Bonnah Kamoli, mtaalamu wa masuala ya IT mwenye ndoto ya kuwa Rais wa Tanzania

Bonnah Kamoli, mtaalamu wa masuala ya IT mwenye ndoto ya kuwa Rais wa Tanzania

Status
Not open for further replies.
IT ni pana sana, tuambie ni mbobezi pande ipi?
Mimi sifahamu Mzee nimeona tu kwenye tovuti ya Bunge ana Bachelor Degree ya computer science au Mkuu ni vitu tofauti? Wengine sio fani zetu hatujui
 
Kwa nini hawakuachana kimya kimya mpaka kutangaza bungeni
Kulikuwa na mwendelezo wa visa, visasi na uchafu mwingi sana kuhusiana na ndoa yao (Kwa kifupi sana inasemekana Bonna baada ya kupata ubunge wa kimchongo akawa anatomb** ovyo ovyo na wakubwa kadhaa ndani ya CCM na Serikali wakiwemo wabunge wenzake, na kuna wana wanadai huenda mpaka umeme wa gridi ya taifa uliunganishwa pale), hivyo jamaa (Kaluwa) akaona ni bora akaachana na Bonna hadharani kabisa (maana mwanamke kwa dharau alitaka waachane tu ili awe huru, na jamaa akasema atafanya hivyo publically ili kuondoa dhihaka na kulinda heshima ya kiuanaume).

Upande wa pili, Kaluwa aliwekeza pesa nyingi ili kuhakikisha mkewe anapata Ubunge wa Segerea kwa malengo fulani fulani hivi (kwa hapa siwezi kuyasema), lakini baada ya mwanamke kupata Ubunge ghafla akamgeuka muwewe!

Story yao kwa kiasi fulani inafanana na story ya Amina Chifupa na Mpakanjia.
 
Mgeuzen basi huyo MP tumuone backyard kama anatufaa kwa urahisi😁
1-.jpeg
 
ningependa kusikia historia ya safari yake iwe hamasa pia kwa wabunge wanawake kusomea fani ambazo zinaonekana kuwa ngumu au sizopendwa na wanawake , kutoka Geita mpaka Dar es Salaam mpaka kufikia kuwa Ubunge. Mwenza wake alikuwa nani ?
Ila watanzania tuna mambo ya ajabu sana. Sasa wewe ndo umeleta hii story humu afu tena unatuuliza sisi. Hatujui, kamuulizie bungeni huko labda watakupa taarifa zake
 
Ila watanzania tuna mambo ya ajabu sana. Sasa wewe ndo umeleta hii story humu afu tena unatuuliza sisi. Hatujui, kamuulizie bungeni huko labda watakupa taarifa zake
Huwezi jua kila kitu na kwenye wengi pana mengi. Ndio Dunia hii Mama
 
Mbunge huyo alianza kujulikana kwa jina la Bonnah Kalua, kabla ya baadae kubadili jina na kuitwa Bonna Kamoli aliwahi wakati mmoja kusema kupitia mahojiano na chombo cha habari kuwa atakuja kugombea Urais baada ya Magufuli

Mzaliwa wa Geita na mtaalamu wa masuala ya IT na mahusiano ya kimataifa na mjumbe wa kamati ya MAMBO YA NJE ULINZI NA USALAMA.

ningependa kusikia historia ya safari yake iwe hamasa pia kwa wabunge wanawake kusomea fani ambazo zinaonekana kuwa ngumu au sizopendwa na wanawake , kutoka Geita mpaka Dar es Salaam mpaka kufikia kuwa Ubunge. Mwenza wake alikuwa nani ?

Je kwa sasa kuwa na mwenza wa Waziri kunamuweka karibu na fursa ya teuzi? ( vetting) na hivyo kuanzisha safari ya ndoto yake kuwa kuongozi na hata Rais wa Nchi huko baadae?

View attachment 2574101
Mimi simjui lakini si kila ndoto unatangaza maana watu wanaweza shangaa kwa nini mtu unaota ndoto kama hiyo. Asifikiri mvuto wa umbo lake ndio kipimo cha kuweza kua rais.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom