Bookworms of JF, what's your favorite book (s) and why?

Bookworms of JF, what's your favorite book (s) and why?

My first novel outside of class study was 17 law of success by Napoleon Hill followed by Rich brother, rich sister by Robert kyosaki but my best book is the richest man in Babylon. This three books changed my mind and I had never picked my degree certificate since my graduation in 2013. Life is so good with reading books
Naomba litabu cha napoleon hill "LAW OF SUCCESS
 
Dah. Hongera. Basi mimi nina 'ukilaza' kwenye baadhi ya mambo. Concepts za hiki kitabu zilinishinda kabisa kuzielewa.
Kitabu kile ndo nilikielewa zaidi maana kana kwamba nililuwa nasoma idea zangu siku ya kwanza naanza kukisoma nikawa nashangaa najisemea hee kumbe kweli nilichokuwa nawaza tokea zamani.
 
TRADING IN THE ZONE mark douglass. kimenifunza mambo mengi sana maana nilikuwa naelekea kukata tamaa now safari ndo kwanza kama inaanza vile babu huyu abarikiwe huko aliko
Hiki kitabu kimekufunza nini mkuu ?
 
Kwa wapenzi wa SciFi. Children of Time ni moja ya SciFi bora sana. Inazungumzia vitu vingi main ni evolution na stages za kustaarabika.
1725969240504.jpeg
 
•Purpose driven life by Rick Warren kipo pia version ya kiswahili.(maisha yanayoongozwa na malengo)
•The holly spirit and his gifts by Kenneth E Hagin.A great spiritual book
Purple hibiscus by chimmanda ngozi adichie
Half of yellow sun by chimmanda ngozi adichie
Americanah by chimmanda ngozi adichie
The thing around your neck by chimmanda ngozi adichie
Things fall apart by chinua Achebe
Gifted hands ben Carson
Songs of lawino and ocol
Who Will cry when you die
Napenda Sana vitabu ambavyo authors wake ni waafrica, you can relate and learn at the same time my favorite authors so far ni chinua Achebe na chimmanda ngozi adichie.
True
 
Back
Top Bottom