Boniface Jacob adaiwa kukamatwa na watu waliokuja na gari aina ya defender. Kamanda Kitwinkwi asema hana taarifa hizo

Boniface Jacob adaiwa kukamatwa na watu waliokuja na gari aina ya defender. Kamanda Kitwinkwi asema hana taarifa hizo

Kamata kabisa hao wanataka kutuharibia amani ya nchi yetu.
 
Endeleeni kumkamata Kila siku Kila SAA na Kila mwezi.
Mwisho atakuja kuwa Mandela ,atakuja kuwspa dawa yenu.
 
Uwiiii nimecheka kwa nguvu, acha wakomeshwe, walitamba sana na kutunyanyasa sukuma gang
Sana,ni kuimba kwa kupokezana na anayecheka wa mwisho ndo hucheka vizuri🤣🤣🤣 au li Boni Yai ni li sukuma gang🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Chadema wamebugi wenyewe,maza alikua fair,sasa hivi wameanza eti 'samia must go'..hata ungekua wewe unaona watu wanapanga kupeleka moto mpaka uachie madaraka utafanyaje!?
Mimi nafurahi tu yeye huyo bibi hakujua kwamba CHADEMA ni kunguru hafugiki? Nilijua tu ushirika wao usingefika mbali maana ulijengwa kwenye misingi ya unafiki,ulafi na kuviziana ona sasa kiko wapi!
 
Chadema hadi mjambe cheche ...niliwaambia msifurahie kifo cha JPM kabla ya kujua aliuliwa au la mkaniona mpumbavu 😁😁😁
Huyo Jiwe alaniwe huko aliko maana ndio chanzo cha yote haya.
 
Wito wangu kwa polisi ni mmoja tu yaani tusiogope kukamata wanaojiita wanaharakati ambao kila siku wanakesha tweeter a.k.a X wakizodoa kila jambo linalofanywa na Serikali.
Haiwezekeni eti kila linalofanywa na Serikali ni baya tu na kutaka kuaminisha umma wa watanzania na jamii ya kimataifa eti Tanzania ni wabaya.
this is misinformation...let the the police deal with it.
 
Wito wangu kwa polisi ni mmoja tu yaani tusiogope kukamata wanaojiita wanaharakati ambao kila siku wanakesha tweeter a.k.a X wakizodoa kila jambo linalofanywa na Serikali.
Haiwezekeni eti kila linalofanywa na Serikali ni baya tu na kutaka kuaminisha umma wa watanzania na jamii ya kimataifa eti Tanzania ni wabaya.
this is misinformation...let the the police deal with it.
Ukifanya utafiti wa kina sana utagundua kwamba nchi nyingi sana ambazo ziliwahi kukumbwa na vita vya wenyewe kwa wenyewe mwanzo wake ulianza kwa namna hii hii ambayo tunapitia hapa Tanzania kwa Sasa.
 
Ukifanya utafiti wa kina sana utagundua kwamba nchi nyingi sana ambazo ziliwahi kukumbwa na vita vya wenyewe kwa wenyewe mwanzo wake ulianza kwa namna hii hii ambayo tunapitia hapa Tanzania kwa Sasa.
Unadhani dola inaweza kutishwa na frequency ya posts zenu za kuhuni??
 
Ukifanya utafiti wa kina sana utagundua kwamba nchi nyingi sana ambazo ziliwahi kukumbwa na vita vya wenyewe kwa wenyewe mwanzo wake ulianza kwa namna hii hii ambayo tunapitia hapa Tanzania kwa Sasa.
Upo sahihi

Siku vyama vya upinzani vikiwa na wafuasi (unakuta kanali au brigedia au meja jenerali, au luteni jenerali au jenerali cdf anaunga mkono upinzani) au ushawishi au uungwaji mkono ndani ya vyombo vya ulinzi na usalama kuna mambo mawili yanaweza kutokea
1. Mapinduzi ya kijeshi (coup d'etat)
2. Vita ya wenyewe kwa wenyewe, maaskari wa sisiemu vs maaskari wa upinzani. Itakuwa vita moja mbaya sana.
 
CCM wanatakiwa kujibu huo upotoshaji siyo kutegemea mbeleko ya dola.
 
Nyie ndo mnamuharibia Rais. Wakati wenu ukifika atawashughulikia.
 
Back
Top Bottom