Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unafikiri ana amuaa yeyemzee inaonesha ni mtu wa kuogopwa sana
lakini natamani kujua upande wake wa pili kwanini alifanya hivi au kwanini hufanya hivi
Sura si ngeni hi 😄View attachment 3094522View attachment 3094523
Mamlaka hazimwezi , wakuu wa usalama wote wana mwogopa ! Mikono yake inaoga damu kila baada ya mda mfupi !!
maswali ni mengi sanaUnafikiri ana amuaa yeye
Yeye pia hutumwa
Ova
Huyu ndiye muuaji faustine ?View attachment 3094522View attachment 3094523
Mamlaka hazimwezi , wakuu wa usalama wote wana mwogopa ! Mikono yake inaoga damu kila baada ya mda mfupi !!
Wanajulikana watawekwa wazi Wote hadharani mmoja baada ya mwingineView attachment 3094522View attachment 3094523
Mamlaka hazimwezi , wakuu wa usalama wote wana mwogopa ! Mikono yake inaoga damu kila baada ya mda mfupi !!
kuna something behind nimeanza kukionaOP kama hizo wanazofanya hawatKuwi kutambulika,kugundulika
Ova
The butcher Baba mla nyama za WatuHuyu ni nani na mwenye hadithi naomba anisimulie aliyoyafanya sijui chochote, jf we dare to talk openly.
Mzee wa Kino nahisi kuna mambo yanayoendelea ndani ya nchi ya watu kuharibiana. Hali ya hewa haiko poa.Sura si ngeni hi 😄
Ova
Apigwe na mob justice km yule kichaa pale kariakoo alievamia daladala akaanza kuvunja vioo vya Magari sekunde 10 nyingi kashakata roho huyo the butcherwameamua kumtupia jamaa msala hili aende jela afunge mdomo
sijapata point yako bro sorryApigwe na mob justice km yule kichaa pale kariakoo alievamia daladala akaanza kuvunja vioo vya Magari sekunde 10 nyingi kashakata roho huyo the butcher
Anaeua kwa Upanga uuliwa kwa Upanga, wapewe Wananchi wenye hasira kali washighulike nae hakuna haja ya kwenda kumfungia kwenye box akapewe msamaha wa 1/3 hakuna hio na yeye alambishwe Chuma cha Motovery sad kuona tunaua sisi kwa sisi kwaajilii
sijapata point yako bro sorry
ni kweli inatakiwa kupata maumivu lakini inabidi kwanza tujue nani anamtuma unajua mara nyingiAnaeua kwa Upanga uuliwa kwa Upanga, wapewe Wananchi wenye hasira kali washighulike nae hakuna haja ya kwenda kumfungia kwenye box akapewe msamaha wa 1/3 hakuna hio na yeye alambishwe Chuma cha Moto