fyddell
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 12,026
- 22,549
Kwani kule hawana chama chao cha wanasheria? Kipo mpaka cha wanasheria wanawake Zanzibar ohoookumbe ni chama cha Wanasheria Tanganyika. na siyo Tanzania
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani kule hawana chama chao cha wanasheria? Kipo mpaka cha wanasheria wanawake Zanzibar ohoookumbe ni chama cha Wanasheria Tanganyika. na siyo Tanzania
MaCCM yote mahali popote yalipo sasa hivi roho zinayauma ssna hadi mioyo inakaribia kuoasuka.Wakili Mwabukusi aapishwa rasmi kuwa Rais wa chama cha Wanasheria Tanganyika.
View attachment 3060504
Wakili Boniface Mwabukusi ataendesha chama cha Wanasheria Tanganyika kwa Miaka mitatu.
Uapisho huo umefanyika katika Ukumbi wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma.
Wakili Boniface Mwabukusi alitangazwa kuwa Mshindi wa Urais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) akiwashinda Wanasheria wengine watano waliokuwa wakiwania nafasi hiyo
View attachment 3060503
Mwabukusi alishinda kwa Kura 1,274 huku Sweetbert Nkuba aliyekuwa akipewa nafasi kubwa ya kushinda akifuatia kwa Kura 807. Kwa matokeo hayo, Mwabukusi anakwenda kukiongoza Chama hicho cha Wanasheria kwa kipindi cha miaka mitatu.
View attachment 3060509
Mawakili wengine waliokuwa wakiwania nafasi hiyo ni Kapt. Ibrahim Bendera aliyepata Kura 58, Paul Kaunda aliyepata Kura 51, Emmanuel Muga aliyepata Kura 18 na Revocatus Kuuli aliyepata Kura 7
Pia, soma; Wakili Sweetbert Nkuba kupinga ushinda wa Wakili Boniface Mwabukusi kuwa Rais wa TLS
Katiba sio jambo la kisheria but "katiba ni mama wa nchi yeyote ile ".Katiba ya nchi siyo mali ya Rais wa nchi.
TLS ni Chama Cha Wanasheria, na Katiba ni jambo la kisheria, hivyo inawahusu.
Aisee!Katiba sio jambo la kisheria but "katiba ni mama wa nchi yeyote ile ".
AmenMungu mbariki mtu huyu
Amevaa na suti yake bure kufanya press,eti anaenda mahakamani kutafuta haki.Kishaliwa huyo
kama katiba ni mama wa sheria, maana yake ni kwamba katiba nayo ni sheria. nyoka huzaa nyoka.Katiba sio jambo la kisheria but "katiba ni mama wa nchi yeyote ile ".
Kazi imeanza sasa!! Soma hiyoooooooooooo!!😀 😀 😀Wakili Mwabukusi aapishwa rasmi kuwa Rais wa chama cha Wanasheria Tanganyika.
View attachment 3060504
Wakili Boniface Mwabukusi ataendesha chama cha Wanasheria Tanganyika kwa Miaka mitatu.
Uapisho huo umefanyika katika Ukumbi wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma.
Wakili Boniface Mwabukusi alitangazwa kuwa Mshindi wa Urais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) akiwashinda Wanasheria wengine watano waliokuwa wakiwania nafasi hiyo
View attachment 3060503
Mwabukusi alishinda kwa Kura 1,274 huku Sweetbert Nkuba aliyekuwa akipewa nafasi kubwa ya kushinda akifuatia kwa Kura 807. Kwa matokeo hayo, Mwabukusi anakwenda kukiongoza Chama hicho cha Wanasheria kwa kipindi cha miaka mitatu.
View attachment 3060509
Mawakili wengine waliokuwa wakiwania nafasi hiyo ni Kapt. Ibrahim Bendera aliyepata Kura 58, Paul Kaunda aliyepata Kura 51, Emmanuel Muga aliyepata Kura 18 na Revocatus Kuuli aliyepata Kura 7
Pia, soma; Wakili Sweetbert Nkuba kupinga ushinda wa Wakili Boniface Mwabukusi kuwa Rais wa TLS
Kenya wanayo katiba mpya ,vipi maisha yao yamebadilika baada ya ujio wa katiba mpya?Akapige kazi, aanzie na suala la Upatikanaji wa Katiba Mpya hapa Tanzania.
Siyo Katiba Mpya tu, bali Kenya wanayo Katiba Mpya ambayo ni nzuri ukilinganisha na Katiba zilizopo katika nchi nyingi sana hapa Afrika na dunia nzima kwa ujumla.Kenya wanayo katiba mpya ,vipi maisha yao yamebadilika baada ya ujio wa katiba mpya?
Mungu mbariki mtu huyu
Ndiyo! Ni Tanganyika! Kwani hilo nalo linahitaji mjadala?kumbe ni chama cha Wanasheria Tanganyika. na siyo Tanzania