Bookworms of JF, what's your favorite book (s) and why?

Bookworms of JF, what's your favorite book (s) and why?

Kama kusoma vitabu kungekuwa na matokeo kama haya yanayoelezwa humu haki ya nani tusingekuwa tunavaa barakoa za vitambaa!

Siamini katika kusoma kitabu tu then uniambie umefanikiwa!! Labda AKILI yangu inanidaganya,,,, ni sawa na kuamini kwamba kwenda kanisani or semina za uchumba pekee ndo utapata mume au mke,,,,


Maoni yangu!! Huwezi kufanya mazoezi sjui kwenda jimi kutunisha misuli wakati hujala, soma vitabu ukiwa na capital tayari then make practice,you will never success reading or listeng to inspirational speakers while you're empty in your pocket,,,

Haya mambo ndo maana yamefanya vijana wengi kushindwa kutumia nguvu kazi zao badala yake wanajazana Global alliance na Forever living, tafuta mtaji ndugu then take time to know the crues of business, and sometimes don't complicate things to that extent,Nenda kariakoo utakuta kijana hajawahi hata kusikia mambo ya vitabu ila ana make money hatariii


I Unfeigned eulogize the chagga,wanajua kutafuta,, sometimes don't waste time kusoma vitabu muda huo ungeutumia kutafuta,,,, heshimu muda ndg.


Tuwaachie kina Obama na Bill Gates wasome vitabu ila kwa sie watafutaji noooo ila kama unakipato take time to read books and listening to Nnanauka na wengine!!

Thanks

Sent using Jamii Forums mobile app
Bro Paula Paul, what're your views on this?
 
Inategemea umeanza na kitabu chenye maudhui yapi, ila ukianza motivational/inspirational na story books utapenda sana kwa sababu ukisoma kimoja kinakupa hamasa ya kusoma kingine.

Baadae yanageuka kuwa mazoea halafu tabia, yaani hutoacha kamwe na utajengeka vema kiakili, utakuwa mtu positive na utaacha kulaumu laumu

Nb
Vitabu tusome ni chakula cha ubongo

Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah huwa naona watu wanaosoma sana vitabu namna walivyo na upeo mkubwa wa kuchambua mambo, shukrani kwa kunitia moyo mkuu nitajitahidi nianze.
 
Mimi kitabu alichopo tu mzee kiyosaki uwa nikikuta kinazagaa na nunua
IMG_20200427_201817_6.jpg


#Stayhome safe COVID-19 is everywhere
 
Kama kusoma vitabu kungekuwa na matokeo kama haya yanayoelezwa humu haki ya nani tusingekuwa tunavaa barakoa za vitambaa!

Siamini katika kusoma kitabu tu then uniambie umefanikiwa!! Labda AKILI yangu inanidaganya,,,, ni sawa na kuamini kwamba kwenda kanisani or semina za uchumba pekee ndo utapata mume au mke,,,,


Maoni yangu!! Huwezi kufanya mazoezi sjui kwenda jimi kutunisha misuli wakati hujala, soma vitabu ukiwa na capital tayari then make practice,you will never success reading or listeng to inspirational speakers while you're empty in your pocket,,,

Haya mambo ndo maana yamefanya vijana wengi kushindwa kutumia nguvu kazi zao badala yake wanajazana Global alliance na Forever living, tafuta mtaji ndugu then take time to know the crues of business, and sometimes don't complicate things to that extent,Nenda kariakoo utakuta kijana hajawahi hata kusikia mambo ya vitabu ila ana make money hatariii


I Unfeigned eulogize the chagga,wanajua kutafuta,, sometimes don't waste time kusoma vitabu muda huo ungeutumia kutafuta,,,, heshimu muda ndg.


Tuwaachie kina Obama na Bill Gates wasome vitabu ila kwa sie watafutaji noooo ila kama unakipato take time to read books and listening to Nnanauka na wengine!!

Thanks

Sent using Jamii Forums mobile app
Ushauri wako mbaya mbaya mbaya

Wenye akili na kujielewa hawataufuata .

Kuna watu wamepata maarifa kwenye hivyo vitabu na wwamepiga hatua kimaisha (usitake kujua akina Nani)

Hata uwe na pesa vipi Kama huna maarifa wapi pa kuiwekeza vipi kuisave vipi kuimanage hutofanikiwa kamwe utapata pesa leo kesho inapotea inaanza kukimbila kwa waganga ukidhani umeroggwa


Maarifa tunayopata kwenye vitabu darasani hawafundishi .

Watu wote Kama ni pesa tunatafuta huku kitaaa usidhani tuko idle hatuna kazi Wala shughuli zankufanya

Lakini je una maarifa sahihi juu ya ulimwengu wa kifedha na kiuchumi

Siku ingine ukitoa comment humu uwe sober [emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ushauri wako mbaya mbaya mbaya

Wenye akili na kujielewa hawataufuata .

