Boniface Mwabukusi aapishwa kuwa Rais wa TLS. Aanza kazi rasmi

Boniface Mwabukusi aapishwa kuwa Rais wa TLS. Aanza kazi rasmi

Wakili Mwabukusi aapishwa rasmi kuwa Rais wa chama cha Wanasheria Tanganyika.
View attachment 3060504
Wakili Boniface Mwabukusi ataendesha chama cha Wanasheria Tanganyika kwa Miaka mitatu.

Uapisho huo umefanyika katika Ukumbi wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma.

Wakili Boniface Mwabukusi alitangazwa kuwa Mshindi wa Urais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) akiwashinda Wanasheria wengine watano waliokuwa wakiwania nafasi hiyo
View attachment 3060503
Mwabukusi alishinda kwa Kura 1,274 huku Sweetbert Nkuba aliyekuwa akipewa nafasi kubwa ya kushinda akifuatia kwa Kura 807. Kwa matokeo hayo, Mwabukusi anakwenda kukiongoza Chama hicho cha Wanasheria kwa kipindi cha miaka mitatu.
View attachment 3060509
Mawakili wengine waliokuwa wakiwania nafasi hiyo ni Kapt. Ibrahim Bendera aliyepata Kura 58, Paul Kaunda aliyepata Kura 51, Emmanuel Muga aliyepata Kura 18 na Revocatus Kuuli aliyepata Kura 7

Pia, soma; Wakili Sweetbert Nkuba kupinga ushinda wa Wakili Boniface Mwabukusi kuwa Rais wa TLS
MaCCM yote mahali popote yalipo sasa hivi roho zinayauma ssna hadi mioyo inakaribia kuoasuka.
 
Wakili Mwabukusi aapishwa rasmi kuwa Rais wa chama cha Wanasheria Tanganyika.
View attachment 3060504
Wakili Boniface Mwabukusi ataendesha chama cha Wanasheria Tanganyika kwa Miaka mitatu.

Uapisho huo umefanyika katika Ukumbi wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma.

Wakili Boniface Mwabukusi alitangazwa kuwa Mshindi wa Urais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) akiwashinda Wanasheria wengine watano waliokuwa wakiwania nafasi hiyo
View attachment 3060503
Mwabukusi alishinda kwa Kura 1,274 huku Sweetbert Nkuba aliyekuwa akipewa nafasi kubwa ya kushinda akifuatia kwa Kura 807. Kwa matokeo hayo, Mwabukusi anakwenda kukiongoza Chama hicho cha Wanasheria kwa kipindi cha miaka mitatu.
View attachment 3060509
Mawakili wengine waliokuwa wakiwania nafasi hiyo ni Kapt. Ibrahim Bendera aliyepata Kura 58, Paul Kaunda aliyepata Kura 51, Emmanuel Muga aliyepata Kura 18 na Revocatus Kuuli aliyepata Kura 7

Pia, soma; Wakili Sweetbert Nkuba kupinga ushinda wa Wakili Boniface Mwabukusi kuwa Rais wa TLS
Kazi imeanza sasa!! Soma hiyoooooooooooo!!😀 😀 😀
 
Kenya wanayo katiba mpya ,vipi maisha yao yamebadilika baada ya ujio wa katiba mpya?
Siyo Katiba Mpya tu, bali Kenya wanayo Katiba Mpya ambayo ni nzuri ukilinganisha na Katiba zilizopo katika nchi nyingi sana hapa Afrika na dunia nzima kwa ujumla.

Ubora maisha katika nchi ya Kenya pia ni mzuri zaidi kulinganisha na Tanzania, hili liko wazi kabisa. Hata Uchumi wa Kenya pia ni mkubwa ukilinganisha na Tanzania. Kwa ujumla Kenya wametuzidi kwenye nyanja nyingi sana za maisha.
 
Back
Top Bottom