Book Keeping, Commerce na Economics yawe masomo ya lazima ili vijana wajiajiri

Book Keeping, Commerce na Economics yawe masomo ya lazima ili vijana wajiajiri

Vijana lazima wafundishwe uzalishaji na sio uchuuzi,wakisoma fani za aina mbalimbali wanafundishwa na business skills,cha msingi fani zinatakiwa zigeuzwa ziwe kibiashara zaidi.Kwa mfano kama kijana kasoma mimea na nyuki,basi anatakiwa afundishwe ujuzi wa biashara,ni jnsi gani mazao ya nyuki atayageuza kuwa fursa ya kibiashara
Kwa namna hio ndo taifa hili litapata mwelekeo mpya kuachana na mfumo wa elimu ya kikoloni iliyokita zaidi kuandaa watu kuajiriwa.

Sasa, mtu anafundishwa kuanzia darasa la I hadi chuo kikuu lakini hana hata simple idea ya namna ya kutumia kibiashara knowledge aliyopata, halafu anaambiwa ajiajiri.

Changamoto kubwa zaidi ni kwamba, hata mwalimu wake anayemfundisha naye hana idea namna yeyote kuhusu business mindset. Sasa, kama ni hivyo je, unategemea product yake itakuaje?

Ndio maana mm nadhani masomo ya biashara yawe ni mandatory pia na computer studies maana dunia ipo mikononi mwa teknolojia.

• book keeping
• commerce
• economics
• Computer studies
 
Kwa namna hio ndo taifa hili litapata mwelekeo mpya kuachana na mfumo wa elimu ya kikoloni iliyokita zaidi kuandaa watu kuajiriwa.

Sasa, mtu anafundishwa kuanzia darasa la I hadi chuo kikuu lakini hana hata simple idea ya namna ya kutumia kibiashara knowledge aliyopata, halafu anaambiwa ajiajiri.

Changamoto kubwa zaidi ni kwamba, hata mwalimu wake anayemfundisha naye hana idea namna yeyote kuhusu business mindset. Sasa, kama ni hivyo je, unategemea product yake itakuaje?

Ndio maana mm nadhani masomo ya biashara yawe ni mandatory pia na computer studies maana dunia ipo mikononi mwa teknolojia.

• book keeping
• commerce
• economics
• Computer studies
mfecane war usome nani?
 
Yaani serikali iweke sheria mojawapo kubwa ya kuwa mwalimu kuanzia Sekondari hadi chuo kikuu ni kuwa na 'business mindset' walau mtu awe na taaluma hata kama ni kidogo kuhusu biashara.

Yaani iwe kama ambavyo watu wanaajiriwa na wanapaswa kufahamu kuwa computer basic knowledge kwa ajili ya kumsaidia kufanya kazi zake. Sasa, iwe pia kati ya sifa mojawapo ya kuajirika ni kuwa na business knowledge kwa kigezo kitakachowekwa.

Iwe kwa kazi za umma mfano ubunge na kadhalika
 
Ki vipi? Imagine kila mtu anakuwa fundi kuanzia mtoto wa kike hadi wa kiume.

After all kwenye eneo la ufundi ni wapi pana gap? Mafundi wa kila kitu wapo na wamekamilika.....msitazame ufundi kirahisi kiqsi hicho bali tazameni kwa jicho la biashara.

Ishu kubwa ya watz sio ukosefu wa ufundi bali ukosefu wa ujuzi wa biashara kwa ujumla
Biashara bila uzalishaji wa kutosha ili tuendelee kuwa wachuuzi wa bidhaa za wachina na wenzetu machinga ?

Tatizo ni efficient production na lack of buying power hata uwe salesman mzuri kiasi gani huwezi kumuuzia mtu kitu which he/she can not afford..., unadhani watu hawapendi kula korosho hapa nchini ? Sasa kama wanapenda why tunaangaika na masoko ya nje ?

