Boniface Jacob: Habari mbaya kuhusu Kombo Mbwana Twaha

Alijuaje ametembezwa mikoa yote hyo akiwa amefungwa kitambaa?
Ukifungwa kitambaa usoni unajuaje uko mkoa gani?
Alijuaje ni mikoa kumi ilhali alikua kafungwa kitambaa muda wote,au walikua wakimtajia mikoa!?..siungi mkono alichofanyiwa
Kwamba Sasa hv tunaenda rukwa,tuko mtwara, tabora..ili iweje!?
Kwani kasema waliomteka ndiyo walikua wakimtajia mikoa?
Nmeshangaa pia. Alijuaje yupo mkoa fulani akiwa amefungwa kitambaa? Au alikuwa anatajiwa?
Hivi nyie mshawahi kupelekwa kituo chochote cha police hapa nchini??
 
Hivi zile 4R zilikuwa zinasemaje;
Reform
Resilience
R...
R...

Bora yule mwamba alijiweka wazi, hizi R ni unafiki mtupu.
 
H
Hongereni Chadema kwa kujali haki za watu bila kujali itikadi, kabila wala kanda wanayotoka.
mtabarikiwa sana
 
Mbona kuna watz wapumbavu sana? kila siku wanaongezeka.
Eti alijuaje ametembezwa mikoa kumi.
 
Kutesana kote huku kwa nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…