andjul
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 18,773
- 119,820
Nipo hapa Kawe, nikukopee vichupa vingapi mama?1000 Liya ngapi? Yanafaa kupikia?
Yanafaa sana kwenye kitimoto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipo hapa Kawe, nikukopee vichupa vingapi mama?1000 Liya ngapi? Yanafaa kupikia?
Hayafai kupikia aisee siyo sawa kupikia mafuta ya upakoo1000 Liya ngapi? Yanafaa kupikia?
Sasa c utapeli huo hkn kitu Kam hcho asitangaze kuwa Ni bure Ni utapeli uo watu wanajazan kule kumbe wamawaadahaMafuta na maji ya upako ni bure. Yale unayopewa pale yamenunuliwa hivyo kanisa linakupa bure upako wewe unalipia hela ambayo kanisa limenunulia.
Yanatokana na mmea gani?Hayafai kupikia aisee siyo sawa kupikia mafuta ya upakoo
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
kwanini si anayabariki
Umetapeliwa nini wakati maji umeondoka nayo?Sasa c utapeli huo hkn kitu Kam hcho asitangaze kuwa Ni bure Ni utapeli uo watu wanajazan kule kumbe wamawaadaha
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Jamaa usipotoshe plz hayafai kupikia bhnaNipo hapa Kawe, nikukopee vichupa vingapi mama?
Yanafaa sana kwenye kitimoto
Kichupa ni lita ngapi? Najaribu kulinganisha na mafuta ya kupikia huku streetNipo hapa Kawe, nikukopee vichupa vingapi mama?
Yanafaa sana kwenye kitimoto
Dada hapo sijui Sana ila inasemekana Ni mafuta ya mzaituni Olive oilsYanatokana na mmea gani?
Olive oil unaweza KupikiaDada hapo sijui Sana ila inasemekana Ni mafuta ya mzaituni Olive oils
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Hkn babu maji pia yanauzwa mkuu bure pale Ni keki tu na karatas za kuganyaga mafutaUmetapeliwa nini wakati maji umeondoka nayo?
Labda mshana jr anaweza kueleza ZaidOlive oil unaweza Kupikia
Nina ushuhuda mkuu, mafuta ya kitimoto ni mazito, ukichanganya na ya upako yanakuwa mepesi na hayaishi haraka.
Possible lkn inawezekana Hilo pia kwa kuwa uwez tumia bila kutamkia nenokwanini si anayabariki
Nadhani ni (50 - 100)mils...Kichupa ni lita ngapi? Najaribu kulinganisha na mafuta ya kupikia huku street
Yapo ya kupikia na yapo ya kupaka sasa sijajua utofauti kwenye utengenezaji. Ya kupikia ni gharama sana
Duh basi tena😀Nadhani ni (50 - 100)mils...
Mpaka ufikishe lita moja ni kati ya sh 10,000 hadi 20,000
Zamani mtu mjinga tulikuwa tukimuita mgoroko.Sasa kwann atangaze kuwa Ni bure wit siyo Kweli huo tukisema tapeli atabisha
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
buku haitoshi kaka. tunataka kuanzia elfu kumi kama hadi buku ya mafuta unalalamika Jumapili kasali kwa Paroko wako tu, nitakuruisha pale mlangoni kabisa. Mimi naendesha radio nchi nzima, Tv nalipa posho wafanyakazi alafu unakuja na buku wakati lile eneo tu nalipia million 6 kila mwezi haupo seriously.
Sikupingi kwa hilo mkuu Knowledge intellectually ,well informed person popomatically sometimes ..Ninachojua 99% ya Wanaosali Kwake ( Waumini ) wana Matatizo makubwa ya Akili na Milembe Hospital inawasubiri.