Entrepreneurship sio necessarily a knowledge bali ni attitude ya mtu, discipline, kutokukata tamaa among others....

Pia usisahau all skills are in need, tatizo la kuona fursa / pesa katika kila unachofanya ndio inapelekea cadre kama udaktari na ualimu ambao ni wito siku hizi haufanyiki sababu mtu anapenda kazi bali unafanywa na watafuta fursa ambao wanafanya hizi kazi zinazohitaji kwenda an extra mile kwa mapungufu makubwa (ni heri kutibiwa au kufundishwa na robot)

Nini Kifanyike...

Serikali iache uvivu itengeneze sera za ku-absorb majority ya watu 90% ambao ni average middle income people wanaoishi paycheck to paycheck na mwisho wanakuwa pensionable... (mtaani pagumu and very few make its) Fanya research ni business startups ngapi duniani zinazoanzishwa zinafail in their first year alafu urudi tuendelee na mjadala
 
Biashara bila uzalishaji wa kutosha ili tuendelee kuwa wachuuzi wa bidhaa za wachina na wenzetu machinga ?

Tatizo ni efficient production na lack of buying power hata uwe salesman mzuri kiasi gani huwezi kumuuzia mtu kitu which he/she can not afford..., unadhani watu hawapendi kula korosho hapa nchini ? Sasa kama wanapenda why tunaangaika na masoko ya nje ?

Entrepreneurship sio necessarily a knowledge bali ni attitude ya mtu, discipline, kutokukata tamaa among others....

Pia usisahau all skills are in need, tatizo la kuona fursa / pesa katika kila unachofanya ndio inapelekea cadre kama udaktari na ualimu ambao ni wito siku hizi haufanyiki sababu mtu anapenda kazi bali unafanywa na watafuta fursa ambao wanafanya hizi kazi zinazohitaji kwenda an extra mile kwa mapungufu makubwa (ni heri kutibiwa au kufundishwa na robot)

Nini Kifanyike...

Serikali iache uvivu itengeneze sera za ku-absorb majority ya watu 90% ambao ni average middle income people wanaoishi paycheck to paycheck na mwisho wanakuwa pensionable... (mtaani pagumu and very few make its) Fanya research ni business startups ngapi duniani zinazoanzishwa zinafail in their first year alafu urudi tuendelee na mjadala
(Biashara bila uzalishaji wa kutosha......).

- hapa ndipo napozidi ku prove mawazo yangu kuwa yapo right. Wewe unatazama biashara katika mrengo wa kuuza na kununua huku ukiona production km sio sehemu ya biashara. For your information production ndio core centre ya biashara. Hakuna biashara bila kuwa na production (products / services).

(Buying power......)

- hapa bila shaka unazungumzia purchasing power. Kwa maneno mafupi uwezo wa watu kufanya manunuzi, yaani watu wawe na hela mfukoni. Sasa, ili uwe na hela unapaswa kufanya biashara. Ili ufanye biashara kwa ufanisi yakupasa uwe na knowledge ya biashara yaani uwe na business mindset. Kumbuka hakuna mtu alizaliwa ni mfanyabiashara bali amejifunza, hakuna mtu alizaliwa daktari bali amejifunza, hakuna mtu amezaliwa injinia bali amejifunza. Na ni kosa kubwa sana kujifunza taaluma yeyote bila ku attach na business mindset. Hata km umeajiriwa km Dr. ama mwalimu bado survival ya ile kazi unayofanya inategemea 'customers' yaani biashara.

(Entrepreneurship sio lazima ni knowledge......)

- upo very wrong. Very wrong. Very very wrong. Otherwise ww una tafsiri yako mwenyewe ya knowledge tofauti na hii ambayo inafahamika ki dunia. Knowledge ndio engine ya ku drive mafanikio ya chochote kile. Lack of knowledge ndio engine ya ku drive anguko la chochote kile.

