Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Very goodGood thread though...
Kuna mdau anacho kuwa nasoma kwake.......!! Nlishamwambia anipe akasema amekipata kwa gharama sana bila chochote hanipiUsitufanyie hivo bana we tudondoshee mjitabu hapa hela ya nini tena, ahsante kwa jina lake ngoja nikisake.....mwandishi nani??
Mwandishi ni nani tukipate bure, ndio umesema kinaitwa The gold book??? Kesho nitakipata.Kuna mdau anacho kuwa nasoma kwake.......!! Nlishamwambia anipe akasema amekipata kwa gharama sana bila chochote hanipi
Mwandish sikumzingatia....ni the book of goldMwandishi ni nani tukipate bure, ndio umesema kinaitwa The gold book??? Kesho nitakipata.
Nitakiweka hapa halafu utamuambia jombaa roho mbaya haijengi😁
😄😄😄Hicho kitabu kimeenda dimension nyingine.
Kuna sehemu unaulizwa, vipi kama panya walio katika labotatory wana akili kuzidi watu wanaowafanyia majaribio, na kiukweli hao panya ndio wanawafanyia watu majaribio, lakini wamejifanya kama wao ndio wanafanyiwa majaribio ?
Cha Ralph Waldo Emerson kinapatikana?Thanks for the thread, hoby yangu namba moja ni kusoma vitabu..baadhi nilivyosoma karibuni na quotes nilizopenda!
-As a man thinketh by james allen-Circumtances does not make a man, it reveals him to himself
-Essay on self reliance by Ralph Waldo Emerson- in every work of genius we see our own rejected thoughts
-Hown to win friends and influence people by Dale carnegie- kuna part anamzungmzia aliyewahi kuwa balozi wa USA Ben franklin aliyewahi kusema i will speak ill of no man but i will speak all the good i know about every body..pia anadokeza mahali Confucios aliwahi kunukuliwa akisema to know is to know nothing, hiki kitabu na recommend usome kwa kila hali!
-Meditations by Marcus aurelius- the best book to combat daily life situations based on stoic philosophy!
KHAN!
😄😄😄Mkapa aliitwa "Mr. Clean". Kama sifa ya kuwa mpinga rushwa.
Alipopata urais tu, Kitwana Kondo akataka kuonana naye ili ampongeze.
Mkapa akamwambia, kama pongezi, chukua ukurasa wa gazeti la serikali uchapishe gazetini. Such a journalist!
Ujumbe ulikuwa kwamba hataki watu wamzonge ili kutafuta influence.
Hapo hapo, rafiki yake Mkapa, "Sir" Andy Chande akamnunulia Mkapa Range Rover Vogue kama pongezi za kuwa rais.
Mkapa akalichukua, aka park pale Sea View.
Nikasema Mr. Clean kakubali hii pongezi ya Range Rover Vogue kutoka kwa Andy Chande wakati Kitwana Kondo hata kukutana naye tu kakataa?
Nikasema labda atalirudisha. Ikawa kila nikienda Sea View nalikuta.
Kutoka hapo nikajua kwamba habari za "Mr. Clean" ni mazingaombwe tu.
Ukijua habari kama hizi, ambazo kuandikwa kwenye vitabu sitegemei, utajua hivi vitabu ni public relations campaign tu.
Inafikirisha!Bro, democracy is an illusion. Huwezi kuwa na majority ya watu ambao ni ignorance, poor, uneducated halafu ndio wawe wanatoa maamuzi ya kiungozi[kisiasa].
✅✅✅Demokrasia ina changamoto nyingi. Changamoto moja ni elimu. Shukurani kwa kusoma na kujielimisha zaidi kuhusu demokrasia.
Demokrasia si lazima iendane na matakwa ya wengi.
Kwa mfano.
Huwezi kuwa na demokrasia kwa kusema serikali imechaguliwa na wengi, wakati walioichagua serikali hao wengi ni wajinga na hata hawajui wamechagua nini, au wanadanganywa kirahisi kwa sababu hawajui hata kusoma na kuandika.
Ndiyo maana watu kama Mwalimu Nyerere waliona nchi yetu itakuwa na demokrasia zaidi kwa kuwa na vyama vingi, ingawa tume ya Jaji Nyalali ilionesha asilimia 80 ya Watanzania walitaka kuendelea na chama kimoja, na asilimia 20 tu ilitaka Tanzania iwe na vyama vingi.
Huo ni mfano wa mtu kuona mbali zaidi ya tafsiri finyu ya demokrasia ya "wengi wape".
Sexual AlchemyView attachment 3017175
Hellow plz naombeni jina la hiki kitabu olzzz jamani pleasee
Angalia kama hicho kinaweza kikakusaidia.Naitaji kumrudia Mungu mwenye pdf ya kitabu cha jesus always please nakiomba hapa
Kitaitwa the boi
Kinaitwa THE BOOK OF GOLD....weka dau nikisake mana upatikanaji wake ni shida kuna mdau anacho lakt
Sio hicho the book of gold kinahusiana na zaburi hicho si unaona kinahusu mimea na magicMwandish sikumzingatia....ni the book of gold
Shukran mkuu ukipata kingine weka hasa cha sarah youngAngalia kama hicho kinaweza kikakusaidia.
Kipo juu huko
Usitufanyie hivo bana we tudondoshee mjitabu hapa hela ya nini tena, ahsante kwa jina lake ngoja nikisake.....mwandishi nani??
Binafsi hakuna African literature ilinichekesha kama Song of Lawino and Ocol. Na description iliyonibamba ni ya Beautyful ones are not yet born.