inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Kuongozwa na fikra za kahaba mange kimambi ni msibaSasa wamevua nguo wako uchi tanawaona sura zao za kikatili waziwazi 😡
Mange Kimambi kwenye video post yake amesema wazi kuuwawa Mzee Kibao sio mwisho na nia ni kuisambaratisha CHADEMA kwa njia yoyote.
Ok sawa 🐒
Watu waliokua na silaha ambao wamejitambulisha kuwa ni Polisi, wamemvamia Meya wa Zamani wa Ubungo @exmayor_bonifacejacob maeneo ya Golden Fork, Sinza alipokua akipata chakula na kumkamata. Bonny amepambana kujitetea lakini wamemzidi nguvu kwa kuwa wapo wengi na wana silaha. Wamefanikiwa kuondoka nae.
Baadhi ya watu wamefuatilia gari hilo na kuona likielekea kituo cha Polisi Oysterbay. Viongozi mbalimbali wa chama pamoja na Wanasheria wanaelekea kituoni hapo kujua sababu ya kukamatwa kwake. Taarifa zaidi zitawajia.!
Hawakupiga picha? why huo uzembe?
Watu waliokua na silaha ambao wamejitambulisha kuwa ni Polisi, wamemvamia Meya wa Zamani wa Ubungo @exmayor_bonifacejacob maeneo ya Golden Fork, Sinza alipokua akipata chakula na kumkamata. Bonny amepambana kujitetea lakini wamemzidi nguvu kwa kuwa wapo wengi na wana silaha. Wamefanikiwa kuondoka nae.
Baadhi ya watu wamefuatilia gari hilo na kuona likielekea kituo cha Polisi Oysterbay. Viongozi mbalimbali wa chama pamoja na Wanasheria wanaelekea kituoni hapo kujua sababu ya kukamatwa kwake. Taarifa zaidi zitawajia.!
Itakua kuna siku nilikuumiza kwa maandishi yangu,pole sanaNimesita sana kuku'quote', lakini imenilazimu tu hata kama sina lolote la kuongeza kwenye mchango wako huu!
They're already on a war path.what might be the reason for his arrest (ingawa Maria amesema ni abduction). Najiuliza kwanini wasimuite? Yes it is abduction!
okay sawa 🐒Kupitia Mtandao wa X, Askofu Mwamakula amesema Kuna taarifa kuwa aliyekuwa Meya wa Ubungo, Boniface Jacob amenyakuliwa na defenda akiwa kikaoni Sinza, Dar es Salaam na haijulikani kapelekwa wapi. Sisi Askofu Mwamakula tunatoa wito kama ni Polisi wamemchukua waseme maana huyo ni kiongozi wa jamii hawezi kunyakuliwa kama mwizi.
Soma Pia: Meya wa Manispaa ya Ubungo, Ndg. Boniface Jacob akamatwa na Polisi kwa mahojiano
Wakati Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kikisema kada wake aliyekuwa meya wa zamani wa Ubungo, Boniface Jacob 'Boni Yai' amekamatwa na Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamanda wa Polisi wa Kinondoni, Mtatiro Kitwinkwi amesema hana taarifa.
Akizungumza na Mwananchi kamanda Kitwinkwi kuhusu sakata hilo amesema: “Hapana, sina taarifa.”
Taarifa za Jacob kukamatwa, zimeanza kusambaa mitandaoni dakika chache zilizopita leo Jumatano, Septemba 18, 2024 na kwamba amekamatiwa Sinza, jijini Dar es Salaam.
Mwananchi limemtafuta, Wakili wa Chadema, Hekima Mwasipu ambaye amesema yupo njiani kuelekea Kituo cha Polisi cha Osterbay.
“Ni kweli amekamatwa na polisi waliovalia sare na wengine wamevalia kiraia maeneo ya Sinza. Walikuwa na defender na tuna taarifa kuwa amepelekwa Osterbay polisi na mimi niko njiani nakwenda.”