(All skills are all in need.....)

- nimekuelewa, lakini wewe nadhani kuna namna unavyoelewa neno 'business'. Wewe unaelewa katika mtazamo mdogo wa buying and selling. Lkn, it goes beyond to achieving a huge thing sio ishu ya kuuza na kununua tu hapana. It involves creativity, critical thinking, communication, cooperation na mengine mengi beyond. This is business.

(Business start ups ngapi zinafeli....)

- unajua sababu kuu ni kitu gani? Lack of business skills kwa wanaoanzisha. Jiulize mbona zingine zinaanzishwa na zinafanikiwa. Hapa ndipo unapozidi ku prove ninachosema kuna haja ya kila taaluma kuwa accompanied na business skills. Mtu amesoma computer science anaanzisha start up na hana business knowledge na haoni umuhimu wa ku team up na mtu mwenye business knowledge kwa nini start up isife?

Generally speaking ipo hivi: Kila taaluma ultimately 'battle field' yake ni 'business arena' hii ni iwe unataka ama hutaki.

Yaani, ukianza tu kufikiria kuhusu fedha fahamu kuwa upo kwenye mamlaka na utawala wa business. Mfuko wa fedha ni business kama ilivyo benki (business) inatunza fedha.

Je, kuna taaluma yeyote ambayo 'end product' yake sio fedha? Hakuna. Sasa, kama wote safari ya mwisho ni fedha ni kwanini kila taaluma isiwekewe misingi ya ki business (monetization)? Kwa swali hili dogo hakuna yeyote awezaye kusimama na kubishana kuhusu umuhimu wa ku attach business kwenye kitaaluma.

Na kwa taarifa yako kila mtu yupo busy kutafuta fedha lakini hajui namna mifumo ya fedha inavyofanya kazi na hajishughulishi kujua.

Mtu hana fedha anadhani amelogwa kumbe ni kwa vile hajui namna mfumo wa fedha ulivyo....
 
(Biashara bila uzalishaji wa kutosha......).

- hapa ndipo napozidi ku prove mawazo yangu kuwa yapo right. Wewe unatazama biashara katika mrengo wa kuuza na kununua huku ukiona production km sio sehemu ya biashara. For your information production ndio core centre ya biashara. Hakuna biashara bila kuwa na production (products / services).
twende polepole jamaa amekwambia tunahitaji mafundi ukasema kuna mafundi wangapi na je kuna gap ya mafundi ? Hapo ndio mjadala ulipoanzia......

Sasa swali linakuja kipaumbele ni nini ? Making profits au sustaining the needs..., sababu unaweza uka-create scarcity ili upate profit na inawezekana kabisa an essential thing in human life kisiwe na monetary value per se lakini kikawa valuable (mfano air tunayovuta) Unaweza ukazalisha kitu durable na cha maana kwa maisha ila usiuze sababu ya lack of marketing skills (lakini ukatengeneza upupu ukauza sababu ya kuwa-brainwash watu au kwa msanii kukitangaza hence ukauza) Now kwa mtizamo wa ustawi wa jamii kipi ni cha faida....

Mfano mdogo kutengeneza vitu vyenye short lifespan kuvi-mass produce na kuviuza ili viharibike watu warudi tena tena might make economical sense lakini sio environmental wala sustainability....

(Buying power......)

