Boniface Jacob: Rais Samia tunaomba Afande Mafwele anayetuhumiwa kumteka Sativa achunguzwe

Mnatuchosha sana na haya mahabari yenu yasiyo kuwa na kikomo.

Hao watu ulio waorodhesha hapo wewe unadhani ni mjuaji zaidi kuliko walivyo wao?

Nimeshindwa hata kusoma hilo tangazo zima
Umelazimishwa kusoma? au ni kiherehere chako tu ? maana nyuzi ziko nyingi ni kujichagulia tu wa kusoma
 
Huyo mwamba atakuwa kajipanga, hakai kizembe
 
Umeeleza kitu sahihi kabisa.
Wahusika wanapaswa kuwa waangalifu muda wote kabisa, wasipende kumuamini mtu yoyote yule kirahisi. Wawe waangalifu zaidi na Watu wao wa karibu zaidi ambao wanahusiana nao kila siku katika mizunguko ya maisha yao binafsi, wakiwamo na ndugu zao wa karibu zaidi
 
MAMBO YAKISHAKUWA WAZI KWA NAMNA HII, PUBLICITY YAKE IKO JUU KIASI HIKI, RAIS NI LAZIMA AFANYE JAMBO, HUWA HAKUNA NAMNA TENA!
Kwa vipi nyie wa mrengo ule huwa mnaweka comments kwa herufi kubwa kubwa?
Faiza, big show, na wale wengine. Huwa mnahisi herufi ndogo hazionekani? Huwa ni culture yenu mrengo huo au ni jazba
 
Mkuu wa nchi ni kama haoni wala hasikii
 
Alafu mjinga Nchimbi anakuja na stori za mazungumzo.
Anaenda zjngumza nini ni vitu vipo wazi?
 
Majaji hawawa kina biswalo na feleshi?
 
Nakazia ✍️ ✍️
Majaji wa Tanzania ni makada, machawa, hawaaminiki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…