Kama kusoma vitabu kungekuwa na matokeo kama haya yanayoelezwa humu haki ya nani tusingekuwa tunavaa barakoa za vitambaa!
Siamini katika kusoma kitabu tu then uniambie umefanikiwa!! Labda AKILI yangu inanidaganya,,,, ni sawa na kuamini kwamba kwenda kanisani or semina za uchumba pekee ndo utapata mume au mke,,,,
Maoni yangu!! Huwezi kufanya mazoezi sjui kwenda jimi kutunisha misuli wakati hujala, soma vitabu ukiwa na capital tayari then make practice,you will never success reading or listeng to inspirational speakers while you're empty in your pocket,,,
Haya mambo ndo maana yamefanya vijana wengi kushindwa kutumia nguvu kazi zao badala yake wanajazana Global alliance na Forever living, tafuta mtaji ndugu then take time to know the crues of business, and sometimes don't complicate things to that extent,Nenda kariakoo utakuta kijana hajawahi hata kusikia mambo ya vitabu ila ana make money hatariii
I Unfeigned eulogize the chagga,wanajua kutafuta,, sometimes don't waste time kusoma vitabu muda huo ungeutumia kutafuta,,,, heshimu muda ndg.
Tuwaachie kina Obama na Bill Gates wasome vitabu ila kwa sie watafutaji noooo ila kama unakipato take time to read books and listening to Nnanauka na wengine!!
Thanks
Sent using
Jamii Forums mobile app