- hapa bila shaka unazungumzia purchasing power. Kwa maneno mafupi uwezo wa watu kufanya manunuzi, yaani watu wawe na hela mfukoni. Sasa, ili uwe na hela unapaswa kufanya biashara. Ili ufanye biashara kwa ufanisi yakupasa uwe na knowledge ya biashara yaani uwe na business mindset. Kumbuka hakuna mtu alizaliwa ni mfanyabiashara bali amejifunza, hakuna mtu alizaliwa daktari bali amejifunza, hakuna mtu amezaliwa injinia bali amejifunza. Na ni kosa kubwa sana kujifunza taaluma yeyote bila ku attach na business mindset. Hata km umeajiriwa km Dr. ama mwalimu bado survival ya ile kazi unayofanya inategemea 'customers' yaani biashara.
Sasa hapa naona tuna-stretch the definitions.... first and far-most business is about profits and more or less financial profits..., In the end kila mtu anafanya kitu kwa purpose fulani..., Je mwalimu his goals ni kufundisha watu kutoka point fulani hadi fulani au ni ku-make as much money as they can ? Daktari Je..., ni kuhakikisha anatafuta dawa hata kama vyote anavyofanya mwisho wa siku visimpe hata senti au ni kuchukua kazi part-time kuanzisha NGO's au kufundisha lecture hapa na pale ili kunenepesha akaunti yake ?

Kimoja ni more rewarding financially kingine ni more rewarding na priceless sababu ndio kiu cha cadre anayofanya..., yaani kuona watoto wote mwalimu aliowafundisha wamepass hata kama walikuwa hawana hata senti ya kumlipa....
(Entrepreneurship sio lazima ni knowledge......)

- upo very wrong. Very wrong. Very very wrong. Otherwise ww una tafsiri yako mwenyewe ya knowledge tofauti na hii ambayo inafahamika ki dunia. Knowledge ndio engine ya ku drive mafanikio ya chochote kile. Lack of knowledge ndio engine ya ku drive anguko la chochote kile.

(All skills are all in need.....)
Hivi kuna mtu ambaye hajui kwamba anahitaji kutafuta kitu kuuza katika margins na kupata faida na ku-reinvest alichopata na kuendelea tena na tena na tena ?

Sasa wangapi wanafanya hivyo ? utaona issue / tatizo sio kwamba hawajui bali attitude an indiscipline (sio rahisi kujinyima na kufight na not giving up) ndio maana unashauriwa kufanya unachokipenda sababu when the going gets tough financially at least emotionally utakuwa okay

Kwahio utaona kinachowatenganisha an average from the brilliant sio knowledge ya pesa bali ni attitude / discipline na interpersonal skills (some people can sell ice to eskimos) yaani ukimpa chance tu basi amesha-close the sale.... (and those are in minority)
- nimekuelewa, lakini wewe nadhani kuna namna unavyoelewa neno 'business'. Wewe unaelewa katika mtazamo mdogo wa buying and selling. Lkn, it goes beyond to achieving a huge thing sio ishu ya kuuza na kununua tu hapana. It involves creativity, critical thinking, communication, cooperation na mengine mengi beyond. This is business.
Sasa jamaa alivyokwambia wafundishe na ufundi pia ukabisha ni nini ? au hizo communication skills na critical thinking zinatokea wapi kama sio mchanganyiko wa general knowledge ?

Pia unadhani ukiwa a businessman kila kitu utafanya (yaani inabidi uwe lawyer ujue company law, uwe muhasibu, uwe mtu wa marketing kama una hoteli pia uwe mpishi ? Au inabidi uwe na skill yako na nyingine uzi-complement na more than 90% ya watu ambao wapo wanaweza kufanya hivyo ila hawana uthubutu wako / attitude, discipline, man management na kutokukata tamaa ?

Unajua maana ya Team Work ? Au haujui kwamba ili ufanikiwe inabidi kuwa na watu wenye different skill set ?
(Business start ups ngapi zinafeli....)

- unajua sababu kuu ni kitu gani? Lack of business skills kwa wanaoanzisha. Jiulize mbona zingine zinaanzishwa na zinafanikiwa. Hapa ndipo unapozidi ku prove ninachosema kuna haja ya kila taaluma kuwa accompanied na business skills. Mtu amesoma computer science anaanzisha start up na hana business knowledge na haoni umuhimu wa ku team up na mtu mwenye business knowledge kwa nini start up isife?

