Hahaha ni kazi kweli kweli mkuudaaah mm nnaweza kusoma makala ya biashara iliyopostiwa ktk forum flan eg.jf,whatsapp n.k hata iwe na page 10 lakn ktabu hata iweje yaan kumaliza page 3 mtihan.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bro Paula Paul, what're your views on this?Kama kusoma vitabu kungekuwa na matokeo kama haya yanayoelezwa humu haki ya nani tusingekuwa tunavaa barakoa za vitambaa!
Siamini katika kusoma kitabu tu then uniambie umefanikiwa!! Labda AKILI yangu inanidaganya,,,, ni sawa na kuamini kwamba kwenda kanisani or semina za uchumba pekee ndo utapata mume au mke,,,,
Maoni yangu!! Huwezi kufanya mazoezi sjui kwenda jimi kutunisha misuli wakati hujala, soma vitabu ukiwa na capital tayari then make practice,you will never success reading or listeng to inspirational speakers while you're empty in your pocket,,,
Haya mambo ndo maana yamefanya vijana wengi kushindwa kutumia nguvu kazi zao badala yake wanajazana Global alliance na Forever living, tafuta mtaji ndugu then take time to know the crues of business, and sometimes don't complicate things to that extent,Nenda kariakoo utakuta kijana hajawahi hata kusikia mambo ya vitabu ila ana make money hatariii
I Unfeigned eulogize the chagga,wanajua kutafuta,, sometimes don't waste time kusoma vitabu muda huo ungeutumia kutafuta,,,, heshimu muda ndg.
Tuwaachie kina Obama na Bill Gates wasome vitabu ila kwa sie watafutaji noooo ila kama unakipato take time to read books and listening to Nnanauka na wengine!!
Thanks
Sent using Jamii Forums mobile app
Shukrani mkuuNimaamuzi mkuu wala sio kipaji na ukiamua hutajuta.
Sent from iPhone 6s Plus
Yeah huwa naona watu wanaosoma sana vitabu namna walivyo na upeo mkubwa wa kuchambua mambo, shukrani kwa kunitia moyo mkuu nitajitahidi nianze.Inategemea umeanza na kitabu chenye maudhui yapi, ila ukianza motivational/inspirational na story books utapenda sana kwa sababu ukisoma kimoja kinakupa hamasa ya kusoma kingine.
Baadae yanageuka kuwa mazoea halafu tabia, yaani hutoacha kamwe na utajengeka vema kiakili, utakuwa mtu positive na utaacha kulaumu laumu
Nb
Vitabu tusome ni chakula cha ubongo
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo ni ke mkuuBro Paula Paul, what're your views on this?
Bado kakaulifanikiwa kupata hicho cash flow?
soft copy
Mimi kitabu alichopo tu mzee kiyosaki uwa nikikuta kinazagaa na nunua View attachment 1432769
#Stayhome safe COVID-19 is everywhere
Aisee!Mimi kitabu alichopo tu mzee kiyosaki uwa nikikuta kinazagaa na nunua View attachment 1432769
#Stayhome safe COVID-19 is everywhere
Ushauri wako mbaya mbaya mbayaKama kusoma vitabu kungekuwa na matokeo kama haya yanayoelezwa humu haki ya nani tusingekuwa tunavaa barakoa za vitambaa!
Siamini katika kusoma kitabu tu then uniambie umefanikiwa!! Labda AKILI yangu inanidaganya,,,, ni sawa na kuamini kwamba kwenda kanisani or semina za uchumba pekee ndo utapata mume au mke,,,,
Maoni yangu!! Huwezi kufanya mazoezi sjui kwenda jimi kutunisha misuli wakati hujala, soma vitabu ukiwa na capital tayari then make practice,you will never success reading or listeng to inspirational speakers while you're empty in your pocket,,,
Haya mambo ndo maana yamefanya vijana wengi kushindwa kutumia nguvu kazi zao badala yake wanajazana Global alliance na Forever living, tafuta mtaji ndugu then take time to know the crues of business, and sometimes don't complicate things to that extent,Nenda kariakoo utakuta kijana hajawahi hata kusikia mambo ya vitabu ila ana make money hatariii
I Unfeigned eulogize the chagga,wanajua kutafuta,, sometimes don't waste time kusoma vitabu muda huo ungeutumia kutafuta,,,, heshimu muda ndg.
