Boniface Mwamposa rekebisha tangazo lako la kugawa mafuta bure, mafuta tunanunua

Sas kwanin asipate pesa na anamtumikia mungu lzm apate pesa ndefu haswa uwez kuwa fukara huku unalitaja jina la mungu kila siku kila saa lzm utajirike Mkuu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Babu anapesa huyu mtu hata mapima ya oliv anaweza nunua yule na Kisha ss kutupa kwa ruzuku

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Kwani kuna mtu aliwatuma muende huko? si kiherehere chenu na kutokujielewa kwenu? mnajua kabisa jitu sanii linafanya biashara bado mnajipeleka tu, na bado awakamue kabisa mpaka damu nyambaff
Unakozea San janja weed ulitaka tuende kwa waganga Tena Bora yey analitaja jina la mungu was was na Hana ulozi kuliko huko unako kwenda ..siku ukipatwa na uchawi utamkumbuka mzee yule

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Unatoka mkoa kuja kuchukua mafuta kwa tapeli, humo kichwani una nini wewe...
 
Katika maisha muombe sana Mungu akupe hekima ya kutambua mambo ya kiroho na uwezo mzuri wa kufikiri. Hautageuzwa daraja la wengine kupitia kufikia malengo yao.

Tanzania! Tanzania! Afya ya Akili! Afya ya Akili!
Saawa mungu ataamua tu kwa vile mtumishi hyu hajaibuka Kama uyoga alianza safari ya kumtumikia mungu kitambo snaa siyo Jana Wala jusi Ni kitambo Sana hvyo mungu atuamulie juu ya nabii huyu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Kwan ww humtumikii Mungu.? Mbona ww sio tajiri.?
[emoji23][emoji23][emoji23] babu nikilona jina lako nacheka Sana siamini Kama Ni wee jusi ulikuwa unaporomosha matus ktk Uzi wa jama aliyeuwa panya road [emoji23][emoji23] dah mbag unanikumbusha mbali sna wee mpare

Kuhusu mafuta ya mwamposa leo sikujibu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…