Generally speaking ipo hivi: Kila taaluma ultimately 'battle field' yake ni 'business arena' hii ni iwe unataka ama hutaki.
Ndio maana nikasema sio kila Tom, Dick and Harry ni wa kuanzisha start-up katika kila start-up 1000 huenda 900 zikafeli tena katika hizo 900 huenda wale 100 waliofaulu wana nyingine 200 ambazo zilifeli..., its not a given to make it (inahitaji watu ambao ni never give up) and in this age of competition failure haimaanishi hujui bali you might be in the wrong place at the wrong time au watu wasikuelewe..., unadhani bila back-up ya Vodacom jamaa aliyeleta Idea ya Mpesa angefanikiwa ?

Unaongelea in computer science sawa ngoja tuongelee hii industry...., kuna watu wanafanya mambo for the love of the industry ndio maana hata software kuna shareware ambazo nyingi zipo stronger kuliko software wanazouza watu ila watu wengi hawazitumii for lack of marketing Microsoft alivyokuja na Internet Explorer alitaka aiuze lakini ilikuwepo Netscape ambayo jamaa walitoa bure..., whatsapp founder walianzisha kwa misingi kwamba iwe bure bila kuchaji watu Facebook kainunua anataka kui-monitize / kuweka matangazo hadi founder mmoja kaamua kujitoa

Hapo naamisha nini ? Drive ya watu wote sio financially na pia vyote vinavyotengeneza pesa sio necessarily ni vizuri bali ni marketing na watu kucheza na akili za watu ambao wengi wetu ni shallow....
Yaani, ukianza tu kufikiria kuhusu fedha fahamu kuwa upo kwenye mamlaka na utawala wa business. Mfuko wa fedha ni business kama ilivyo benki (business) inatunza fedha.

Je, kuna taaluma yeyote ambayo 'end product' yake sio fedha? Hakuna. Sasa, kama wote safari ya mwisho ni fedha ni kwanini kila taaluma isiwekewe misingi ya ki business (monetization)? Kwa swali hili dogo hakuna yeyote awezaye kusimama na kubishana kuhusu umuhimu wa ku attach business kwenye kitaaluma.
Rudia kusoma hapo juu nakuongezea na product nyingine katika softwares kuna 3D program ambayo inaitwa Blender kuna Operating System kama Linux n.k..., Ni bure na watengenezaji wamefanya hivyo sababu wanachofanya ni more rewarding kuliko monetary reward...

Hujaona madaktari au wanasheria wa kujitolea ? Kwahio kwa mfano wako mzazi wako akiwa mfalme au una pesa za kumwaga basi hautafanya chochote sababu tayari una fedha ?!!!!

Ndio maana dunia tumepotoka badala ya mwanasheria first and far most kusaidia watu katika sheria, daktari kutibu, mwalimu kufundisha na mtunga muziki kutoa kitu kizuri ....., BALI wote wanafanya kile ambacho kitaingiza mpunga zaidi ndio maana tumekuwa katika dunia ya mediocrity na quality za ajabu ajabu...
Na kwa taarifa yako kila mtu yupo busy kutafuta fedha lakini hajui namna mifumo ya fedha inavyofanya kazi na hajishughulishi kujua.

Mtu hana fedha anadhani amelogwa kumbe ni kwa vile hajui namna mfumo wa fedha ulivyo....
Unadhani mtu akishapata hizo fedha za kumwaga kiu yake inakwisha ? Unadhani kina Newton, Faraday, Tesla na Archimedes wangekuwa wanahangaikia fedha tu wangekesha na kutafuta kufanya vitu ambavyo watu kama wao 99% wanakufa wakati hawajafanikiwa ku-prove theory zao au wakipata hicho kitu credit zinakwenda kwa wengine ?

To each his / her own.....

