison of the worst sort. Only a fool will allow himself to be a victim of bitterness or hate"

- Archie Moore
 
Hakunaga mzungu anaeweza kulipenda taifa jingine lazima alifedheheshe taifa tu
"Any doctor will tell you the great mental & physical damage that results when a person has bitterness or hatred in his heart. It is a poison of the worst sort. Only a fool will allow himself to be a victim of bitterness or hate."

- Archie Moore
 
"Any doctor will tell you the great mental & physical damage that results when a person has bitterness or hatred in his heart. It is a poison of the worst sort. Only a fool will allow himself to be a victim of bitterness or hate."

- Archie Moore
That's true chief
 
Mwamba anatumia jina lenye kufikirisha sana, kuna kitu cha hatari sana kimejificha nyuma ya pazia kwa huyu jamaa
Mpaka hapo nshapata kitu, something like "Money laundering" inakuja na kupotea kichwani kwangu.
REJEA: GOLD MAFIA by AL JAZEERA
 
Mwamba anatumia jina lenye kufikirisha sana, kuna kitu cha hatari sana kimejificha nyuma ya pazia kwa huyu jamaa

Kwa mujibu wake, neno "zozo" kalitoa toka lugha ya kishona, likiwa na maana ya chaos au fujo...ndio mwanzo mwa slogan yake ya fujo zisizoumiza
 
Watanzania wanapenda sana kufuatilia maisha ya watu wa kawaida wanasahau kufuatilia viongozi wao wenye nyendo za kutilia shaka.

Hili taifa linalaana.
 
Mpaka Huwa nahisi utumwa Bado upo. Isije ikawa huyu mwamba ni missionary kama wale waliikujaga enzi za utumwa [emoji134][emoji134][emoji134]​
Vasco da gama [emoji38][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Bongo zozo ni Mwingereza aliyezaliwa Zimbabwe, akakulia Mkoa wa Iringa, akaenda kuishi kama raia Uingereza. ameoa mchaga na wana watoto wawili.
 
Anajiita Jesse.
Anakitwanga kiswahili vizuri sana.
Anadai ana muda mrefu TZ, aliishi sana mkoa wa Mara akifanya research juu ya ukeketaji.
huyo amekulia Iringa, anaongea hadi Kihehe
 
Mwamba anatumia jina lenye kufikirisha sana, kuna kitu cha hatari sana kimejificha nyuma ya pazia kwa huyu jamaa

Mpaka hapo nshapata kitu, something like "Money laundering" inakuja na kupotea kichwani kwangu.
REJEA: GOLD aMAFIA by AL JAZEERA
Badilika Mkuu,
aMwamba anatumia jina lenye kufikirisha sana, kuna kitu cha hatari sana kimejificha nyuma ya pazia kwa huyu jamaa

Mpaka hapo nshapata kitu, something like "Money laundering" inakuja na kupotea kichwani kwangu.
REJEA: GOLD MAFIA by AL JAZEERA
Punguza ujuaji na kuchanganya Mambo. Bongo zozo ni mjasiriamali wa kidigitali ambae anaishi maisha huru, hajaajiriwa na mtu wala taasisi yoyote ile. Na watu wa aina yake siku hizi wapo wengi tu. Dunia imebadilika sana saivi. Ni vizuri ukijifunza vitu usivyovijua kuliko kuwa mjuaji na mitazamo hasi katika mitindo ya maisha ya watu wengine usiyoijua.
 
Ni fikra zako.
Vile unavyowaza na kufikiria usinifundishe nami niwaze na kufikiria kama wewe. Nimewaza vile nilivyowaza na kuunganisha dots kwa haraka zaidi na pia kwa ufupi zaidi unyasikia maisha yake ya nje kupitia mitandao, maisha yake ya ndani huyajui.
REJEA; DEEP STATE.
 
Mtazamo wangu wa maisha hautegemei Documentaries, Movies na Videos za youtube, Nayazungumzia maisha kwa vile ninavyoyajua kwa uhalisia wake. Wewe umemfahamu Bongo zozo leo hii sie wengine tunamfahamu tangu enzi hizo hajaanza kuuza sura mitandaoni. Hana jambo lolote la kutisha zaidi ya yeye kuwa raia tu wa kawaida na mjasiriamali wa mtandaoni. Tatizo lenu wabongo mtu kuwa mjasiriamali basi lazima awe na frame kariakoo au alime na kufuga kuku.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…