Tuwaachie kina Obama na Bill Gates wasome vitabu ila kwa sie watafutaji noooo ila kama unakipato take time to read books and listening to Nnanauka na wengine!!
Thanks
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi hizi comments zimekujaje huku? Au mimi nachanganya mada.I've even read The Richest Man In Babylon.
So amekua kiuchumi kulinganisha na kabla?Hicho kitabu kilimfanya uncle wangu aache kazi yake aliyeisomea miaka minne.
saiz tupo nae tunauza vitabu tunatembeza mashuleni
Start to implement from what you learnt
Sent from my iPhone using JamiiForums
Bravo for you're comment!Ushauri wako mbaya mbaya mbaya
Wenye akili na kujielewa hawataufuata .
Kuna watu wamepata maarifa kwenye hivyo vitabu na wwamepiga hatua kimaisha (usitake kujua akina Nani)
Hata uwe na pesa vipi Kama huna maarifa wapi pa kuiwekeza vipi kuisave vipi kuimanage hutofanikiwa kamwe utapata pesa leo kesho inapotea inaanza kukimbila kwa waganga ukidhani umeroggwa
Maarifa tunayopata kwenye vitabu darasani hawafundishi .
Watu wote Kama ni pesa tunatafuta huku kitaaa usidhani tuko idle hatuna kazi Wala shughuli zankufanya
Lakini je una maarifa sahihi juu ya ulimwengu wa kifedha na kiuchumi
Siku ingine ukitoa comment humu uwe sober [emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona wameunganisha uziHivi hizi comments zimekujaje huku? Au mimi nachanganya mada.
Btw, huwa kusoma haisumbui ila kuyaleta tuliyoyasoma kwenye matendo ndiyo kazi ilipo.
They've merged the threads maana wameona zina maudhui moja.Hivi hizi comments zimekujaje huku? Au mimi nachanganya mada.
Btw, huwa kusoma haisumbui ila kuyaleta tuliyoyasoma kwenye matendo ndiyo kazi ilipo.
Kama kusoma vitabu kungekuwa na matokeo kama haya yanayoelezwa humu haki ya nani tusingekuwa tunavaa barakoa za vitambaa!
Siamini katika kusoma kitabu tu then uniambie umefanikiwa!! Labda AKILI yangu inanidaganya,,,, ni sawa na kuamini kwamba kwenda kanisani or semina za uchumba pekee ndo utapata mume au mke,,,,
Maoni yangu!! Huwezi kufanya mazoezi sjui kwenda jimi kutunisha misuli wakati hujala, soma vitabu ukiwa na capital tayari then make practice,you will never success reading or listeng to inspirational speakers while you're empty in your pocket,,,
Haya mambo ndo maana yamefanya vijana wengi kushindwa kutumia nguvu kazi zao badala yake wanajazana Global alliance na Forever living, tafuta mtaji ndugu then take time to know the crues of business, and sometimes don't complicate things to that extent,Nenda kariakoo utakuta kijana hajawahi hata kusikia mambo ya vitabu ila ana make money hatariii
I Unfeigned eulogize the chagga,wanajua kutafuta,, sometimes don't waste time kusoma vitabu muda huo ungeutumia kutafuta,,,, heshimu muda ndg.
Tuwaachie kina Obama na Bill Gates wasome vitabu ila kwa sie watafutaji noooo ila kama unakipato take time to read books and listening to Nnanauka na wengine!!
Thanks
Sent using Jamii Forums mobile app
Reading require time management sio kujiendea endea tuBravo for you're comment!
Am sorry if the comment is a fuddy duddy as what you have grasped it, I wanted to garner out my view about this
Talking not in a clandestine,you can have all the knowledge but yet nothing you can do
.if you get time read the book why A students are working to C students.
Note this, I wanted to caution people not to spend much time in reading and listening to inspirational speakers!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna siku tumewahi kuwa na mada inafanana na hii, nadhani alikuwa ni Don Clericuzio na Zurri kama sijakosea.They've merged the threads maana wameona zina maudhui moja.
Nitajitahidi kufanyia kazi hilo swala.
You are Welcome,.kwa uwezo wako ni jambo rahisi tu[emoji120][emoji120]Asante sana dear nitajitahidi
So, Fransisco ukiona unashindwa kukitumia ulichojifunza tafuta mtu umpe akitumie yeye yawezekana siyo kwa ajili yako.