Hakuna Skills ambao haina faida na kama jamii tunahitaji watu tofauti wenye ujuzi tofauti na sio mashindano na kuhakikisha unapata the maximum you can get....Matokeo yake watu wanaanza ku-monitize huduma ambazo inabidi wazifanye kwenye mishahara yao (rushwa na 10% za kutosha)
 
KeyserSoze sioni tukitofautiana sana. Nachoona kwako kikubwa ni hofu ya watalaam kuwa na mafungamano na pesa kwa kila kitu. Usiogope hii si rahisi kutokea vile unavyowaza.

umetolea mfano huduma ya bure ya WhatsApp na zingine. Lkn, fahamu tu kuwa wala sio bure km ww uonavyo lazima kuna motive behind.....kumbuka ku invent na kisha ku run WhatsApp inagharimu pesa nyingi. Je, nani ame finance? Na aliye finance ame finance ili anufaikeje? Kimsingi hakuna free lunch ingawa kwa macho ya kawaida unaweza kudhani sipo sahihi. Trust me kila kitu kwenye uso wa dunia hii tayari imekywa monetized zamani sana.
 
KeyserSoze sioni tukitofautiana sana. Nachoona kwako kikubwa ni hofu ya watalaam kuwa na mafungamano na pesa kwa kila kitu. Usiogope hii si rahisi kutokea vile unavyowaza.

umetolea mfano huduma ya bure ya WhatsApp na zingine. Lkn, fahamu tu kuwa wala sio bure km ww uonavyo lazima kuna motive behind.....kumbuka ku invent na kisha ku run WhatsApp inagharimu pesa nyingi. Je, nani ame finance? Na aliye finance ame finance ili anufaikeje? Kimsingi hakuna free lunch ingawa kwa macho ya kawaida unaweza kudhani sipo sahihi. Trust me kila kitu kwenye uso wa dunia hii tayari imekywa monetized zamani sana.
Tatizo unasahau faida ya fedha nini Money is just a medium ya kusaidia watu kupata their needs and wants..., kuna mtu anataka ujiko kuna mwingine anataka aone alichobuni kinatumika kwa kila kiumbe, kuna mtu anataka / alitaka avumbue jinsi ya kupaa kama ndege (sio atengeneze ndege ili kusafirisha watu na kupata faida)... Sasa mtu kama huyo ambaye kapata ndoto zake za kuona whatsapp inatumika kila kona akiona inaanza kuleta matangazo na kero kwa watumiaji, utaona kwamba sio yeye (mfumbuzi) aliyetaka brainchild yake iende huko bali wazee wa fursa na profits at all costs ndio wametaka hivyo.....

Kwahiyo kila kitu kinafanyika kwa motive behind na mara nyingi motive behind inakuwa sio pesa ila some corporations au watafuta fursa wanachukua kile kitu / idea / invention na kui-monitize...., hivi wewe unadhani leo ukienda kwenye kiwanda cha sabuni alafu ukawaambia nina formula ya kutengeneza sabuni isiyoisha watakuelewa (hapana sababu wao ni business na final outcome yao ni faida) ila wewe huenda motive yako ni kuwafanya watu wote waoge na waache kunuka hata ambao hawana pesa...., Huenda wewe unadhani motive yako ni kupata pesa nyingi zaidi ila kumbe pesa ni medium tu ila motive yako ni kuwanunulia mke wako na watoto wako kila hitaji lao na kuwatimizia tamaa zao ambazo hazina mwisho (hence rat race kuendelea kutafuta na kusahau hata kuzitumia)

Kwahio bila facebook au nisema bila google huenda Youtube isingekuwa mainstream kama sasa (financial power behind google imesaidia marketing) lakini hio haimaanishi youtube idea ilikuwa less brilliant ingawa huenda google imesaidia sisi kuijua....

Sasa wote tukiwa kina google kuna ideas nyingi zitakuwa swept under the carpet sababu they don't make economic sense....

Nakuacha na msemo wa ndugu zetu Red Indians....

