Bookworms of JF, what's your favorite book (s) and why?

Aliyeniambukiza kusoma vitabu alinifunzia hiki, nilijiona mjinga sana nilipokimaliza kwamba nilichelewa wapi kuwa tajiri... ila baadae nikasahau kila kitu na ufujaji wa kipato ukiwa pale pale na zaidi.
ilikua Kama umeangalia movie Ausio
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Ahsante mkuu hua nafatilia sanaaa post zako unajua vitu vingi sina budi kufata ushauri wako, huwezi kuamini hiki kitabu nimekisoma kupitia post zako. God bless you.


Sent from iPhone 6s Plus
Waoohh, nimefurahi kiasi kwamba nashindwa hata kuonesha furaha yangu kwa maandishi.
Thank you Yohimbe Bark.
 
Huyo jamaa ni bonge la genius utajiri anaoupata kwa kuuza vitabu ni zaidi ya alionao, nimebahatika kusoma baadhi ya vitabu vyake ukiachana na maswala ya displine ya matumizi ya pesa formula zake kwa huku kwetu haiwezekani

Formula gani ambayo kaitaja uku kwetu haiwezekan?


Sent from iPhone 6s Plus
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…