Book reading: Unasoma au Umesoma kitabu gani ungependa wengine wakisome?

Book reading: Unasoma au Umesoma kitabu gani ungependa wengine wakisome?

Watanzania wengi hatuna utamaduni wa kujisomea vitabu vya ziada na hata vya kiada na vya kitaaluma.
Hapa naomba tusaidiane kujenga spirit ya usomaji wa vitabu kwa kuorodhesha vitabu tulivyosoma au ambavyo hatujamaliza kuvisoma siku za karibuni.

1.Heart to heart (The art of communication)-By Nancy Van Pelt

2.Mapambano ya fikra Plato mpaka Nyerere-By John Alfonso Nchimbi
 
Wakuu mwaka unaelekea ukingoni na ni wakati wa kujitathmini. Mi napenda tujitatmnini juu ya vitabu tulivyosoma mwaka huu kama ilivyo desturiyetu ya kila mwaka. Mimi nimesoma vifuatavyo.


MOSSAD: kimeandikwa na Nissim Mishal na Michael Bar-Zohar. Hiki kitabu kinazungumzia missions kubwa kuwahi kufanywa na shirika la kiijasusi la Israel (Mossad). Toka kukamatwa kwa wanazi walioua wayahudi, kupambana na waarabu, kupambana na “magaidi” , na hadi leo wanavyopambana na jitihada za Iran kuwa nuclear power. Ni kama novel ya kijasusi tofauti ni kwamba haya yalitukia kweli.

THE DARK SIDE OF NYERERE: kimeandikwa na Ludovick Kaijage. Anaelezea jinsi alivyoshikwa na kuwekwa kizuizini na usalama wa taifakipindi cha cha Nyerere kwa kuhisiwa uhaini. Ni kitabu rahisi chenye kurasa 87 na kinavutia kusoma. Shida ni kuwa mhandishi hajasema kama kweli alipanga uhaini au la. Ila kinasaidia kutoa mwanga jinsi usalama wa taifa wanafanya kazi na incompetence yao.


AFRICA IS IN A MESS, what went wrong and what should be done: kimeandikwa na Godfrey Mwakikagile. Kakitabu simple kenye kurasa 60 . kakitabu hakachoshi kusoma. Ila naona jamaa kaelezea tu jinsi Africa iko kweny mess ila hajasema what went wrong and what should be done.



THE FATE OF AFRICA: kimeandikwa na Martin Meredith. Kinaelezea historia ya Africa kiuchumi na kisiasa toka uhuru mpaka miaka ya 2000’s. hakuna nchi imeachwa humo. Ni kitabu kizuri mno na sehemu zingine kinachekesha sana.



CURRENCY WARS; kimeandikwa na James Rickards. Kinazungumzia jinsi sarafu zinatumika kama silaha. Leo kuporomoka kwa ruble ni sehemu ya currency war. Ni kitabu kizuri.



THE ART OF WAR: ili kikuingie usome kikiwa na maelezo ya ziada. Mi nilikisupplement na documentary ya history channel inaitwa the art of war.


AMERICA THE BEAUTIFUL: kimeandikwa na Ben Carson. Kinazungumsia principles zilizoifanya marekani ifike ilipo, jinsi inavyochepuka na jinsi ya kuzirudia.


THE BRIEF HISTORY OF TIME: kimeandikwa na prof Stephen Hawking. Kinaelezea historia ya universe toka big bang. Kuna mambo yanachangamsha sana akili japo kuna concepts sikuweza kuzielewa. Nilikusupplement na documentaries kama through the wormhole na Hawking.



WHY NATION FAIL: kimeandikwa na Daron Acemoglu na James Robinson. Hiki kitabu bado nakisoma ila naona ndiyo best kati ya nilivyosoma mwaka huu. Hiki kinajibu ishu ya Mwakikagile ya what went wrong and what should be done.



THE KNIGHT IN AFRICA: kimeandikwa na mtanzania ambaye ni freemason, sir Chande. Kkinazungumzia maisha ya huyu jamaa aambaya kafanya ishu mbalimbali ndani yah ii nchi. Bibliographies na memoirs huwa zinavutia kusoma ila uhonest wake unakuwaga questionable.



NO LONGER AT EASE: ni kitabu kizuri cha Chinua Achebe.



We mwaka huu umesoma nini?

Katika nyuzi za miaka iliyopita naona hawa walikuwa wachangiaji, karibuni nyote.

Kiranga, Roulette, EMT, The Boss, Nyani Ngabu, nyumba kubwa Mzee Mwanakijiji, Horseshoe Arch, LORDVILLE, jeba, Mwelewa, Laleyo, Habdavi, AL SHARPTON, leo.leo, Mjuni Lwambo, MSEZA MKULU, Makirita Amani, Kanigini,
 
Last edited by a moderator:
Ktk hivyo vitabu hamna hata kimoja kimetengenezewa movie???
 
Hapo umeniacha...nikupongeze...

Mimi hiyo list nimesoma Why Nations Fail tu ni kitabu bomba sana kwa political economists, developmental economists etc...how politics and economics interplay to hinder or promote economic prosperity of a nation....

Kwa sasa nina vitabu viwili nadhani ntasoma before mwaka kuisha...
1. Men are from Mars Women are from Venus - John Gray
2. How to get from where you are to where you want to be - Jack Canfield
3. 15 Minutes alone with God (hiki kinawafaa wakristu tu...lakini ni kizuri sana ...hata muislamu asiye na ubaguzi anaweza soma akapata kitu...kinahusu jinsi ya kutimiza majukumu ya mwanamke aliye busy kuweza kuwa good wife...keeping your family and yourself (maintain your beauty) and praying at least for 15 minutes daily...Kitabu kizuri sana aisee...kimenisaidia kuji evaluate...mfano kwangu tuna tabia ya kula huku tunaangalia TV; sasa hivi nimewaelewesha wana familia tuache hiyo tabia...muda wa kula ni muda wa kukaa pamoja kama familia kwenye dining table...kusali pamoja na nimeandaa sahani special ambayo hero wa siku anaitumia...na inamkumbusha that person that he/she is special person in the family that day.

Nimevinunua sababu nataka kuboresha maisha yangu na mwenza wangu (the first one and third) na kuweza kufikia dreams zangu maishani (second one)...Unajua watu wengi wana uelewa mkubwa lakini kama huna ujanja wa maisha utakufa bila ku make it...ndio maana napenda sana vitabu vya saikolojia...na vinavyofundisha soft skills...

Mfano nimesoma vitabu vingi sana vya presentation skills...yani niki present utazimia...hata kama ni pumba...nakumbuka nili present watu wakapagawa kuja kushtuka chair anakuja na report (baada ya siku kadhaa of course) kuwa kuna a lot to improve in your paper only that we were all carried away with your powerful presentation...te te te...lakini nime learn ...sikuzaliwa good presenter/public speaker ...and I was bad one last year...
Yani ilikuwa ni presentation ya field data lakini niliwawekea mpaka video clip (watu midomo wazi) na within 30 minutes provided.

Nikaombwa ni present tena for 6 minutes my thesis kwenye event nyingine iliyo involve vyuo kadhaa ...nikawaacha hoi tena ...maana nilitumia picha tu kwenye power point yangu to tell 'my story'
 
Ktk hivyo vitabu hamna hata kimoja kimetengenezewa movie???

Ben Carson ndio vitabu vyake baadhi vina movies...ha ha ha wewe ni kama mume wangu...ni wa kumtafutia movie wala si kitabu...hana muda huo...
 
Mkuu Red Giant kwanza nashukuru kwa uzi huu... mpaka sasa nnachoweza kusema ni kwamba at least nime improve tofauti na mwaka uliopita... japo nimesoma vichache ila ngoja nikitulia niviweke hapa!!!
cc Roulette na Kiranga
 
Last edited by a moderator:
The science of getting rich, mwandishi nimesahau. Nikimpata ntakuja nae
 
sijasoma hata kimoja japo nimenunua vingi ila sijapata muda kila siku nasema nisome lakimi sisomi
 
Ngoja niweke vyangu sasa🙂
The art of leadership
How to get whatever you want
The power of subconcious mind
The imposible is possible
Waislam amkeni,
Maisha na mafanikio
The anatomy of failure,
Rich daddy poor daddy,
Weep not, child
How to influence people and friends
Etc
 
Ben Carson ndio vitabu vyake baadhi vina movies...ha ha ha wewe ni kama mume wangu...ni wa kumtafutia movie wala si kitabu...hana muda huo...

