Fitina zao zimegonga Mwambaš
CCM wanatafuata kila mbinu TLS iwe mmoja ya Jumuiya ya chama chao, kama ilivyo UVCCM, WAZAZI, BAKWATA, MEDIA COUNCIL OF TANZANIA MCT, Umoja wa Wahandisi na Wakandarasi TUCASA walionunua helicopter kwa rais n.k
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fitina zao zimegonga Mwambaš
Upcoming President Of TLSHii ndio Taarifa ya sasa kutoka Mahakama Kuu
HapanaKwani Tanganyika Law Society ni moja ya taasisi za Serikali?
Pollonium,hata kwa eti?
Kila msiemtaka ni kibaraka ,hivi nyie nyimbu mkoje aisee?Sungusia ni gov puppet
Wewe kwani hujui ni taasisi ya ccmKwani Tanganyika Law Society ni moja ya taasisi za Serikali?
Nani kasema hamtaki? Kulikuwa kuna haja gani wakili msomi kufungua kesi haina msingi? Unaendaje kumpinga mtu mahakaman huna sababu za maana?Kila msiemtaka ni kibaraka ,hivi nyie nyimbu mkoje aisee?
Yes, ila wa pande mbili tofauti. Waliomuondoa ni wengine na waliomrudisha ni wengineWaliomuondoa ni wanasheria, wanaomtudisha ni wanasheria.
Kuna watu wanalindwa na MUNGU Ila CCM haishindwi kwenye hizi sarakasi & vice versa is TrueKesi ya Boniface AK Mwabukusi kupinga kukatwa kwenye Uchaguzi wa Rais wa Tanganyika Law Society kutolewa hukumu leo pale Mahakama kuu ya Tanzania
Jumaa Mubarak š
----
Mahakama Kuu ya Tanzania kanda ya Dar es Salaam leo, Ijumaa Julai 26.2024 imetoa hukumu ya kesi iliyokuwa imefunguliwa na Wakili wa kujitegemea Boniface Mwabukusi dhidi ya TLS (Chama cha Mawakili Tanganyika) ambapo Wakili Mwabukusi alikuwa anapinga maamuzi ya kamati ya rufani kumuengua kugombea nafasi ya Rais wa chama hicho katika uchaguzi unaotarajiwa kufanyika mapema mwezi ujao.
Baada ya kusikiliza hoja za pande zote mbili Mahakama imeridhika na hoja zilizotolewa na upande wa Mwabukusi ambapo sasa rasmi imetengua maamuzi ya kamati ya rufani ya TLS, hivyo kwa sasa Wakili Mwabukusi amerejeshwa kugombea nafasi ya Rais wa TLS.
Pia soma
Hapana, ila huingiliwa na CCM kulingana na kiongozi wa wakati uliopo, wakati wa Lissu ilishindikana wakatishiwa kuifuta TLS.Kwani Tanganyika Law Society ni moja ya taasisi za Serikali?
Haki imeshinda
Tulia hujui Dunia weweHalafu utasikia machadema na mwabukusi mwenyewe wanasema mahakama haiko huru kisa wame wagwa.
Ndo mana nchi hatuwezi kuwapa mana hamueleweki
Sio ccm, sema tiss..mbona mnapenda kugeuza akili yenu mbele inakuwa nyuma halafu kisogo kiwe mbele!CCM hawataki watu kama Mwabukusi ndani ya Tls. Njama zao zimekwama.
šView attachment 3052570
Ongezea Makanisa ya masafa Mafupi, manabii, maaskofu wa makanisa ya TISSUmesahau Bakwata, TISS na KKKT