Bookworms of JF, what's your favorite book (s) and why?

Ni kizuri ukipata muda kisome.
Wewe Baba Swalehe ni mtoto wangu kama ningefanikiwa kukuzaa.

Kizungu haukijui na wakati umekiandika hapo jamani. Unajua hadi maana ya "conspire" halafu haujui kizungu? Hauoni hili neno ni gumu sana.?
Wewe mtoto bhana unajua umri wangu kweli

Au unasoma story zangu humu unaziamini [emoji23][emoji23][emoji28]

Hicho kitabu nimekisoma muda mrefu sana
 
Wewe mtoto bhana unajua umri wangu kweli

Au unasoma story zangu humu unaziamini [emoji23][emoji23][emoji28]

Hicho kitabu nimekisoma muda mrefu sana
Unaona sasa, umekisoma halafu ukaniambia haujakisoma.
Nadhani hii ni kama mara ya pili nakuona kwenye comments.
Nimekariri hiyo picha ya kwenye account yako.
Kwahiyo nikisema ni kwa kusoma story zako nitakuwa nasema uongo. Ila umenikumbusha ngoja nikakusome.

Kwani wewe umetumia kigezo gani kuniita mdogo wako?
 
Kile umekimaliza Hon? Au umesikia pussy unatamani uache kile[emoji4][emoji4][emoji4](kidding ).
Ngoja nikutafutie PDF.
Kile ntakimalizia tu ngoja nianze na hiki cha pussy kwanza hili nisije kuwa mjinga kisa pussy [emoji250] [emoji250]
 
I am humbled for your complement, Namvizia Paula Paul tujadili pointi namba tatu.
 
Usinichukulie serious sana

Sawa... Umenielewa ??
 
Hakuna shida mkuu

Wengine ndo tulianza kuitumia hii Jf toka siku inafunguliwa... Tukaifanyia na testing mkuu wangu

Ntupie kitabu hapo... Chochote nkisome mkuu
Kumbe ni muasisi kabisa. Hongera sana.

Unapenda vitabu vya namna gani? Ili niweze kukuchagulia.
 
Nakusubiria kwa hamu sana.
Paula, rejea komenti yako namba 565, ninataka tuijadili hoja moja baada ya nyingine..

Unasema 'they take everything ... as if it can work for everyone an as if it is the only book out there, nini hicho au principle gani wanayodhani it can work for everyone na unamaanisha nini kwamba it is not the only book out there?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…