===
Saa 12:07 Jioni: Ameandika Yericko Nyerere
View attachment 3099699
Kwa mjibu wa Wakili Hekima Mwasipu, nikwamba Mhe. Bon Yai amekanatwa na Polisi na yuko Ostabei ofisi ya RCO, kwasasa simu zake zinachukuliwa kisheria kisha ataanza kuandikwa maelezo yake! Mliokaribu fikeni Obei fasta na barua za dhamana mkononi ili mahojiano yakiisha iwe rahisi kumwekea dhamana! Makosa anayotuhumiwa ni kusambaza taarifa za Uongo
Wewe wamtisha nani acha ujinga!Tulieni mtiwe adabu,uhuru hamuuwezi
Mnyika aliitwa,kaenda?..hiyo siyo abduction,ni ukamataji wa kawaida wa polisi,maria virusi vitakua vimezidi,mwambie anywe dozi zake vinavyostahiliwhat might be the reason for his arrest (ingawa Maria amesema ni abduction). Najiuliza kwanini wasimuite? Yes it is abduction!
Mie wala sishangazwi tutegemee hii wki ya misuko suko mpka tarehe ya maaandamanoHotuba ya jana imeanza kufanya kazi
Nikiona mambo kama haya najitia moyo sana kwa maneno ya faraja kutoka kwa wafuasi wa CHADEMA kweye miezi ya mwanzo ya mwaka 2021 maneno hayo ni kama "mama anaupiga mwingi,mama anawanyoosha sukuma gang,mama hataki dhulma,mama ameamua kutupa jongoo na mti wake,mama anaelewana na Mbowe kuliko anvyoelewana na Majaliwa,mama hana baya"🤣🤣🤣🤣Kupitia Mtandao wa X, Askofu Mwamakula amesema Kuna taarifa kuwa aliyekuwa Meya wa Ubungo, Boniface Jacob amenyakuliwa na defenda akiwa kikaoni Sinza, Dar es Salaam na haijulikani kapelekwa wapi. Sisi Askofu Mwamakula tunatoa wito kama ni Polisi wamemchukua waseme maana huyo ni kiongozi wa jamii hawezi kunyakuliwa kama mwizi.
Soma Pia: Meya wa Manispaa ya Ubungo, Ndg. Boniface Jacob akamatwa na Polisi kwa mahojiano
Wakati Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kikisema kada wake aliyekuwa meya wa zamani wa Ubungo, Boniface Jacob 'Boni Yai' amekamatwa na Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamanda wa Polisi wa Kinondoni, Mtatiro Kitwinkwi amesema hana taarifa.
Akizungumza na Mwananchi kamanda Kitwinkwi kuhusu sakata hilo amesema: “Hapana, sina taarifa.”
Taarifa za Jacob kukamatwa, zimeanza kusambaa mitandaoni dakika chache zilizopita leo Jumatano, Septemba 18, 2024 na kwamba amekamatiwa Sinza, jijini Dar es Salaam.
Mwananchi limemtafuta, Wakili wa Chadema, Hekima Mwasipu ambaye amesema yupo njiani kuelekea Kituo cha Polisi cha Osterbay.
“Ni kweli amekamatwa na polisi waliovalia sare na wengine wamevalia kiraia maeneo ya Sinza. Walikuwa na defender na tuna taarifa kuwa amepelekwa Osterbay polisi na mimi niko njiani nakwenda.”
===
Saa 12:07 Jioni: Ameandika Yericko Nyerere
View attachment 3099699
Kwa mjibu wa Wakili Hekima Mwasipu, nikwamba Mhe. Bon Yai amekanatwa na Polisi na yuko Ostabei ofisi ya RCO, kwasasa simu zake zinachukuliwa kisheria kisha ataanza kuandikwa maelezo yake! Mliokaribu fikeni Obei fasta na barua za dhamana mkononi ili mahojiano yakiisha iwe rahisi kumwekea dhamana! Makosa anayotuhumiwa ni kusambaza taarifa za Uongo
Ushakula kwanza?Wanaanza kunyakuliwa madomokaya wadogo, madomokaya wakubwa wataanza kupaki mabegi wakimbilie kea mabeberu..eti samia must go,mbuzi kweli nyie
Kutisha!!?..boni yai anayopitia huko hamu hanaWewe wamtisha nani acha ujinga!