The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,942
- 20,077
Waliomuondoa ni wanasheria, wanaomtudisha ni wanasheria.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watatumia zile njia za Nape eeenhAtagombea,lakini hato chaguliwa.
wewe ccm umeumiaNi jambo jema 😄
Kila kesi inajitegemea. Haki kwenye kesi hii haileti haki kwenye kesi nyingine.Naomba kuuliza. Hapa Mahakama imetenda haki. Je tunafaa sasa tuanze kuziamini mahakama zetu kwakuwa zinatenda haki??
Ni tetesi, ngoja tusubiri habari kamiliHuyo jamaa naskia kapewa sumu
Wewe ni mpiga kura TLS?ila hawezi pewa ushindi..
Uchaguzi ukawe huru na haki.
mwabukusi yupo vizuri, ila afunge break mdomo, siyo kila sehemu ni harakati.
Huu ndo uzuri wa kuwa na mahakama huruHii ndio Taarifa ya sasa kutoka Mahakama Kuu
Kuna hii kasumba ya gov kufungua kesi kwa wagombea wenye mrengo fulani, hii tabia haijaanza leo. Na kesi hizi zinakuwa hazina msingi ndio maana zinatupiliwa mbali, hizi kesi huwa zinakuwa designed kumvuruga muhusika, au kumcheleweshandio maana walifanya juu chini kumuengua asiwe mkurugenzi wa legal and human rights centre, sasa hata akipewa cheo chochote na serikali, kale kadada hana henga pale LGRC kataendelea kumzidi kipato mra tatu.
😂😂😂😂Wewe ni mpiga kura TLS?
Hahahahaha...wanasheria wameshindwa sheria na wanasheriaWaliomuondoa ni wanasheria, wanaomtudisha ni wanasheria.
Fitina zao zimegonga Mwamba😁Chama dola kongwe kimeshindwa hatua ya uenguaji wagombea
Pollonium,hata kwa eti?Jambo jema sana hilo,
Je wasiomtaka hawawezi kumuengua kwa njia au sababu nyingine?