When the last tree is cut down, the last fish eaten and the last stream poisoned, you will realize that you cannot eat money.
 
Yaani serikali iweke sheria mojawapo kubwa ya kuwa mwalimu kuanzia Sekondari hadi chuo kikuu ni kuwa na 'business mindset' walau mtu awe na taaluma hata kama ni kidogo kuhusu biashara.

Yaani iwe kama ambavyo watu wanaajiriwa na wanapaswa kufahamu kuwa computer basic knowledge kwa ajili ya kumsaidia kufanya kazi zake. Sasa, iwe pia kati ya sifa mojawapo ya kuajirika ni kuwa na business knowledge kwa kigezo kitakachowekwa.

Iwe kwa kazi za umma mfano ubunge na kadhalika
Yaani mnafikiria biashara zaidi badala ya uzalishaji. Hivi mtauza kitu gani kama hamzalishi? Au mnataka kuwa wachuuzi wa bidhaa za wenzenu kutoka mataifa ya nje?
 
Yaani mnafikiria biashara zaidi badala ya uzalishaji. Hivi mtauza kitu gani kama hamzalishi? Au mnataka kuwa wachuuzi wa bidhaa za wenzenu kutoka mataifa ya nje?
Kwani huwa kipi kinatangulia kuingia akilini? Ni biashara ama uzalishaji? Ni biashara then uzalishaji.

Kuna biashara bila uzalishaji (huduma/bidhaa)? Hakuna.

Wewe unatazama biashara zaidi kwenye mrengo wa 'uza nunua' lakini ni zaidi ya hapo.
 
KeyserSoze kwanza nakushukuru sana kwa kuwa active kwenye huu uzi. Tuendelee....

When the last tree is cut down, the last fish eaten and the last stream poisoned, you will realize that you cannot eat money.

ipo hivi: hatuwezi kukwepa ku monetize kila kitu kwa sababu nature ya dunia imetaka iwe hvyo.

hebu angalia hapo ulipo halafu niambie ni kitu gani ambacho sio cha asili halafu sio fedha.

kila kitu ni fedha yaani ipo hvyo. Ambacho sio fedha ni vitu vya asili pekee......jua, hewa, pumzi na kadhalika.


Mengine yote dunia imesha monetize hata uhai wa binadamu tayari imeshakuwa monetized.

Tazama, ni wagonjwa wangapi wanafariki ma hospitalini kwa sababu hawana fedha za kununua dawa? au ni wangapi wanafariki kwa sababu hawana hela ya kumuona daktari?

Sasa, kama uhai tayari imekuwa monetized bado hamuoni kuja haja ya watu kuwa na business minds ili waweze ku survive?
 
KeyserSoze kwanza nakushukuru sana kwa kuwa active kwenye huu uzi. Tuendelee....

When the last tree is cut down, the last fish eaten and the last stream poisoned, you will realize that you cannot eat money.

ipo hivi: hatuwezi kukwepa ku monetize kila kitu kwa sababu nature ya dunia imetaka iwe hvyo.

hebu angalia hapo ulipo halafu niambie ni kitu gani ambacho sio cha asili halafu sio fedha.

kila kitu ni fedha yaani ipo hvyo. Ambacho sio fedha ni vitu vya asili pekee......jua, hewa, pumzi na kadhalika.


Mengine yote dunia imesha monetize hata uhai wa binadamu tayari imeshakuwa monetized.

Tazama, ni wagonjwa wangapi wanafariki ma hospitalini kwa sababu hawana fedha za kununua dawa? au ni wangapi wanafariki kwa sababu hawana hela ya kumuona daktari?

Sasa, kama uhai tayari imekuwa monetized bado hamuoni kuja haja ya watu kuwa na business minds ili waweze ku survive?
Unakosea sana kila kitu huwezi kupata in exchange of money kuna vitu vipo priceless (havina price tag) vingi tu.., labda ungesema kila kitu kina Quid pro Qou..., yaani in Nature hakuna something for nothing lazima utoe / ufanye kitu ili upate kitu...