Yan mimi vitabu ni shida kidogo ila hivyo vya ben nimeangalia movie
 
John gray nimesoma kitabu chake kimoja common sana... Men are from mars vitabu vingine naishiaga katikati looo
 
Hapo umeniacha...nikupongeze...

Mimi hiyo list nimesoma Why Nations Fail tu ni kitabu bomba sana kwa political economists, developmental economists etc...how politics and economics interplay to hinder or promote economic prosperity of a nation....

Kwa sasa nina vitabu viwili nadhani ntasoma before mwaka kuisha...
1. Men are from Mars Women are from Venus - John Gray
2. How to get from where you are to where you want to be - Jack Canfield
3. 15 Minutes alone with God (hiki kinawafaa wakristu tu...lakini ni kizuri sana ...hata muislamu asiye na ubaguzi anaweza soma akapata kitu...kinahusu jinsi ya kutimiza majukumu ya mwanamke aliye busy kuweza kuwa good wife...keeping your family and yourself (maintain your beauty) and praying at least for 15 minutes daily...Kitabu kizuri sana aisee...kimenisaidia kuji evaluate...mfano kwangu tuna tabia ya kula huku tunaangalia TV; sasa hivi nimewaelewesha wana familia tuache hiyo tabia...muda wa kula ni muda wa kukaa pamoja kama familia kwenye dining table...kusali pamoja na nimeandaa sahani special ambayo hero wa siku anaitumia...na inamkumbusha that person that he/she is special person in the family that day.

Nimevinunua sababu nataka kuboresha maisha yangu na mwenza wangu (the first one and third) na kuweza kufikia dreams zangu maishani (second one)...Unajua watu wengi wana uelewa mkubwa lakini kama huna ujanja wa maisha utakufa bila ku make it...ndio maana napenda sana vitabu vya saikolojia...na vinavyofundisha soft skills...

Mfano nimesoma vitabu vingi sana vya presentation skills...yani niki present utazimia...hata kama ni pumba...nakumbuka nili present watu wakapagawa kuja kushtuka chair anakuja na report (baada ya siku kadhaa of course) kuwa kuna a lot to improve in your paper only that we were all carried away with your powerful presentation...te te te...lakini nime learn ...sikuzaliwa good presenter/public speaker ...and I was bad one last year...
Yani ilikuwa ni presentation ya field data lakini niliwawekea mpaka video clip (watu midomo wazi) na within 30 minutes provided.

Nikaombwa ni present tena for 6 minutes my thesis kwenye event nyingine iliyo involve vyuo kadhaa ...nikawaacha hoi tena ...maana nilitumia picha tu kwenye power point yangu to tell 'my story'

Mkuu nimependa sana bandiko lako hili.... very impressive..
hongera sana mkuu........
 
battle field of the mind by Joyce Meyer....da siku kimaliza nilikisahau kwenye bas, lakin kimenifundisha mengi...nimekitafuta bila mafanikio


who moved my cheese cha dr spencer....ni kweere

fool dies cha mario puzo

the big Picture by ben carson


najivunia sana kusoma hivi vitabu mwaka huu.
 
1 the summons john grisham
2 the chambers john grisham
3 33 concise strategy of war jina limenitoka kidogo,
4 Re-membering Africa by WATHIONG'O
5 Why nations fail.
6. Dead Aid by Dambisa moyo
7. just a matter of time by james hadley chase
8. The things men do by james hadley chase
9 The guilty are Afraid by james hadley chase
10. How to win friends and influence people by Carnege
11. The world in my pocket James hadley chase
12. nimerudia How Europe underdeveloped Africa by Dr Walter Rodney
13. blood harvest by Richard kunzman
kwa sasa nasoma romantic novel inaitwa The lost wife by Maggie Cox.
 
