Boniface Jacob: Rais Samia tunaomba Afande Mafwele anayetuhumiwa kumteka Sativa achunguzwe

ni kweli inatakiwa kupata maumivu lakini inabidi kwanza tujue nani anamtuma unajua mara nyingi

pale wengi hushoshea kidole kuwa ni pale pengine sio pale kumbe ni hapa
Huyo akirushiwa kwa Wananchi wenye hasira kali sekunde 10 nyingi kashatakata haraka sana
 
Mujomile bhandugu.

Wana salamu yao huko wanasema weka namba tumsalimie.

Baada ya maumivu makali ya wanyama wasumbufu mwituni kuliwa ovyo, yule simba mwitu sasa kapatwa, ni baada ya mmoja wa wadudu aliyejeruhiwa kwa kukanyagwa na huyo simba wkt wa purukushani.

Mdudu kawapata sisimizi waliokuwa kazini na hivi sasa wanatoa salama yao maarufu kwamba simba kapatwa na nyenyere kooni, sooni anaweza kuanguka au la, tungoje.

Salamu zinaelekea kuvuka mpaka huko X hadi kwenye lile bonde lililoko chini jirani na maji mengi yenye nyangumi.

Mtoto wa simba bado anategemea mzazi wake pia nyenyere wanamsogelea miguuni, wanajamvi huku tunaangalia tu ili mradi lisije kuwapata hawa wadudu nyenyere maana simba buana anafahamika na jamii kwa uhodari wake.

Mimi tu nimeona niwajuze, je simba atapona au ndiyo ule umajununi wake unaweza kumuokoa.


NB. Tukutane saa nne(4:00) kwenye presi.
 
Very simple mathematics...😊 na sitarajii kama kuna mwanafunzi anaweza akakosa hata 4D hapa...☺
Tuendelee kugonga mtori, tuna karibia kuzikuta nyama chini...😶
 

Attachments

  • IMG-20240910-WA0005.jpg
    28.3 KB · Views: 3
Sativa ahakikishe Yuko sehemu salama vinginevyo watamtafuta na kumuua tena....

Na wewe Bw. Boniface Jacob unatafutwa Ili aidha ubandikwe kesi moja mbaya sana au uwawe kabisa....

Kuwa makini katika kila unalofanya, unapoishi, kila uendako na kila unayehusiana naye kwa namna zote....

Don't trust anyone including me. Mwamini Mungu muumba wako pekee yake...!
 
Uoga wa sisimizi tunaujua wakiona wenzao kadhaa wamemwagiwa majivu ya moto hutawanyika na kurudi kwenye mashimo yao, sahivi anaangaliwa aliembele ya wenzake ni nani majivu yaanze kumwagiwa kwake
 
Uoga wa sisimizi tunaujua wakiona wenzao kadhaa wamemwagiwa majivu ya moto hutawanyika na kurudi kwenye mashimo yao, sahivi anaangaliwa aliembele ya wenzake ni nani majivu yaanze kumwagiwa kwake
Hawanusi hata harufu ya petrol hawa nyenyere asee, naona wanajisogeza kwenye tanuru kupitia uzi uliounganishwa hadi kule bondeni!.
 



inaonesha mafwele ni mpenda sifa lakini mbona ni kama anatumwa hivi
 

Jina: Faustine Jackson Mafwele
Umri: miaka 47
Kabila : Mkerewe
Dini: Mkristo
Makazi : Mikocheni
Kazi: Afisa mwandamizi wa polisi
Cheo: Kamishina Msaidizi wa Polisi
Madaraka: Zonal Crime Officer
Tuhuma: Kuendesha genge la uhalifu dhidi ya binadamu.
Mawasiliano: +255 755 855 743
+255 787 922 913

1. ACP Faustine Mafwele kwa mara ya kwanza amethibitishwa hadharani na kutambuliwa na Edger Edson Mwakabela (Sativa) kama afisa mwandamizi wa Jeshi la Polisi Tanzania ambaye alitoa amri ya kubebwa kwake kisha kusafirishwa kwenda Arusha na katavi kupigwa risasi ya kichwa kabla ya kunusurika kuuawa.

2. ACP Faustine Mafwele amewahi kuwa OC-CID mwaka 2011-2015 wa kituo cha Polisi Arusha na baadae akawa RCO wa Mkoa wa Arusha

Wakati wa mauaji ya wanachama wa CHADEMA maandamano ya Arusha ya 04 January 2011 alikuwa OC-CID.

Wakati huo Faustine Mafwele akiwa na cheo cha ni Mrakibu Msaidizi wa Polisi

Tarehe 05 January 2012 akiwa Mrakibu Msaidizi wa Polisi Faustine Mafwele alipigwa risa
 
Sura yake tu inasadifu kwamba huyu ni mtu hatari Sana. Muuaji Katili having a devilish face.
His devilish face implies that he is a Worse Killer, Chief Assassin, Chief Abductor.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…