Boniface Jacob: Rais Samia tunaomba Afande Mafwele anayetuhumiwa kumteka Sativa achunguzwe

Boniface Jacob: Rais Samia tunaomba Afande Mafwele anayetuhumiwa kumteka Sativa achunguzwe

View attachment 3120462

Huyu kijana simfatilii uko twitter kabisa ila story yake ya kutekwa ninaifahamu.

Nilichostuka ni kukutana na post yake Instagram ikiwa imelipiwa kama tangazo ili iweze kuwafikia watu wengi.

Nikajiuliza huyu kijana jobless aliyetoka kuchangiwa matibabu anapata wapi pesa za kurusha matangazo Instagram?

Yeye ananufaika nini na post kama hizi zikienda viral?

Mimi sijamfollow Instagram ila amelazimsha nikutane na post yake kwa kuwa kalipia mapesa mengi lengo ni watu kama sisi tusio mfollow tuone post zake.
Mambo ya kulipia matangazo tunayaona kwa wafanyabiashara sababu wanategemea kupata faida sasa huyu anafaidika nini?

NANI YUPO NYUMA YA SATIVA?
Siku na wewe ukipigwa risasi na kunusurika kufa ndio utajua kwanini sativa, lisu na the like hawaogopi tena chochote.
 
View attachment 3120462

Huyu kijana simfatilii uko twitter kabisa ila story yake ya kutekwa ninaifahamu.

Nilichostuka ni kukutana na post yake Instagram ikiwa imelipiwa kama tangazo ili iweze kuwafikia watu wengi.

Nikajiuliza huyu kijana jobless aliyetoka kuchangiwa matibabu anapata wapi pesa za kurusha matangazo Instagram?

Yeye ananufaika nini na post kama hizi zikienda viral?

Mimi sijamfollow Instagram ila amelazimsha nikutane na post yake kwa kuwa kalipia mapesa mengi lengo ni watu kama sisi tusio mfollow tuone post zake.
Mambo ya kulipia matangazo tunayaona kwa wafanyabiashara sababu wanategemea kupata faida sasa huyu anafaidika nini?

NANI YUPO NYUMA YA SATIVA?
Mafwele anatumwa na nani kuteka, kutesa, kupoteza na kuuwa wapinzani na wakosoaji?
 
View attachment 3120462

Huyu kijana simfatilii uko twitter kabisa ila story yake ya kutekwa ninaifahamu.

Nilichostuka ni kukutana na post yake Instagram ikiwa imelipiwa kama tangazo ili iweze kuwafikia watu wengi.

Nikajiuliza huyu kijana jobless aliyetoka kuchangiwa matibabu anapata wapi pesa za kurusha matangazo Instagram?

Yeye ananufaika nini na post kama hizi zikienda viral?

Mimi sijamfollow Instagram ila amelazimsha nikutane na post yake kwa kuwa kalipia mapesa mengi lengo ni watu kama sisi tusio mfollow tuone post zake.
Mambo ya kulipia matangazo tunayaona kwa wafanyabiashara sababu wanategemea kupata faida sasa huyu anafaidika nini?

NANI YUPO NYUMA YA SATIVA?
Endelea kusambaza mkuu🤣🤣
 
View attachment 3120462

Huyu kijana simfatilii uko twitter kabisa ila story yake ya kutekwa ninaifahamu.

Nilichostuka ni kukutana na post yake Instagram ikiwa imelipiwa kama tangazo ili iweze kuwafikia watu wengi.

Nikajiuliza huyu kijana jobless aliyetoka kuchangiwa matibabu anapata wapi pesa za kurusha matangazo Instagram?

Yeye ananufaika nini na post kama hizi zikienda viral?

Mimi sijamfollow Instagram ila amelazimsha nikutane na post yake kwa kuwa kalipia mapesa mengi lengo ni watu kama sisi tusio mfollow tuone post zake.
Mambo ya kulipia matangazo tunayaona kwa wafanyabiashara sababu wanategemea kupata faida sasa huyu anafaidika nini?

NANI YUPO NYUMA YA SATIVA?

Ajatumwa na mtu yeyote; ogopa mtu aliyepitia machungu ya mateso na Kuona Milango ya kifo; huwa hawaogopi tena
 
View attachment 3120462

Huyu kijana simfatilii uko twitter kabisa ila story yake ya kutekwa ninaifahamu.

Nilichostuka ni kukutana na post yake Instagram ikiwa imelipiwa kama tangazo ili iweze kuwafikia watu wengi.

Nikajiuliza huyu kijana jobless aliyetoka kuchangiwa matibabu anapata wapi pesa za kurusha matangazo Instagram?

Yeye ananufaika nini na post kama hizi zikienda viral?

Mimi sijamfollow Instagram ila amelazimsha nikutane na post yake kwa kuwa kalipia mapesa mengi lengo ni watu kama sisi tusio mfollow tuone post zake.
Mambo ya kulipia matangazo tunayaona kwa wafanyabiashara sababu wanategemea kupata faida sasa huyu anafaidika nini?

NANI YUPO NYUMA YA SATIVA?
Umejibiwa?
 
Back
Top Bottom