Bookworms of JF, what's your favorite book (s) and why?

Tao Te Ching -Lao tze

The cannon- Confucius

Secret doctrine- HPB

Sound of silence- HPB

Human, initiation and solar - Alice Bailey

Invisible helpers -

Morals and dogma of ancient and accepted Scottish rite - Albert pike

The stranger in the mirror - Sydney Sheldon

The zahir - Paulo coelho

Alchemist- Paulo coelho

Manuscript from Ghana - Paulo coelho

Veronica decides to die - Paulo coelho

French connection-

Learning the hard way - Yusuph akilimali

Feel the fear and do it anyway- Susan Jeffers

Feel the fear and beyond - Susan Jeffers

Bhagavag Gita -

Safari ya prosper -

Alfu lela ulela -

Aesop’s fables -

The mystery of human double -

Encyclopedia brittanica-[emoji16][emoji16][emoji16]

Kiu ya haki-

Marx, Engels, Lenin -

The 4 hour workweek -

The richest man in Babylon -

The monk who sold his Ferrari -

The art of not giving a https://jamii.app/JFUserGuide -

Fuzzy thinking-

Philosophy na usanifu wa hoja tangu enzi za Plato hadi Nyerere -

Adili na nduguze - shaaban Robert




Nitarudi baadae....
 

Ni kwasababu kutengeneza na kulimbikiza ukwasi ni kipaji(inborn talent) zaidi na exposure kuliko taaluma ingawa elimu inasaidia si haba.

Kama umeshasikia msemo wa waamerika ‘from rags to riches’ na ukaufuatlia kwa kupitia historia ya matajiri wakubwa duniani kama Harold Hugh, Rockfeller, Henry Ford mpaka hawa wa siku hizi mfano Jeff Bezzos, Bill Gates, Jack Ma etc au hata hawa wa kwetu kama akina Salim Bakhresa, ingawa wengine hawakuanza na nguo chakavu(rags) exactly utaona jinsi hii kanuni inavyofanya kazi.
Sipendi sana kutumia mifano kutoka kwenye riwaya za kubuni lakini ukisoma kitabu kinaitwa Rich man, Poor man, utaona jinsi ndugu wawili wanavyotofautiana kimafanikio.
Mmoja, ambaye hana uwezo shuleni anatengeneza maisha yake kupitia ubondia(boxing) mpaka anafikia kuwa ship owner. Huyu mwingine ambaye ni smart sana shuleni anabakia kuwa mwajiriwa kwa muda mrefu ingawa mwishoni anafakiwa kuoa binti tajiri( zali la mentali)
Wakati huo huo dada yao anafikia status ya maisha nzuri lakini isiyo stable kupitia favour za wanaume.
Pamoja na huyu ship owner kuuawa shauri ya visasi akimtetea mdogo wake, mimi binafsi namhusudu zaidi kuliko huyu mwingine.
La msingi ni kuwa huwezi kufundishwa jinsi ya kuwa tajiri ingawa shule ina umuhimu wake katika maisha yaliyokamilika. Kwa uhondo zaidi soma The Carpetbaggers(Harold Robbins) na As The Crow Flies(Jeffrey Archer) ujionee jinsi wavaa nguo zenye viraka wanavyogeuka kuwa matajiri bila kusoma degree 4 au kusubiri zali la mentali.
Mifano kwenye maisha ya kweli ni mingi pia.
 
Man....Trevor Noah’s “born a crime” is something else!
Jamaa kadata si mchezo.

I enjoyed this book thoroughly.

Kuna sehemu wakati anakua huko kwao South Africa aliwaingiza mjini watu kwamba yeye eti ndiye rapper wa Marekani Busta Rhymes.

Yani Trevor Noah na Busta Rhymes sura tofauti, lakini kalazimisha mpaka watu wakakubali yeye ni Busta Rhymes!

Aka rap uongo na kweli, watu wakakubali wamemuona Busta Rhymes kwenye concert.
 
Nimesoma vitabu vitabu 70 mwaka huu namshukulu mungu.march to may nilipata mda kidogo nilisoma vitabu vingi sana.saivi nasoma NoahView attachment 1277341
Leaders are readers and readers are leaders
Nimekisoma hiki, nimevisoma vitabu vyake vingine pia "Sapiens: A Brief History of Humankind" na "Homo Deus: A Brief History of Tomorrow".

Professor Harari namkubali sana.
 
Yuko vizuri anachambua sana mambo na kuyaweka peupe mtu achague pumba na mchele
Ninachompendea Dr. Harari ni jmkwamba, anafumbua macho kwenye mengi mapya na hata akiandika kuhusu mambo ambayo tayari unayajua, jinsi anavyoyaandika na kuyaunganisha, anavyoweka pamoja ushahidi kutoka nyanja tofautibza sayansi, hiatoria, baiolojia, sosholojia inapendeza sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…