Hata kupata partner (mke / mume / mchumba / good time) inabidi upige sound..., inabidi uwe na convincing power yaani lazima uweke input ili upate output na pesa sio the only input kuna input zinazofanya kazi zaidi ya pesa...., after all as Voltaire once put it.... Paper money eventually returns to its intrinsic value – zero.”

Pili unadhani watu kufundishwa shule hesabu, communication skills na basics za maisha sio kuwapa basics za transactions ?

Au unadhani mtu wa form six ana miaka miwili anapiga PCM na Syllabus zenyewe ndefu unataka pia umuongezee issue za kina Keynes na Hayek ? Au umesahau hata kwenye your basic commerce learning kwamba kuna Specialization and Division of Labor ?
 
Unakosea sana kila kitu huwezi kupata in exchange of money kuna vitu vipo priceless (havina price tag) vingi tu.., labda ungesema kila kitu kina Quid pro Qou..., yaani in Nature hakuna something for nothing lazima utoe / ufanye kitu ili upate kitu...

Hata kupata partner (mke / mume / mchumba / good time) inabidi upige sound..., inabidi uwe na convincing power yaani lazima uweke input ili upate output na pesa sio the only input kuna input zinazofanya kazi zaidi ya pesa...., after all as Voltaire once put it.... Paper money eventually returns to its intrinsic value – zero.”

Pili unadhani watu kufundishwa shule hesabu, communication skills na basics za maisha sio kuwapa basics za transactions ?

Au unadhani mtu wa form six ana miaka miwili anapiga PCM na Syllabus zenyewe ndefu unataka pia umuongezee issue za kina Keynes na Hayek ? Au umesahau hata kwenye your basic commerce learning kwamba kuna Specialization and Division of Labor ?
Unaenda mbali sanaaaaa......sijasema watu wote wa specialize kwenye monies; nachosema every body kwenye Taifa awe amesoma alichosoma na ikawa attached very closely na elimu kuhusu fedha.

Sina maana kila mtu mhasibu hapana. Sina maana kila mtu awe financial analyst hapana. Nachosema walau kila mtu awe na basic knowledge ya elimu ya biashara kuanzia F.1 hadi F.4 walau.

Yaani iwe like ilivyo sasa kwamba ukiwa na taaluma yeyote lazima pia uwe na walau basic computer skills ili uweze kutenda majukumu vizuri. Sasa, iwe pia ili uweze kutenda majukumu yako vema lazima uwe na business knowledge maana kimsingi kila kitu ni business.

Kuna pahala umesema wanafunzi watajikuta wanasoma mambo mengi sana.....hii bado sio issue maana ubongo wala hauna limit kwamba itajaa isipokuwa tu lazima iwe inawekewa vitu kwa mpangilio mzuri.

Kwani nani aliona kwamba ni sahihi mtoto kuanza darasa la I akiwa na miaka 7?

Nani aliona kwamba yale yanayofundishwa darasa la I ama F.1 ama popote pale ni kweli yanapaswa kuwa ya darasa husika?

Trust me, vitu vingi vya A level vilipaswa kusomwa O level na vitu vingi vya level ya post graduate zilipaswa kusomwa undergraduate; lakini bongo zetu zimekuwa trained kuona kwamba level husika ni appropriate kwa materials husika.

Kuna mataifa mengine huko mtoto ana miaka 18 tayari ni profesa wa maths (nadhani unafahamu maths ilivyo na ma complex zake). Kwetu nchini nani amefanikiwa kuwa na phD wakiwa under 30? Sijui.

Kwa hio tusiogope kuhusu wingi wa materials. After all vitu vingi tunavyosomeshwa ni quiet irrelevant ziondolewe zipishe vitu relevant
 
Back
Top Bottom