Book Keeping, Commerce na Economics yawe masomo ya lazima ili vijana wajiajiri

Book Keeping, Commerce na Economics yawe masomo ya lazima ili vijana wajiajiri

system hacker

JF-Expert Member
Joined
Mar 13, 2022
Posts
426
Reaction score
709
Duuuu ni ngumu sana kuelewa watu wa Serikali kusisitiza watu wajiajiri; lakini walau watu hawajengewi mentality ya ki business.

Kwa Tanzania yetu mandatory subjects yangekuwa:
• Book Keeping
• Commerce
• economics
• Computer Studies

Imagine wale F.4 wanaomaliza wakiwa na Div. 0 / IV na hawana uwezo wa ki uchumi kuendelea na masomo yao.

Je, miaka yao 4 ya Secondary bila cheti watakuwa wameambulia kitu gani kichwani?

Je, majimaji war? Zinjanthropus? Mwanga kusafiri kwa kasi zaidi kuliko sauti? Au kitu gani haswaa kitakachowafaa ki maisha japo cheti hawana.

Nadhani kujengewa business mentality kupitia masomo ya biashara na computer yangesaidia sana kwenye ulimwengu huu wa biashara na teknolojia kwenye hii Tanzania isiyo na ajira kwa sasa.

Mlioko serikalini tazameni hili kwa upana mkubwa zaidi.

-----

Napingana kabisa na wazo la eti watu wafundishwe mambo ya ki ufundi. Ninaamini hao wanawaza ki ufundi zaidi ni kwa sababu hawafikiria ki biashara zaidi wao wanafikiria kwa ujumla zaidi na wanakosea sana
 
Duuuu ni ngumu sana kuelewa watu wa Serikali kusisitiza watu wajiajiri; lakini walau watu hawajengewi mentality ya ki business.

Kwa Tanzania yetu mandatory subjects yangekuwa:
• Book Keeping
• Commerce
• Computer Studies

Imagine wale F.4 wanaomaliza wakiwa na Div. 0 / IV na hawana uwezo wa ki uchumi kuendelea na masomo yao.

Je, miaka yao 4 ya Secondary bila cheti watakuwa wameambulia kitu gani kichwani?

Je, majimaji war? Zinjanthropus? Mwanga kusafiri kwa kasi zaidi kuliko sauti? Au kitu gani haswaa kitakachowafaa ki maisha japo cheti hawana.

Nadhani kujengewa business mentality kupitia masomo ya biashara na computer yangesaidia sana kwenye ulimwengu huu wa biashara na teknolojia kwenye hii Tanzania isiyo na ajira kwa sasa.

Mlioko serikalini tazameni hili kwa upana mkubwa zaidi.
afu utakuta aliyeajiriwa alimaliza 2006 😅😅😅😅
 
Masomo ya ufundi itafaa zaidi
Ki vipi? Imagine kila mtu anakuwa fundi kuanzia mtoto wa kike hadi wa kiume.

After all kwenye eneo la ufundi ni wapi pana gap? Mafundi wa kila kitu wapo na wamekamilika.....msitazame ufundi kirahisi kiqsi hicho bali tazameni kwa jicho la biashara.

Ishu kubwa ya watz sio ukosefu wa ufundi bali ukosefu wa ujuzi wa biashara kwa ujumla
 
Sio sekondari wafundishe masomo ya ufundi
Ufundi ki vipi?
Watu wengi mnaodhani ufundi ndio suluhisho ni matokeo ya kukosa business mentality.....ufundi itazame kwa jicho la biashara. Kwamba, ufundi wapi pana gap. Hakuna. Kila idara imekamilika.

Imagine kila mtu ni fundi nini kitatokea? Inflation ya ufundi.

So, muhimu zaidi ni kitu gani? Kitengenezwe inflation ya business skills yaani mfumuko wa business mentality
 
Pia kuna haja ya kubadili dhana iliyopo ya kimfumo inayowaaminisha watoto wanaenda shule ili waje kupata ajira.