Red Giant

Katika list yako nimesoma 7, sio mwaka huu.

Navyo ni "The Dark Side of Nyerere" (Sheikh Yahya alikuwa informer wa Nyerere?), "The Fate of Africa" (Currently reading another one of Meredith's tomes on Africa), "The Art of War", "A Brief History of Time", "Why Nations Fail" (This year), "A Knight in Africa" and "No Longer at Ease".

Mwaka huu nimesoma vitabu hivi (TopTen) List si kwa ubora, ila kwa mpango wa nilivyosoma.

1. The Obamas: An Untold Story of an African Family. Muandishi kazama katika upande wa kiafrika wa familia ya kina Obama na kawafuatilia kwa miaka karibu elfu moja iliyopita. Kwa kweli ingawa kitabu kimehusu familia ya Obama, lakini kwa upana zaidi kina historia kubwa ya kuhusu makabila na koo za kiafrika zilivyofika hapa zilipo kwa kuhamahama.

2. Commandante: Myth and Reality in Hugo Chavez's Venezuela. Muandishi kajitahidi kuandika with objectivity kuhusu Hugo Chavez, kuanzia utoto mpaka uanajeshi na urais na jinsi alivyouharibu uchumi wa Venezuela kwa kutaka kuuendesha kwa command. A very essential read in understanding modern day Venezuela.

3. The New Jim Crow: Mass Incarcernation in the Age of Colorblindness. This one I was given by an academician friend of mine after blasting the US justice system for being gung ho, especially on young black males.Way before Ferguson. It is a tour de force for those interested in the subject.

4. Why Nations Fail: The Origins of Power, Prosperity and Poverty - It turns out that democracy and inclusion are not only fair, but essential in gluing the nation states together. A convincing and detailed work with deep analysis.

5. Gaddafi's Harem:The Story of A Young Woman and the Abuse of Power in Libya . A hard read for some.This book exposes the decadent debauchery, drunken sex parties, pedophilia, sodomy and modern day slavery at Gaddafi's palace. A very touching read.You will never think of Gaddafi the same after reading this.I knew Gaddafi was an animal before reading this, after reading this I was convinced he was a special kind of depraved devil, so to speak, and I don't even believe in devils.

6. Capital in The Twenty First Century . This graduate level tour de force tome on capital is hardly for the faint of heart, it is nuanced, analytical, data rich and sometimes makes one feel like he is back in school with a witty professor who draws richly from popular culture such as "Jungle Unchained" as well as from classic literature such as Jane Austen, just to make his sometimes dry points more palatable.

7. Nyerere: The Early Years . Did you know that Nyerere had a wife before Mama Maria? That the "Masters" he took in Edinburgh was not a graduate degree? That he argued with the colonial government while in Scotland for the upkeep of his family back home? That he wrote impressively and argued convicingly with newspaper editors even as a Makerere student? This was one treasure of a book not only because it covers a lot about Nyerere that has not been exposed, but also because it anchor the narrative deep in the context of Zanaki culture and throughout the relevant background that made Nyerere who he came to be. The only regret is that the coverage does not extend to the latter years, but that is to be expected even from reading the book title alone.

8. The Fortunes of Africa : A 5,000 Year History of Wealth Greed and Endeavor - Another one of Martin Meredith's very richly detailed books on Africa. The history is not only well written, but also relevant in understanding why is Africa where it is today.

9. Kwa Heri Ukoloni, Kwa Heri Uhuru - A very interesting account on the Zanzibar Revolution.The author employs largely the technique of giving the voice to the various players who faded after the revolution, as a result the book reads a lot like oral history at some points. Massively important in capturing some history that is airbrushed by political machinations.

10. God's Problem: How The Bible Fails To Answer Our Most Important Question - Why We Suffer .
If you know and follow Kiranga, you know the deal. This book nails it.
 
Wakuu mwaka unaelekea ukingoni na ni wakati wa kujitathmini. Mi napenda tujitatmnini juu ya vitabu tulivyosoma mwaka huu kama ilivyo desturiyetu ya kila mwaka. Mimi nimesoma vifuatavyo.