Kuna watu wamepata maarifa kwenye hivyo vitabu na wwamepiga hatua kimaisha (usitake kujua akina Nani)

Hata uwe na pesa vipi Kama huna maarifa wapi pa kuiwekeza vipi kuisave vipi kuimanage hutofanikiwa kamwe utapata pesa leo kesho inapotea inaanza kukimbila kwa waganga ukidhani umeroggwa


Maarifa tunayopata kwenye vitabu darasani hawafundishi .

Watu wote Kama ni pesa tunatafuta huku kitaaa usidhani tuko idle hatuna kazi Wala shughuli zankufanya

Lakini je una maarifa sahihi juu ya ulimwengu wa kifedha na kiuchumi

Siku ingine ukitoa comment humu uwe sober [emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
Bravo for you're comment!

Am sorry if the comment is a fuddy duddy as what you have grasped it, I wanted to garner out my view about this

Talking not in a clandestine,you can have all the knowledge but yet nothing you can do
.if you get time read the book why A students are working to C students.

Note this, I wanted to caution people not to spend much time in reading and listening to inspirational speakers!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama kusoma vitabu kungekuwa na matokeo kama haya yanayoelezwa humu haki ya nani tusingekuwa tunavaa barakoa za vitambaa!

Siamini katika kusoma kitabu tu then uniambie umefanikiwa!! Labda AKILI yangu inanidaganya,,,, ni sawa na kuamini kwamba kwenda kanisani or semina za uchumba pekee ndo utapata mume au mke,,,,


Maoni yangu!! Huwezi kufanya mazoezi sjui kwenda jimi kutunisha misuli wakati hujala, soma vitabu ukiwa na capital tayari then make practice,you will never success reading or listeng to inspirational speakers while you're empty in your pocket,,,

Haya mambo ndo maana yamefanya vijana wengi kushindwa kutumia nguvu kazi zao badala yake wanajazana Global alliance na Forever living, tafuta mtaji ndugu then take time to know the crues of business, and sometimes don't complicate things to that extent,Nenda kariakoo utakuta kijana hajawahi hata kusikia mambo ya vitabu ila ana make money hatariii


I Unfeigned eulogize the chagga,wanajua kutafuta,, sometimes don't waste time kusoma vitabu muda huo ungeutumia kutafuta,,,, heshimu muda ndg.


Tuwaachie kina Obama na Bill Gates wasome vitabu ila kwa sie watafutaji noooo ila kama unakipato take time to read books and listening to Nnanauka na wengine!!

Thanks

Sent using Jamii Forums mobile app

Akili yako inakudanganya Kweli.


Sent from iPhone 6s Plus
 
Bravo for you're comment!

Am sorry if the comment is a fuddy duddy as what you have grasped it, I wanted to garner out my view about this

Talking not in a clandestine,you can have all the knowledge but yet nothing you can do
.if you get time read the book why A students are working to C students.

Note this, I wanted to caution people not to spend much time in reading and listening to inspirational speakers!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Reading require time management sio kujiendea endea tu

So serious readers wanapanga muda wao sahihi wa kusoma kuepusha Mambo kuingilia

So hustling kitaa zinaendea wakati una noa ubongo makali

So ukiwaambia watu wangoje wawe akina bili gates au Warren buffet ndio waanze kusoma kitabu duuuh
It doesn't make sense unataka wwapate pesa halafu wawe vilaza wakazinywee pombe na kuhonga .

Wapi watapa elimu ya uwekezaji na fedha Kama sio vitabuni

Usiku mwema

Sent using Jamii Forums mobile app
 
They've merged the threads maana wameona zina maudhui moja.

Nitajitahidi kufanyia kazi hilo swala.
Kuna siku tumewahi kuwa na mada inafanana na hii, nadhani alikuwa ni Don Clericuzio na Zurri kama sijakosea.

Nilimwambia nimesoma sana vitabu vya relationships, friendship na kuhudhuria semina za nyingi za mapenzi , mahusiano na urafiki hadi notebook imejaa, but I just can't put them into practice.

Tukagundua kwamba siyo kila kitu tunachokisoma lazima tukitumie katika maisha yetu, vingine tunajifunza kwa sababu ya kuwapa watu wengine ushauri.

Mfano watu wengi wanaofundisha ujasiriamali, wanategemea fee ya kuingia kama mapato yao, wengi hawana hata biashara ya karanga.

So, Fransisco ukiona unashindwa kukitumia ulichojifunza tafuta mtu umpe akitumie yeye yawezekana siyo kwa ajili yako.
 
Back
Top Bottom