Ni Dhana ya hatari sana ambayo imeifunga thamani ya elimu yetu katika ajira.

Utaona pale mtu anapohitimu shule na kukosa ajira, anaona elimu yote aliyoipata shuleni ni sawa na bure.

Tuwaamishe Watoto lengo la elimu ni kuwajengea uwezo wa kuisadia jamii kukabiliana na changamoto zinazoikabili.

Kisha wajengewe uwezo wa kuuza huo uwezo katika jamii husika sawasawa na ushauri wa mtoa mada.

Tukiwapa elimu ya ujasiriamali hali ya kuwa imani juu ya elimu haijabadilika sidhan kama itasaidia sana
Yap. Unajua elimu yetu bado ni ya kikoloni ile ya kusoma uajiriwe na tangu enzi na enzi haijawahi kubadilika.

Ni wakati sahihi sasa watoto wawe wanafundishwa na kuambiwa wazi ni kwa ajili ya kujiajiri na sio kuajiriwa ndo maana masomo ya book keeping, Commerce na computer studies nadhani ni mandatory
 
Fikiria ki biashara zaidi, jiulize maswali haya:
Upishi,cherehani,TEHAMA,ujasiriamali,
yawe masomo ya lazima
1. Hayo yote yakiwa practiced fani ya ufundi kwa ujumla wake utakuaje? (Mfumuko wa ufundi)
2. Je, kuna fursa katika ufundi ambazo hazijawa exploited na ndio zinatakiwa kuwa exploited?
3. Pakishatokea mfumuko wa ufundi nchini nini hatma ya ufundi ki biashara?

Lakini, kwa nini tusiwaze kutengeneza TAIFA lenye mfumuko wa business skills badala ya mfumuko wa ufundi?
 
Duuuu ni ngumu sana kuelewa watu wa Serikali kusisitiza watu wajiajiri; lakini walau watu hawajengewi mentality ya ki business.

Kwa Tanzania yetu mandatory subjects yangekuwa:
• Book Keeping
• Commerce
• Computer Studies

Imagine wale F.4 wanaomaliza wakiwa na Div. 0 / IV na hawana uwezo wa ki uchumi kuendelea na masomo yao.

Je, miaka yao 4 ya Secondary bila cheti watakuwa wameambulia kitu gani kichwani?

Je, majimaji war? Zinjanthropus? Mwanga kusafiri kwa kasi zaidi kuliko sauti? Au kitu gani haswaa kitakachowafaa ki maisha japo cheti hawana.

Nadhani kujengewa business mentality kupitia masomo ya biashara na computer yangesaidia sana kwenye ulimwengu huu wa biashara na teknolojia kwenye hii Tanzania isiyo na ajira kwa sasa.

Mlioko serikalini tazameni hili kwa upana mkubwa zaidi.
Umenikumbusha wakati nasoma kuna mwl tulikuwa tumamuita consumer.
 
Fikiria ki biashara zaidi, jiulize maswali haya:

1. Hayo yote yakiwa practiced fani ya ufundi kwa ujumla wake utakuaje? (Mfumuko wa ufundi)
2. Je, kuna fursa katika ufundi ambazo hazijawa exploited na ndio zinatakiwa kuwa exploited?
3. Pakishatokea mfumuko wa ufundi nchini nini hatma ya ufundi ki biashara?

Lakini, kwa nini tusiwaze kutengeneza TAIFA lenye mfumuko wa business skills badala ya mfumuko wa ufundi?
Vijana lazima wafundishwe uzalishaji na sio uchuuzi,wakisoma fani za aina mbalimbali wanafundishwa na business skills,cha msingi fani zinatakiwa zigeuzwa ziwe kibiashara zaidi.Kwa mfano kama kijana kasoma mimea na nyuki,basi anatakiwa afundishwe ujuzi wa biashara,ni jnsi gani mazao ya nyuki atayageuza kuwa fursa ya kibiashara
 
Back
Top Bottom