MOSSAD: kimeandikwa na Nissim Mishal na Michael Bar-Zohar. Hiki kitabu kinazungumzia missions kubwa kuwahi kufanywa na shirika la kiijasusi la Israel (Mossad). Toka kukamatwa kwa wanazi walioua wayahudi, kupambana na waarabu, kupambana na "magaidi" , na hadi leo wanavyopambana na jitihada za Iran kuwa nuclear power. Ni kama novel ya kijasusi tofauti ni kwamba haya yalitukia kweli.

THE DARK SIDE OF NYERERE: kimeandikwa na Ludovick Kaijage. Anaelezea jinsi alivyoshikwa na kuwekwa kizuizini na usalama wa taifakipindi cha cha Nyerere kwa kuhisiwa uhaini. Ni kitabu rahisi chenye kurasa 87 na kinavutia kusoma. Shida ni kuwa mhandishi hajasema kama kweli alipanga uhaini au la. Ila kinasaidia kutoa mwanga jinsi usalama wa taifa wanafanya kazi na incompetence yao.


AFRICA IS IN A MESS, what went wrong and what should be done: kimeandikwa na Godfrey Mwakikagile. Kakitabu simple kenye kurasa 60 . kakitabu hakachoshi kusoma. Ila naona jamaa kaelezea tu jinsi Africa iko kweny mess ila hajasema what went wrong and what should be done.



THE FATE OF AFRICA: kimeandikwa na Martin Meredith. Kinaelezea historia ya Africa kiuchumi na kisiasa toka uhuru mpaka miaka ya 2000's. hakuna nchi imeachwa humo. Ni kitabu kizuri mno na sehemu zingine kinachekesha sana.



CURRENCY WARS; kimeandikwa na James Rickards. Kinazungumzia jinsi sarafu zinatumika kama silaha. Leo kuporomoka kwa ruble ni sehemu ya currency war. Ni kitabu kizuri.



THE ART OF WAR: ili kikuingie usome kikiwa na maelezo ya ziada. Mi nilikisupplement na documentary ya history channel inaitwa the art of war.


AMERICA THE BEAUTIFUL: kimeandikwa na Ben Carson. Kinazungumsia principles zilizoifanya marekani ifike ilipo, jinsi inavyochepuka na jinsi ya kuzirudia.


THE BRIEF HISTORY OF TIME: kimeandikwa na prof Stephen Hawking. Kinaelezea historia ya universe toka big bang. Kuna mambo yanachangamsha sana akili japo kuna concepts sikuweza kuzielewa. Nilikusupplement na documentaries kama through the wormhole na Hawking.



WHY NATION FAIL: kimeandikwa na Daron Acemoglu na James Robinson. Hiki kitabu bado nakisoma ila naona ndiyo best kati ya nilivyosoma mwaka huu. Hiki kinajibu ishu ya Mwakikagile ya what went wrong and what should be done.



THE KNIGHT IN AFRICA: kimeandikwa na mtanzania ambaye ni freemason, sir Chande. Kkinazungumzia maisha ya huyu jamaa aambaya kafanya ishu mbalimbali ndani yah ii nchi. Bibliographies na memoirs huwa zinavutia kusoma ila uhonest wake unakuwaga questionable.



NO LONGER AT EASE: ni kitabu kizuri cha Chinua Achebe.



We mwaka huu umesoma nini?

Katika nyuzi za miaka iliyopita naona hawa walikuwa wachangiaji, karibuni nyote.

Kiranga, Roulette, EMT, The Boss, Nyani Ngabu, nyumba kubwa Mzee Mwanakijiji, Horseshoe Arch, LORDVILLE, jeba, Mwelewa, Laleyo, Habdavi, AL SHARPTON, leo.leo, Mjuni Lwambo, MSEZA MKULU, Makirita Amani, Kanigini,
duh ngoja nijitahid kuchangia naona sipo kwenye list. mwakani nadhani nitakuwemo na mimi
 
Back
Top Bottom